Habari kuhusu Asia Mashariki kutoka Februari, 2010
Misri: Mwanablogu apoteza kazi kwa kufichua ukweli kuhusu habari ya bikra za bandia
Mwanablogu ambaye pia ni mwanahabari wa Kimisri Amira Al Tahawi amefukuzwa kazi kwa kufichua ukweli kuhusu habari ya uongo juu ya bikra za bandia zinazotengenezwa China katika makala alioyoichapa kwenye yake, ndivyo wanavyodai wanablogu. Yafuatayo ni baadhi ya maoni kutoka kwenye ulimwengu wa blogu za Kimisri kuhusu kisa hicho.
Malaysia: Harakati za Kutovaa Nguo za Ndani Wakati Wa Siku ya Valentino
Wanafunzi kadhaa wa kike nchini Malaysia wanahamasisha "harakati za kutovaa nguo za ndani" katika siku ya Valentino. Kampeni hiyo imepata umaarufu mno kupitia ujumbe wa mtu kwa mtu na kwa kupitia intaneti. mamlaka za kidini hazijafurahishwa. Wanablogu wanatoa maoni.
China: Yatishiwa na Zuio la Mtandao Lililofanywa na Marekani
Maoni kutoka kwa watengeneza programu wa Kichina kuhusu uamuzi wa SourceForge.net wa kufuata sheria za Marekani na kuzuia watumiaji kutoka nchi kadhaa yanajumisha mapendekezo ya jinsi ya kuuzunguka uamuzi huo wa marekani kwenye wavuti wa dunia.