Habari kuhusu Pakistan kutoka Agosti, 2009
Pakistani: Tatizo La Sukari Limeifanya Ramadhani Kuwa Chungu
Upungufu wa sukari pamoja na kupanda kwa bei nchini Pakistani mwaka huu kumewaathiri walaji na kumesitisha ongezeko la matumizi wakati wa mwezi wa ramadhani. Wanablogu wa kipakistani wanaichambua hali hiyo.