Habari mpya Kuhusu Guatemala
13 Oktoba 2012
Guatemala: Waandamanaji Wazawa 7 Wauawa Totonicapán
Raia wasiopungua 7 wameuawa, takribani watu 32 wamejeruhiwa na 35 walidhuriwa na sumu mnamo tarehe 4, Oktoba, 2012 wakati majeshi ya muungano yalipotumia nguvu kuwatawanya waandamanaji kutoka katika njia panda maarufu inayoeleka jiji la Guatemala City.
25 Machi 2012
Dondoo za Video: Utetezi wa haki za binadamu
Kuna masimulizi kusisimua katika siku za hivi karibuni kwenye tovuti ya Global Voices Video za Utetezi ikiwa ni pamoja na haki za wananchi wenyeji na habari za hivi karibuni kutoka Amerika ya Kusini, Mashariki ya Mbali, Ulaya Magharibi na Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara zilizochaguliwa na Juliana Rincón Parra.
20 Aprili 2010
Guatemala: Hadithi ya Maziwa Mawili, Macaws na Malkia
Wanaharakati wa mazingira wana hofu kuhusu kuendelea kuchimbwa mafuta katika Hifadhi ya taifa ya Laguna del Tigre, ambayo ni moja ya maziwa ya asili nchini guatemala ambalo lina utafuti wa mazingira na ambalo liko hatarini.
28 Machi 2010
Siku ya Ada Lovelace: Kuwapongeza Wanawake Wanajishughulisha Kupigania Teknolojia na Uwazi Ulimwenguni

Katika kusherehekea Siku ya Ada Lovelace tunawaletea makala fupifupi kuhusu wanawake kadhaa walio sehemu mbalimbali duniani ambao hutumia teknolojia ili kuzifanya serikali ziwe wazi na zinazowajibika zaidi.
9 Januari 2010
Picha ya Dunia Katika Siku ya Kupinga Rushwa Duniani
Katika matayarisho ya uzinduzi wa mtandao wa teknolojia na Uwazi, hii ni makala ya kwanza kabisa katika mfululizo wa makala ambazo zitavinjari mada zinazohusiana kwa kupitia macho ya wanablogu wa dunia.
6 Disemba 2009
Guatemala: Kuvunja Milango ya Madanguro
Blogu inayojulikana kama Noticias para Dios inatoa habari za ndani, kama vile mambo yenyewe yanavyotokea pasipo kuficha kitu, kuhusu maisha ya kila siku ya mwanasheria wa Ki-Guatemala anayejaribu kuwaokoa watoto kutoka kwenye madanguro ambako wamekuwa wakiishi baada ya kuchukuliwa kutoka makwao.




























Kiungo cha RSS kwa Guatemala 





mambo vipi wanablog muko powa wote.kama mumenisoma nijibuni.
Asante. Nimepita hapa natafuta japan na china wamemalizaje ugomvi wao kuhusu visiwa,pia chanzo cha ugomvi...