Habari kuhusu Picha
Vito na Sarafu za Kale za Syria Zapigwa Mnada Kwenye Mtandao wa Facebook
Sarafu za kale zilizoibwa na ISIS kutoka kwenye maeneo yanayodhibitiwa na ISIS, sasa yanapigwa mnada kwenye mtandao na Facebook kwa mamilioni.
Je, Saudi Arabia Imelishambulia Bwawa la Kale la Marib Nchini Yemen?
Kuna taarifa zisizodhibitishwa zinazosema kwamba vikosi vya pamoja vya Kisaudi, ambavyo vimekuwa vikiishambulia Yemen kwa mabomu kwa zaidi ya miezi miwili sasa vimelilenga Bwawa la Marib, moja wapo ya maajabu makuu ya katika ulimwengu wa ubunifu wa kale wa kiufundi. Kwenye mtandao wa Twita, Hussain Albukhaiti anadai: Unconfirmed reports: #Saudi...
Tunayoyajua na Tusiyoyajua Baada ya Jaribio la Mapinduzi Nchini Burundi
Celebration and jubilation near Presidential offices in Bujumbura after the overthrow of Nkurunziza. #BurundiCoup pic.twitter.com/WhJzXKfS69 — Robert ALAI (@RobertAlai) May 13, 2015 Shangwe na vifijo karibu na ikulu ya Rais nchini Bujumbura baada ya kupinduliwa kwa Nkurunzisa. Kufuatia nia ya kugombea urais kwa kipindi cha tatu ya Rais wa Burundi...
Namna ya Kuwafanya Wagonjwa wa Ebola Waone Nyuso za Wahudumu Wao Nchini Liberia
Fikiria kuwa hospitalini ukiugua maradhi yanayochukua maisha ya watu wnegi na huwezi kuona nyuso za wale wanaokuhudumia. Hicho ndicho kile ambacho Mary Beth Heffernan alijaribu kukibadili.
Mbali na Kusikia Habari za Boko Haram Nchini Niger, Fahamu Jangwa la Ténéré
Niger ipo katika vita na Boko Haram. Tusilisahau hili, hata hivyo, Niger ni mahali palipo na miradi mingi na pia ni eneo lililosheheni utajiri mwingi wa asili pamoja na ushairi.
Kufuatia Shambulizi la Garissa, Jamii ya Wazungumzaji wa Kifaransa Waungana na Wakenya
147 people were killed by gunmen on the campus of Garissa University in Kenya. The world and specifically the french speaking world after Charlie Hebdo, shows support to the victims
Shambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako
Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took Terrasse kwenye mitaa ya Bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya. Washukuiwa wawili wamekamatwa...
Picha za Kusikitisha za Watoto wa Kifilipino Wanaofanya Kazi Migodini
"Ni miaka minne sasa tangu nilioacha shule. Niliweza kufika darasa la sita peke yake na hapo nililazimika kuachana na masomo ili nikafanye kazi".
Msichana Achora Ramani ya Palestina kwa Kutumia Risasi za Israeli Alizokusanya Karibu na Nyumbani Kwao
Picha hii ya msichana wa ki-Palestina inazunguka kwenye mitandao ya kijamii. Taarifa zinasema msichana huyu alikusanya maganda ya risasi karibu na nyumbani kwao, akayatumia kuchorea ramani ya Palestina.
Vijana wa Naija Wacharuka Kufuatia Shambulizi la Boko Haram huko Bosso na Diffa
Kwa mara ya kwanza, Boko Haram kimetekeleza shambulio kwenye mpaka na Naija na vijana wa ki-Naija hakuweza kuvumilia. Boko Haram walishambulia Bosso na Diffa, miji miwili iliyo kusini mashariki mwa Naija kwenye mpaka wa nchi hiyo na Naijeria lakini walirudishwa nyuma na majeshi ya Chad na Naija. Boko Haram imepoteza...