· Februari, 2009

Habari kuhusu Ulaya Mashariki na Kati kutoka Februari, 2009

Ukraine: Umaarufu wa Yushchenko Unafifia

  15 Februari 2009

Kwa mujibu wa kura ya maoni iliyofanyika mwezi uliopita, Rais wa Ukraine Victor Yushchenko “angeshinda chini ya asilimia 2.9 ya kura kama uchaguzi wa rais ungefanyika mwishoni mwa mwezi Desemba 2008 au mwanzoni mwa mwezi wa Januari 2009.” Yafuatayo ni maoni yanayomhusu rais na wanasiasa wengine katika ulimwengu wa blogu za Ukraine.