Habari kutoka Muhtasari wa Habari na Singapore
Je, Ujumbe wa Shirika la Ndege la Singapore Baada ya Ndege MH17 Kuanguka Haukuwa wa Kiugwana??
Baada ya habari kufahamika kwamba ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH17 imeanguka mashariki mwa Ukraine, Shirika la Ndege la Singapore liliweka ujumbe huu kwenye mtandao wa Facebook na Twita: Customers may wish to note that Singapore Airlines flights are not using Ukraine airspace. — Singapore Airlines (@SingaporeAir) July...
Vyuo Vikuu Vingi Mno Nchini Singapore?
Limpeh anabaini ongezeko kubwa la taasisi za eleimu ya juu nchini Singapore. Je, hizo ni habari njema au mbaya kwa nchi ya Singapore? …kupanuka huku [kwa elimu ya juu] kumekuwa na matokeo mabaya kwa soko? Kwa hiyo wakati kupanuka huku kunaweza kuwa kumeongeza ajira kwa baadhi ya baadhi ya watu...
Mradi wa Kumbukumbu za Kihistoria Nchini Singapore
Ukiwa umeanzishwa mwaka wa 2011, Mradi wa Kumbukumbu za Singapore unalenga “kukusanya, kuhifadhi na kuhakikishia upatikanaji” wa historia ya Singapore. Zaidi ya hayo, “ina lengo la kutengeneza mkusanyiko wa maudhui ya taifa ikiwa ni pamoja na maandiko, kanda za sauti na video kwa ajili ya kuzihifadhi katika mfumo wa kidijitali, na kuzifanya...
Ripoti ya UNESCO kuhusu vyombo vya habari vya Singapore
Repoti ya Unesco inaonesha ‘udhibiti wa hali juu’ wa vyombo vikuu vya habari nchini Singapore huku ikizitambua blogu na tovuti za vyombo vyauanahabari mpya kuwa vinatoa “mazungumzo makini mbadala juu ya masuala muhimu ya kisiasa na jamii kama vile siasa za ndani ya nchi, haki za mashoga na wazee.”