· Julai, 2010

Habari kuhusu Ufilipino kutoka Julai, 2010

Asia ya Kusini Mashariki : Ngono na Udhibiti wa Mtandao

  26 Julai 2010

Uratibu wa maudhui katika intaneti unaonekana kana kwamba ni kinyume na demokrasia lakini serikali za Kusini Mashariki mwa Asia zinaweza kuhalalisha kitendo hicho kwa kuzusha haja ya kuwaokoa vijana kutoka kwenye janga la tabia za ngono holela.