Habari kuhusu Video kutoka Julai, 2014
Kuhusu Kuwa Kijana, Mweusi na Mgeni nchini Afrika Kusini
Leila Dee Dougan anaweka video ya muziki inayotoka kwenye toleo la hivi karibuni la msanii wa Afrika Kusini Umlilo: Umlilo (ambaye hapo awali aliandikwa kwenye tovuti ya Africa is a Country) anaendelea kupunguza mipaka ya kijamii, akivunja vunja mila zinazohusu masuala ya jinsia na mapenzi kwa kutumia albamu yake ya...
Mitandao ya Kijamii Yasaidia Kuikoa Côte d'Ivoire Iliyokumbwa na Mafuriko
Abidjan na maeneo mengine ya Côte d'Ivoire yamekumbwa na mafuriko makubwa katika majuma kadhaa yaliyopita [fr]. Wakazi wa maeneo husika walijipanga kwenye mitandao ya kijamii ili kusaidia namna ya kuwaokoa wananchi waliokuwa wamekwama kwenye janga hilo. Kwenye mtandao wa twita na facebook, #CIVSOCIAL ilikuwa ni alama ishara iliyokuwa ikitumika kwa...
Misri Yapandisha Bei ya Mafuta Hadi Asilimia 78
Wamisri watumiao mtandao wamekasirishwa na ongezeko la bei ya mafuta, hatua ambayo wanasema itasababisha kupanda kwa gharama za usafiri, chakula na hata huduma nyingine za jamii.
Je, Tunaweza Kuwasaidia Wazee kwa Kuwakumbatia? Kampeni hii ya India Yasema ‘Ndio!’
Kampeni ya KUKUMBATIA inafanya kazi kuunganisha pengo ya umri kati ya vijana na wazee katika juhudi za kupunguza hali ya kuwatenga wazee nchini India.