· Machi, 2014

Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Machi, 2014

Watumiaji wa Huduma ya Tor Waongezeka Nchini Uturuki

  24 Machi 2014

Mtetezi wa haki za binadamu na maadili Frederic Jacobs anabainisha kuwa idadi ya watu wanaotumia huduma ya Tor imeongezeka nchini Uturuki: Matumizi ya huduma ya Tor yako juu. Watu. > 35 000 wamejiunga. Watu zaidi wanatarajiwa kujiunga ndani ya siku chache zijazo. pic.twitter.com/1c7AOflm7h — Frederic Jacobs (@FredericJacobs) Machi 23, 2014 Uturuki...

Erdogan Aapa “Kuifutilia Mbali” Twita Nchini Uturuki

  24 Machi 2014

Uturuki imeufunga mtandao wa Twita -sambamba na huduma ya Google ya DSN, ilitumika kupata huduma hiyo ikiwa imefungwa. Inaonekana, hata hivyo, kuwa mpango wa serikali ya Uturuki wa kudhibiti watu unakutana na mipango mbadala ya raia kuendelea kutwiti.

Saudi Arabia Inadhibiti Majina ya Watoto

  24 Machi 2014

Huruhusiwi kumwita mwanao wa kike majina kama Eman, au Sandy, au Yara. Na kama ni mvulana, majina kama Abdelnasser, Amir au Abdulmoeen hayaruhisiwi. Lakini hiyo si Saudi Arabia pekee. Kwenye mtandao wa twita, Iyad El Baghdadi anaorodhesha majina ya watoto yaliyopigwa marufuku kabisa kwenye ufalme huo: Orodha ya majina yaliyopigwa...

Ukuta Wetu wa Berlin Nchini Syria

  12 Machi 2014

"Wanafunzi wa Syria kwa mustakabali bora" ni blogu ya wnafunzi wa Syria wanaofadhiliwa, ambao wanaitumia kujadili matumaini yao, kukumbuka nyumbani, wasiwasi, mashaka, mitazamo chanya na matumaini kwa Syria iliyo bora.

Kuwait Inacheza Dansi na Inayo Furaha

  9 Machi 2014

Kuwait inaonesha furaha yake kwa kubuni upya video ya wimbo wa Pharrel unaojulikana kwa jina la "Furaha". Tazama video hii uone namna watu wa Kuwait wanavyocheza.