Habari kuhusu Uturuki kutoka Machi, 2014
Watumiaji wa Huduma ya Tor Waongezeka Nchini Uturuki
Mtetezi wa haki za binadamu na maadili Frederic Jacobs anabainisha kuwa idadi ya watu wanaotumia huduma ya Tor imeongezeka nchini Uturuki: Matumizi ya huduma ya Tor yako juu. Watu. > 35 000 wamejiunga. Watu zaidi wanatarajiwa kujiunga ndani ya siku chache zijazo. pic.twitter.com/1c7AOflm7h — Frederic Jacobs (@FredericJacobs) Machi 23, 2014 Uturuki...
Erdogan Aapa “Kuifutilia Mbali” Twita Nchini Uturuki
Uturuki imeufunga mtandao wa Twita -sambamba na huduma ya Google ya DSN, ilitumika kupata huduma hiyo ikiwa imefungwa. Inaonekana, hata hivyo, kuwa mpango wa serikali ya Uturuki wa kudhibiti watu unakutana na mipango mbadala ya raia kuendelea kutwiti.