GlobalVoices katika

Honduras

Kumbukumbu za nchi · 1 jumbe


Habari mpya Kuhusu Honduras

29 Juni 2009

Honduras: Zelaya Akamatwa na Kuondolewa Madarakani

Soma makala hii.

Nchini Honduras siku ilianza na habari zinazosema kwamba Rais Mel Zelaya amekamatwa akiwa nyumbani kwake na wanajeshi wenye silaha mnamo siku ya kupigwa kura tata ya maoni. Siku chache kabla, Zelaya alimuondoa madarakani mkuu wa majeshi. Maoni yanatofautiana kutokea yale yanayosema kwamba hali iliyopo ni sawa na mapinduzi ya kijeshi mpaka yale yanayosema kuwa hii ilikuwa ndio njia pekee ya kukomesha jitihada za Zelaya za kutaka kugombea urais kwa awamu nyingine tena.

Sehemu za Dunia

Nchi

Lugha