· Mei, 2015

Habari kuhusu Amerika Kusini kutoka Mei, 2015

Mjamzito wa Miaka 11 Agoma Kutoa Mimba Nchini Uruguay

  30 Mei 2015

Niña de 11 años embarazada que no quiere abortar genera polémica➝http://t.co/uPBo6NEKcC #Aborto #Embarazo #Uruguay — Periódico La Tribuna (@PLaTribunaFunza) May 8, 2015 Kugoma kwa mjamzito wa miaka 11 kutoa mimba kumesababisha utata. Hivi karibuniTuliandika kuhusu msichana wa miaka 10 aliyekuwa mjamzito nchini Paraguay kwa kudaiwa kubakwa na baba yake wa...

Je, Utoaji wa Mimba Unaweza Kujadiliwa Kwenye Treni za Medellín?

  29 Mei 2015

Wakazi wa jiji la Medellín, Colombia, wanajiuliza kama treni inaweza kuwa eneo la kuzungumzia masuala ya utoaji mimba, kutokana na tangazo la kampeni ya #ladecisiónestuya (uamuzi ni wako) inayoendeshwa kwa mifumo mbalimbali ndani ya vyombo vya usafiri wa umma, hasa magari, kama inavyosimuliwa na mtumiaji wa twita aitwaye Jaime Andrés (@JAIM3_ANDR3S):...