Habari kuhusu Asia Mashariki
Mwanzo Mpya Kwa Malaysia Baada ya Wapiga Kura Kuuangusha Utawala wa Miongo Sita wa Chama Tawala
"Barisan Nasional si mtawala wetu tena. Masaa machache kuanzia sasa, jua litaanza kuchomoza. Tunashuhudia Malaysia mpya ikitusalimia."
Serikali ya Ufilipino Yapanga Kukifunga Kisiwa cha Kitalii cha Boracay na Kutishia Kuhamisha Maelfu ya Wakazi
"Malefu kwa maelfu ya watu wataathirika ikiwa kisiwa hiki kitafungwa moja kwa moja. Watu halisi, wanaopumua, siyo takwimu."
Mashirika ya Kimataifa Yataka Kuachiliwa Huru kwa Mwanaharakati wa Haki za Ardhi Nchini Cambodia Tep Vanny
“Ingawa niko jela, nina pingu mikononi na nimevaa sare za wafungwa, ukweli ni kwamba sina hatia daima.”
Mchora Vibonzo vya Kisiasa Nchini Malaysia Zunar Aishitaki Polisi Kwa Kumkamata Kinyume cha Sheria na Kushikilia Vitabu
"You can ban my books, you can ban my cartoons, but you cannot ban my mind. I will keep drawing until the last drop of my ink."
Mkimbizi na Mchora Vibonzo wa Korea Kaskazini Achora Kuhusu Maisha Yalivyo Kwa Watu Wanaotoroka
Akiwa mtoto, walimu walimsifu Choi Seong-guk kwa michoro yake ya wanajeshi wa Kimarekani ambapo anasema aliwafanya waonekane "wabaya na wakatili kadri ilivyowezekana."
Mamlaka ya Habari ya Thailand Yaufungia Mtandao wa TV Uliomwita Kiongozi wa Junta Dikteta
"Amri hiyo inakiadhibu kituo chote ikiwa ni pamoja na vipindi vyote bila kujali maudhui yake, na watu wote bila kujali majukumu yao."
Mwandishi wa Habari wa Thailand na Wakosoaji Dhidi ya Serikali ya Kijeshi Wakabiliwa na Makosa ya Uchochezi Kupitia Facebook
"Nitaendelea kuikosoa serikali batili ya kijeshi hadi watakaponinyang'anya simu janja yangu."
Video ya Muziki Inayoigiza Utawala wa Junta Rule Nchini Thailand
Video huyo, ambayo bado ipo kwenye mtandao wa YouTube, imeenea kwa kasi mtandoani.
Hatua ya Seneta wa Ufilipino Kufanya ‘Habari Potofu’ Ziwe Jinai — Hii Haitamaanisha Kudhibitiwa kwa Habari?
"Unatofautishaje kati ya taarifa ya uongo iliyotokana na kosa la kibinadamu na ile inayosambazwa kwa nia mbaya kupitia magazeti, matangazo au mtandaoni?"
Katika Kutafuta Haki, Mtumishi Huyu wa Kanisa Katoliki Ameandika Nyaraka Kuhusu Mauaji na Dawa za Kulevya Nchini Ufilipino
"Kama mwandishi mpiga picha, lazima uwe karibu na masikini, uelewe uhalisia wa maisha yao."