· Februari, 2009

Habari kuhusu Kambodia kutoka Februari, 2009

Kampuchea: Vikwazo Vya Intaneti Vyalenga Wasanii

  4 Februari 2009

Wizara ya Masuala ya Wanawake nchini Kampuchea imetishia kuizuia tovuti yenye michoro ya wacheza ngoma ya Apsara walio vifua wazi pamoja na mwanajeshi wa Khmer Rouge. Uchujwaji wa habari wa namna hii unawalenga wasanii wanaotambulika zaidi kwa uwepo wao katika mtandao wa intaneti.