· Novemba, 2013

Habari kuhusu Asia ya Kusini kutoka Novemba, 2013

India: Watu Zaidi ya Milioni 60 Wanaugua Ugojwa wa Kisukari

  16 Novemba 2013

Ikiwa na watu zaidi ya milioni 60 wanaougua ugojwa wa kisukari [pdf] na wengine wanaokadiriwa kufikia milioni 77 walio katika hatihati ya kuugua ugojwa huu, nchi ya India inajikuta katika vita kali ya kukabiliana na janga la ugonjwa wa kisukari. Katika siku ya ugonjwa wa Kisukari Duniani inayoadhimishwa kila tarehe...