· Machi, 2014

Habari kuhusu Nepali kutoka Machi, 2014

Ufisadi Nchini Nepal: Umeanza Kuwa Tabia Inayokubalika Kijamii?

  26 Machi 2014

Watu wana hasira na wamechoka, na mashirika ya habari mara nyingi huchapisha habari kuhusu uhusiano kati ya viongozi wa kisiasa na wezi wa mali za umma lakini hakuna anayezungumzia kuingia mtaani kuandamana kupinga ufisadi -hali isiyotarajiwa kwenye nchi ambayo watu hugomea kila kisichokwenda sawa Siromani Dhungana anaandika uchambuzi kwenye blogu...