· Machi, 2012

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Machi, 2012

Zambia: Ban Ki-Moon atoa wito kwa taifa kuheshimu haki za mashoga

  25 Machi 2012

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon aliitembelea Zambia mnamo Februari 21; ambapo alilihutubia bunge, alikutana wanasiasa maarufu na kutembelea Maporoko ya Viktoria, hakuna katika haya yaliyogonga vichwa vya habari kama mwito wake wa taifa hili kuheshimu haki za mashoga.

Dondoo za Video: Utetezi wa haki za binadamu

  25 Machi 2012

Kuna masimulizi kusisimua katika siku za hivi karibuni kwenye tovuti ya Global Voices Video za Utetezi ikiwa ni pamoja na haki za wananchi wenyeji na habari za hivi karibuni kutoka Amerika ya Kusini, Mashariki ya Mbali, Ulaya Magharibi na Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara zilizochaguliwa na Juliana Rincón Parra.