Habari kuhusu Vita na Migogoro
Wanawake Wanaongoza Maandamano Nchini Sudan
“Wanawake wako mbele, kushoto, na katikati mwa mapinduzi. Maandamano yalipoanza, watu walidai, "Wanawake wangebaki nyumbani.' Lakini sisi tulisema — hapana.”
Tunaelewa Nini Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao Nchini Msumbiji?
Mnamo Oktoba, 2019 Msumbiji itachagua magavana wake kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. Kabla ya uchaguzi huu, magavana hawa waliteuliwa na rais.
Namna Utoaji Bure wa Kifungua Kinywa Nchini Yemen Ulivyorudisha Wasichana 500 Shuleni
Kabla ya mradi kuanza, moja ya tano ya wanafunzi walikuwa wahahudhurii. Sasa, wote wamerudi darasani.
Vita,Usimamizi Hafifu Wa Vyanzo Vya Maji na Mabadiliko Ya Tabia Ya Nchi Vyapelekea Uhaba Mkubwa Wa Maji.
"Ninailaumu serikali kwa kutokuangalia na kushughulikia tanga la maji. Hakuna anayejali watu."
Wahalifu na Vita vya Kibiashara: Ni Mexico ya Aina Gani Inayomsubiri Rais Mpya?
"Leo nchini Mexico mtu hawezi kujipatia mamlaka kwa kutumia silaha, lakini anaweza kuwa na mamlaka wakiwa na salaha."
Waandishi wa habari wa Urusi wauawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Waandishi watatu wa ki-Rusi wameuawa leo nchini Jamhuri ya Kati, kwenye eneo la ukaguzi nje kidogo ya mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.
Waandamanaji wa Amani Kutoka Helmand Wanatarajia Kubadilisha Historia ya Afghanistan
"Kuwaona ilikuwa wakati wa furaha na uponyaji kwangu na kwa mama."
Mwandishi wa Habari wa Kashmiri Shujaat Bukhari Auawa kwa Kupigwa Risasi
"Haiwezekani kujua nani ni adui zetu na nani hasa ni marafiki zetu."
Riwaya Hii ya Kidigitali Yasimulia Vurugu Dhidi ya Waindonesia Wenye Asili ya China Walioandamana Nchini Indonesia Mwaka 1998
"Miaka 20 sasa, mwaka 1998 hautambuliki. Kuna mambo mengi yamefanyika kurekebisha hali ya mambo na kudai namna mbalimbali za haki."
Sabika Sheikh, Mwanafunzi wa Pakistan Aliyetaka Kuunganisha Nchi Mbili Auawa kwa Kupigwa Risasi
"...alisema...' Ninataka kujifunza utamaduni wa ki-Marekani na ninataka Marekani kujifuzna utamaduni wa Pakistan na ninataka tuje pamoja na tuungane," mama yake wa kufikia anakumbuka.