· Mei, 2015

Habari kuhusu Yemen kutoka Mei, 2015

Je, Saudi Arabia Imelishambulia Bwawa la Kale la Marib Nchini Yemen?

  31 Mei 2015

Kuna taarifa zisizodhibitishwa zinazosema kwamba vikosi vya pamoja vya Kisaudi, ambavyo vimekuwa vikiishambulia Yemen kwa mabomu kwa zaidi ya miezi miwili sasa vimelilenga Bwawa la Marib, moja wapo ya maajabu makuu ya katika ulimwengu wa ubunifu wa kale wa kiufundi. Kwenye mtandao wa Twita, Hussain Albukhaiti anadai: Unconfirmed reports: #Saudi...