Habari kutoka na

Majira ya Baridi Tajik, “Jiji Baya Zaidi Barani Asia”

  2 Machi 2014

Mwanablogu msafiri anaandika kuhusu namna alivyotumia muda wake wa msimu wa baridi jijini Dushanbe, mji mkuu wa Tajikistan.  Nilitumia sehemu kubwa ya sehemu ya majira ya baridi nikiwa nimejikunyata kwenye kifaa cha kupashia nyumba kiitwacho (pechka), huku nikiwa na kikombe cha chai mkononi. Baadhi ya nyakati za asubuhi kila kitu...

Azerbaijan: Bikra

  4 Novemba 2009

Mwanablogu wa Emotions on Air, Mind Mute anatafakari marajio ya jamii kwamba wanawake watabakia mabikira mpaka watakapofunga ndoa. Japokuwa ipo nchini Azerbaijan, blogu hiyo inabaini mfumo unaofanana wa maadili katika eneo lote la Caucasus na inaongelea kuhusu dhana na taratibu za namna hiyo za mfumo dume.