Habari kuhusu Brazil

Gharama na Faida ya Kombe la Dunia Nchini Brazil

  24 Mei 2014

Blogu ya Daniel Bustos kutoka Colombia kuhusu uchumi wa Kombe la Dunia nchini Brazil na baada ya kugusia suala lisilo epukika la rushwa, inasema: Hatimaye, Brazil itatumika kama “panya” kwa mataifa ya Amerika ya Kusini ambayo yalikuwa na ndoto kuwa siku moja itaandaa tukio hili kubwa, itatumika kuuliza kama Brazil...

Brazil: Je Unamuenzi Mandela? Basi Saidia Haki za Binadamu

  13 Disemba 2013

Bango la kuonyesha heshima kwa Nelson Mandela limechukua umaarufu usiojulikana wa kiongozi wa Afrika Kusini nchini Brazil kwa kuwaita wale ambao wanaenzi urithi wake kusaidia haki za binadamu. Ujumbe huo ulienezwa na shirika lisilokuwa la kiserikali Conectas Human Rights katika Siku ya Haki za Binadamu, Desemba 10, 2013. “Tenda zaidi...