· Novemba, 2013

Habari kuhusu Malaysia kutoka Novemba, 2013

Ufuatiliaji wa Upendeleo Kwenye Vyombo vya Habari Nchini Malaysia

  1 Novemba 2013

Tessa Houghton anashiriki matokeo ya utafiti ambao ulifuatilia upendeleo katika vyombo vya habari nchini Malaysia wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 13 miezi michache iliyopita: Wananchi wa Malaysia ambao walitegemea Kiingereza na Bahasa magazeti ya Malaysia na/au televisheni kama chanzo cha vyombo vyao vya habari wakati wa kampeni ya GE13 hawakutolewa...