· Aprili, 2010

Habari kuhusu Ulaya Mashariki na Kati kutoka Aprili, 2010

Poland: Utata Kuhusu Sehemu Atakayozikwa Rais wa Poland

  16 Aprili 2010

Tangazo la leo kuwa rais wa Poland na mke wake, waliofariki katika ajali mbaya ya ndege huko Smolensk Jumamosi iliyopita, watazikwa katika Kasri la Wawel huko Krakow limezua utata mwingi. Sylwia Presley anatafsiri mitazamo ya baadhi ya wanachama wa Facebook wa kiPoland.

Urusi: Habari za Mwanzo za Milipuko ya Mabomu

RuNet Echo  9 Aprili 2010

Utaratibu wa Jumatatu asubuhi mjini Moscow ulivunjwa leo na milipuko ya mabomu mawili mabomu ya kujiua, ambayo yaliua watu wapatao 38 na kujeruhi kwa uchache watu wapatao 70. Alexey Sidorenko anatafsiri baadhi ya taarifa za mwanzo kutoka katika ulimwengu blogu za Urusi.