· Julai, 2010

Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Julai, 2010

Brazil: Ukatili Dhidi ya Wanawake Kila Siku

  31 Julai 2010

Nchini Brazil, wanawake 10 huuwawa kila siku. Mauaji ya hivi karibuni na anasadikiwa kuwa mzazi wa mtoto wake, mlinda mlango nyota aneyetarajiwa, yamewasha cheche za majadiliano katika uwanja wa blogu kuhusu ukatili dhidi ya wanawake.