Habari kuhusu Asia Mashariki kutoka Septemba, 2014
Blogu Sita za Kiingereza Zinazoweza Kukusaidia Kuielewa Japani
Orodha ya blogu bora za Kijapani zinazoandika matukio, utamaduni, siasa, uhalifu unaotokea Japani na zaidi. Kama kuna blogu tumeisahau, tafadhali iongeze kwenye kisanduku cha maoni!
Papa Francis Kutembelea Eneo Lililokumbwa na Kimbunga cha Haiyan Nchini Ufilipino
Nembo na tovuti rasmi inayohusiana na ziara ya Papa Francis nchini Ufilipino mwezi Januari 2015 tayari imezinduliwa. Papa Francis atatembelea jiji la Manila ma Tacloban. Tacloban ndiko lilikotokea janga la Kimbunga cha Haiyan kilichochukua maisha ya watu 6,000 kwenye mkoa wa Visayas Kusini. Ukiachilia mambo Timor Leste, Ufilipino ni nchi...
Waandamanaji Wanaodai Demokrasia Wageuza Hong Kong Kuwa Bahari ya Miamvuli
Yakiwa yamepewa jina la utani la "mapinduzi ya miamvuli" na baadhi ya vyombo vya habari, maandamano ya Hong Kong yatawaliwa na waandamanaji wanaojikinga na mabomu ya kutoa machozi kwa kutumia miamvuli.
Polisi wa Hong Kong Wawapiga Mabomu ya Machozi Waandamanaji Wanaodai Demokrasia
Polisi walipambana na waandamanaji baada ya maandamano ya kukaa katikati ya jiji la Hong Kong kudai uchaguzi wa demekrasia halisi.
Video ya Kuonesha namna Mlima Ontake Ulivyolipuka
Mtu mmoja amethibitika kufa, wakati wengine wapatao hamsini wakiwa wamejeruhiwa vibaya, na wengine kumi hawajulikani walipo baada ya Mlima Ontake, ulio maarufu kwa ukweaji mlima, katikati ya Japani, kulipuka
Filamu Yaonesha Namna Kabila Dogo Linavyojaribu Kuwazuia Wakata Misitu Kuharibu Mazingira
Sunset Over Selungo ni filamu ya dakika 30 inayoonesha namna kabila la wenyeji la Penan linavyopigania kutunzwa kwa misitu ya asili kwenye kisiwa cha Borneo nchini Malaysia. Borneo ni kisiwa kikubwa zaidi barani Asia. Filamu hiyo imetengenezwa na mtayarishaji huru wa filamu wa Kiingereza, Ross Harrison
Uchafu Kutoka Viwandani Waua Mamia ya Ndege wa Porini Nchini Mongolia
Zaidi ya ndege wa majini 500 wameonekana wakiwa wamekufa katika eneo la maziwa nchini Mongolia tangu kuanza kwa majira ya kipindi cha joto kutokana na maji kuchafuliwa. Maji hayo machafu, kama ilivyotaarifiwa na wafugaji wa maeneo hayo, maji haya yaliyochanganyikana na taka sumu yalitoka katika eneo la viwanda. Annie Lee...
Maktaba ya Digitali ya Tiba Asilia Nchini Ufilipino
Ikiwa imeanzishwa na mamlaka kadhaa za kiserikali, Maktaba Dijitali ya Elimu ya Tiba za Jadi Ufilipino (TKDL-Health) inalenga kuweka kumbukumbu na kufanya masuala ya tiba za jadi kuwa za kidijitali nchini humo. Jamii, ambazo nyingi ni zile za miliamni au majirani zao, zimekuwa zikitegemea miti na mazao mengine ya asili...