· Disemba, 2009

Habari kuhusu Thailand kutoka Disemba, 2009

Thailand: Waziri Mkuu wa Zamani Afariki Dunia

  5 Disemba 2009

Samak Sundaravej — Gavana wa Zamani wa Bangkok, mwendeshaji wa kipindi cha mapishi, na Waziri Mkuu wa 25 wa Thailand amefariki dunia tarehe 24 Novemba. Soma maoni ya wanablogu na wanatwita wa Bangkok