Habari kuhusu Asia ya Kusini kutoka Mei, 2015
Ngono, Dini na Siasa Vinapokutana Kwenye Onesho la ‘Sidiria ya Kimalaya’
Mmarekani mwenye asili ya Pakistani Aizzah Fatima amelipa umaarufu onesho lake kwenye maeneo mbalimbali katika miaka ya hivi karibuni. Jina la onesho lenyewe linaonekana kama tusi kwa wengine. Onesho linaitwa: Sidiria ya Kimalaya.
TAMKO: Global Voices Yatoa Wito wa Kuimarishwa kwa Usalama wa Wanablogu wa Bangladesh
Tunalaani mauaji ya hivi karibuni ya wanablogu na kuzitaka mamlaka husika kuhakikisha kuwa wale wote waliohusika kwenye mauaji haya wanafikishwa kwenye vyombo vya sheria.