· Disemba, 2013

Habari kuhusu Brazil kutoka Disemba, 2013

Brazil: Je Unamuenzi Mandela? Basi Saidia Haki za Binadamu

  13 Disemba 2013

Bango la kuonyesha heshima kwa Nelson Mandela limechukua umaarufu usiojulikana wa kiongozi wa Afrika Kusini nchini Brazil kwa kuwaita wale ambao wanaenzi urithi wake kusaidia haki za binadamu. Ujumbe huo ulienezwa na shirika lisilokuwa la kiserikali Conectas Human Rights katika Siku ya Haki za Binadamu, Desemba 10, 2013. “Tenda zaidi...