Habari kuhusu Marekani ya Kaskazini
Kutana na Vijana wa Ecuado Wanaoendesha Kipindi cha Kwanza cha Lugha ya ki-Chwa Radioni Nchini Marekani
“Kipindi hiki kinahusu kujieleza na bila kuogopa kufanya hivyo.”
Upendo Unashinda Chuki: Kipindi cha Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices
Wiki hii, tunaanzia Marekani ambapo Omar Mohammed anaelezea msemo wake, "Marekani niliyozoea kukupenda" na kisha kukupeleka Cuba, Syria, na Taiwani.
Kama Ningekuwa na Bunduki
"Ninapofikiria nyakati kama hizi niliposhambuliwa au kuona mashambulizi, siwezi kufikiri hata mara moja namna gani silaha ingefanya matokeo yawe mazuri zaidi"
Mazungumzo ya GV: Hisia Zetu Siku Sita Kabla ya Uchaguzi wa Marekani
Tukiwa tumebakiza siku sita kabla ya uchaguzi na kabla ya kumalizika kwa minyukano ya kampeni, kila mmoja anaisubiria siku ya uchaguzi kwa bashasha.
Wiki ya Wanablogu wa ki-Caribiani 2016 Yalenga Kukuza Sauti za Eneo Hilo Mtandaoni
Wanablogu wa Caribiani wapo, na wana sauti zinazostahili kutambuliwa.
Mazungumzo ya GV: Global Voices Kutangaza Habari za Uchaguzi wa Marekani (MUBASHARA mnamo Desemba 26, Saa 11 Jioni GMT)
Trump, Hillary au Stein? Hata kama waandishi wetu wengi wa Global Voices hawataweza kupiga kura nchini Marekani, tunajisikia kuguswa kwenye uchaguzi huu wa Urais kama ilivyokuwa kwenye chaguzi nyinginezo.
Kilichoandikwa na Shirika la Habari Urusi Wakati wa Mdahalo wa Mwisho wa Urais Marekani
Mradi wa RuNet unaoangazia habari za Urusi unapitia twiti zilizoandikwa usiku wa mdahalo huo na shirika kubwa la habari la Urusi ili kupata picha ya kile kilichoendelea jijini Moscow.
Mfungwa wa Zamani wa Guantanamo Ahatarisha Maisha Yake Kwa Kugoma Kula Akishinikiza Kuunganishwa na Familia Yake
"Wamenifungia milango na kuniacha bila namna lolote na hii ndiyo njia pekee niliyonayo kujiokoa."
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Sisi, Raia
Wiki tunaongea na waandishi wetu Elizabeth Rivera, Giovanna Salazar na Juan Tadeo kuhusu upinzani wa kisiasa unaozidi kupata umaarufu nchini Mexico.
Ayatollah Khomeini Alifariki Miaka 27 Iliyopita, Lakini Msaidizi wa Trump Anamtaka Alaani Shambulio la Nice Hivi Karibuni
Akiongea kwenye Kituo cha Fox News akiwa na Megyn Kelly, Flynn alisema kwa hasira, “Ninamtaka Imam, au Khomeini, atoke hadharani alaani itikadi hii ya isiyojitenga na damu ya Uislamu."