GlobalVoices katika

Mexico

Kumbukumbu za nchi · 3 jumbe


Habari mpya Kuhusu Mexico

12 Julai 2012

Wananchi wa Mexico Wanamchagua Rais Mpya

Soma makala hii.

Mnamo tarehe 1 Julai, Wa-Mexico walipiga kura kumchagua rais wao mpya. Punde tu kura zilipoanza kupigwa, watumiaji wa mtandao wa intaneti walianza kutoa mawazo na uzoefu wao. Walipanga pia namna tovuti na alama ishara za mtandao wa twita zitakavyotumika kukusanya taarifa juu ya udanganyifu na nyendo zilizo kinyume cha sheria wakati wa uchaguzi huo.

19 Disemba 2011

Mexico: Wanafunzi Wawili Wauawa Kwenye Maandamano Huko Ayotzinapa

Soma makala hii.

Wanafunzi wawili, Jorge Alexis Herrera Pino na Gabriel Echeverría de Jesús, waliuawa tarehe 12 Desemba 2011, wakati wa maandamano ya wanafunzi wa shule ya vijijini ya Raúl Isidro huko Ayotzinapa, mji mkuu wa Guerrero, Chilpancingo, nchini Mexico. Mitazamo yenye utata kuhusu yalioyotokea imechapishwa mtandanoni.

28 Januari 2009

Meksiko: Mtaalamu wa Kuzuia Utekaji Nyara Atekwa

Soma makala hii.

Meksiko inakabiliwa na wimbi la uhalifu wa jinai, ambamo wote raia wa ndani na wageni wanaviziwa kutekwa nyara. Tukio la karibuni lilitokea katika Saltillo, Coahuila, wakati mtaalamu wa kuzuia utekaji...

Sehemu za Dunia

Nchi

Lugha