Habari kuhusu Vietnam kutoka Julai, 2013
Tamko la Kurekebisha Sheria Zinazokwaza Uhuru wa Vyombo vya Habari Nchini Vietnam
Zaidi ya wanablogu 60 wa Ki-vietinam walitia saini tamko la pamoja kuitaka serikali ya Vietnam kuboresha rekodi ya haki za binadamu na ahadi wanapowania uanachama katika Baraza la Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu: Serikali ya Vietnam pia inahitaji kutathmini hali ya haki za binadamu katika nchi hiyo na wa-Vietinamu pia wana haki ya...