· Februari, 2013

Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Februari, 2013

Hali ya Hatari kwa Watoto nchini Syria: Namna Utakavyo Saidia.

  12 Februari 2013

Hadi sasa,inakadiriwa watoto 4,355 wameshauawa katika mgogoro unaoendelea hivi sasa nchini Syria. Mapema wiki hii, tulitoa taarifa juu ya madhila wanayokabiliana nayo watoto wa Syria kufuatia vita hii inayoisambaratisha nchi yao vipande vipande. Leo tunaangalia namna ambavyo watu wanaweza kusaidia kukabiliana na baadhi ya changamoto wanazokumbana nazo.