· Machi, 2014

Habari kuhusu Picha kutoka Machi, 2014

Twiti ya kwanza kutoka kwa Rais wa Madagaska

Rais mteule wa Madagaska Hery Rajaonarimampianina amefungua akaunti yake ya mtandao wa twita mnamo tarehe 23 Machi, 2014. Hii ndiyo twiti yake ya kwanza :  Kuna uwezekano mkubwa kuwa hiyo ndiyo twiti maarufu kutoka kwa mkuu wa nchi. Ni Rupert Murdoch anaweza kuwa na wasiwasi na kiwango cha “ukubwa/umaarufu” wa...

Watumiaji wa Huduma ya Tor Waongezeka Nchini Uturuki

Mtetezi wa haki za binadamu na maadili Frederic Jacobs anabainisha kuwa idadi ya watu wanaotumia huduma ya Tor imeongezeka nchini Uturuki: Matumizi ya huduma ya Tor yako juu. Watu. > 35 000 wamejiunga. Watu zaidi wanatarajiwa kujiunga ndani ya siku chache zijazo. pic.twitter.com/1c7AOflm7h — Frederic Jacobs (@FredericJacobs) Machi 23, 2014 Uturuki...

Saudi Arabia Inadhibiti Majina ya Watoto

Huruhusiwi kumwita mwanao wa kike majina kama Eman, au Sandy, au Yara. Na kama ni mvulana, majina kama Abdelnasser, Amir au Abdulmoeen hayaruhisiwi. Lakini hiyo si Saudi Arabia pekee. Kwenye mtandao wa twita, Iyad El Baghdadi anaorodhesha majina ya watoto yaliyopigwa marufuku kabisa kwenye ufalme huo: Orodha ya majina yaliyopigwa...