Habari kuhusu Amerika Kusini kutoka Novemba, 2013
Wanasayansi Kutoka Duniani Kote Wakusanyika Nchini Brazil
Jukwaa la Sayansi Duniani (WSF) linajumuisha mamia ya wanasayansi kutoka duniani kote wiki hii nchini Brazil, kujadili wajibu wao katika karne ya 21 na kusisitiza umuhimu wa ushauri wa kisayansi katika maamuzi ya kisiasa na kiuchumi. Brazil imekuwa mwenyeji wa matukio kadhaa ya kujadili kuondoa umaskini na maendeleo endelevu kutoka...
VIDEO: “Wao Hufanya kazi na kufa”, Ugonjwa Usioeleweka Yawaua Wafanyakazi wa Miwa wa Amerika ya Kati
Wafanyakazi ambao hukata miwa na mazao mengine katika tambarare ya pwani ya Amerika ya Kati na wamekumbwa na ugonjwa wa ajabu: Kutoka Panama hadi kusini mwa Mexico, wafanyakazi wamashikwa na na maradhi ya kushindwa kwa figo katika viwango vya ghaibu amabavyo havijaonekana mahali popote duniani. Familia na vijiji imekumbwa na...
Wasanii wa Brazil Waungana Kuwahifadhi Simba Nchini Kenya
Brazilian artists contribute their artwork to a crowdfunding campaign supporting the Ewaso Lions Project, dedicated to saving lions in Kenya.
Wimbi la Ukatili Dhidi ya Waandishi wa Habari Nchini Guatemala
Mwandishi wa habari wa Guatemala Carlos Alberto Orellana Chávez alipigwa risasi mnano Jumatatu Agosti 19, 2013, yeye ni mwandishi wa habari wa nne kuuawa nchini Guatemala mwaka huu. Katika makala ya maoni [es] iliyochapishwa katika gazeti la Guatemala Prensa Libre, mwandishi maalum wa ripoti ya Umoja wa Mataifa kwa ajili...
Ecuador: “Harakati ya Kiasili Itaendelea”
“Serikali inaweza kuendelea na jitihada zake za kutufanya sisi kutosikika, lakini mapambano yetu hayawezi kushindwa. Bora kuna ukosefu wa haki, na kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya mijini na vijijini kubaki, harakati ya kiasili itaendelea.” Manuela Picq alizungumza na Carlos Pérez Guartambel, kiongozi wa sasa wa Ecuarunari [es] (Shirikisho la...
Matatizo ya Colombia kwa Ukosefu wa Usawa Mijini
Taarifa ya utafiti wa hivi karibuni wa Umoja wa Mataifailiyoripotiwa katika El Tiempo, iligundua kwamba Colombia ilikuwa nchi ambayo iliongezeka kwa wingi wa kukosekana kwa usawa wa mijini mwake kwa miongo miwili iliyopita.Bogotá ilikuwa kanda isiyo na usawa kwa mji mkuu. Na kwa miji 13 ya Colombia iliyosomwa na Umoja...
“Maendeleo kwa Akina Nani?” Wa-Guatemala Wapinga Mradi wa umeme wa Maji
“Maendeleo kwa ajili ya nani? Je, fedha zitabaki katika jamii? Hapana, inaendelea kujaza mifuko ya wengine, na tutaendelea kuishi katika umaskini. Sisi ni tunacho uliza sasa ni kwa serikali kufuta leseni zote za [madini na umeme wa maji] ambazo zimetolewa.” Katika Upside Down World, Kelsey Alford-Jones, Mkurugenzi Mtendaji wa Tume...
Timu ya Soka ya Brazil Yazindua Kampeni Dhidi ya Ubaguzi wa Rangi
Katika video iliotolewa Jumatatu, Agosti 12, timu ya soka ya Grêmio of Porto Alegre ilileta pamoja baadhi ya wachezaji muhimu kwenye orodha ya majina yake, weupe na weusi, kwa majadiliano juu ya ubaguzi wa rangi. Mpango huo ulifanyika kusaidi mpango mpya wa FIFA, uliotekelezwa Mei mwaka huu na kupitishwa bila...
Wikipedia kwa Lugha ya Ki-Guarani
Mwaka huu, Wikipedia katika lugha ya Kihispaniola ilifikia makala milioni moja na kutolewa kwa mwongozo msingi wa mtumiaji katika lugha ya ki-Guarani. Wazo ni kufufua jamii ya wanaozungumza kiguarani katika jukwaa hili kubwa. Hadi sasa kuna makala 20 tu katika lugha hiyo. […] Kama una nia ya kushirikiana na mradi...
Tamko Kuhusu Mustakabali wa Ushirikiano katika Mtandao wa Intaneti.
Wawakilishi wa mashirika yanayoratibu miundombinu ya kiufundi ya huduma ya intaneti waliokutana huko Montevideo; Uruguay, wametoa tamko kuhusu mustakabali wa ushirikiano katika masuala ya Intaneti [es], ambapo walifanya uchanganuzi kuhusiana na changamoto zinazoathiri mustakabali wa mtandao wa Intaneti. Pamoja na mambo mengine, walizungumzia umuhimu wa upatikanaji wa mtandao wa intateti...