· Oktoba, 2013

Habari kuhusu Pakistan kutoka Oktoba, 2013

Nani ni Muislamu Halisi? -Hatari ya Madhehebu Madogo ya Waislamu Pakistan

  7 Oktoba 2013

Raza Habib Raja wa Pak Tea House ana maoni haya: ‘Kosa’ kubwa nchini Pakistani ni kuwa kile ninachokiita, Muislamu asiye Muislamu. Kwa hiyo hata ukiwa Ahmedi, Shiite, na hata muumini wa Mtakatifu Sufi bado utaitwa Asiye Muislamu na baadhi ya watu. Hilo linatuleta kwenye swali “nani ni Muislamu?” Raja anaeleza:...