<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; War &amp; Conflict</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/topics/war-conflict/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Brazil: Mtazamo wa Wakazi wa Vitongoji Maskini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 11:21:58 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Brazil]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Portuguese]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=716</guid>
		<description><![CDATA[Katika makala hii, tunasikia mitazamo ya wanahabari raia kutoka mradi wa Viva Favela kuhusiana ya vurugu inayotokana na mihadarati huko Rio de Janeiro na jinsi inavyofagia makazi ya walalahoi, kama wanavyoiona mbele ya milango ya nyumba zao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/diego-casaes/">Diego Casaes</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/01/brazil-a-view-from-slum-dwellers-on-rios-drugs-war/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wiki iliyopita, picha za vita kati ya wasafirishaji na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya mjini Rio de Janeiro zilitapakaa duniani. Tarehe 17 Oktoba, mapambano kati ya magenge yanayotokea vilima vya Morro Sao Joao na Morro dos Macacos yaliwatisha watu. Mamia ya askari wa jimbo walipelekwa katika juhudi za kudhibiti magenge hayo yanayoshindana lakini haikusaidia: ugomvi kati ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya na polisi yalipelekea kutunguliwa kwa helikopta ya polisi na vifo vya polisi watatu, na kuchukua maisha ya zaidi ya watu 30 wengine, miongoni mwao wakiwemo watu wanaotuhumiwa kuwa wanachama wa magenge na wapiti njia. </p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 610px"><img alt="Wakati helikopta inalipuka. Picha na Taiane Oliveira kwenye Twitpic." src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/36736952.jpg" title="The moment the helicopter exploded. Photo by Taiane Oliveira On Twitpic." width="600" height="450" /><p class="wp-caption-text">Wakati helikopta inalipuka. Picha na Taiane Oliveira kwenye Twitpic.</p></div>
<p>Blogu ya <em><a href="http://inblogs.com.br/censurado/">Censurado</a></em> inaukosoa mtizamo wa gavana katika mgogoro huu, baada ya kusikia habari zinazoashiria kuwa <a href="http://inblogs.com.br/censurado/politicanacional/carnaval-fora-de-epoca-no-rio-de-janeiro-chove-bala-rio-2016-socorro-ja">polisi hawakujua chochote juu a uvamizi</a>:</p>
<blockquote><p>Vocês viram as cenas na televisão este fim de semana? Helicóptero caindo, policial morrendo queimado, inocente metralhado nas ruas e traficante invadindo a favela do outro em plena luz do dia, uma verdadeira cena de filme de guerra. Dizem no Rio que até o serviço secreto israelense sabia que um morro atacaria o outro, mas mesmo assim o governador Sérgio Cabral diz que a policia carioca não sabia de nada? Acho que ele anda passando muito tempo com o Lula. Só isso explica essa ‘ignorância&#39; sobre o tema.</p></blockquote>
<div class="translation">Je uliiona habari katika televisheni mwishoni mwa juma hili? Helikopta akianguka, polisi wanaungua moto, watu wasio na hatia wanapigwa kwa risasi mitaani na wauza madawa ya kulevya wakivamia vitongoji vya wauzaji wengine mchana kweupe; kama picha kutoka kwenye sinema ya vita. Mjini Rio, watu wanasema kuwa hata shirika la kijasusi la Israel lilikuwa linafahamu kuwa wauza madawa ya kulevya wangeeenda kuwashambulia wauzaji wengine, lakini bado gavana Sergio Cabral alisema kuwa polisi wa carioca walikuwa hawafahamu lolote? Nadhani anatumia muda mwingi na [rais wa Brazil] Lula. Hiyo ndiyo sababu pekee ya “kutokufahamu kwake” juu ya suala hili.</div>
<p>Mwanablogu <em><a href="http://anamvc.blogspot.com/">Ana Maria</a> </em>[pt] anasema kuwa kuitungua helikopta siyo kazi rahisi na kuonyesha kuwa huu unaweza ukawa ni mwanzo tu. <a href="http://anamvc.blogspot.com/2009/10/desespero-do-trafico.html">Anasema</a>[pt]:</p>
<blockquote><p>Mas os senhores do tráfico, donos dos morros cariocas possuem não apenas as armas capazes disso, possuem indivíduos capazes de manuseá-las e causar um desastre como o do sábado.<br />
Isso vai ficar marcado para sempre na memória da PM e do cidadão de bem, morador do estado do Rio de Janeiro.<br />
Se eles podem fazer isso com um helicóptero da polícia tripulado por homens treinados, que dão a vida pela segurança pública, o que podem fazer com o cidadão comum?<br />
Não vou “tapar o sol com peneira”.<br />
As coisas podem piorar.</p></blockquote>
<div class="translation">Sio tu vigogo wa madawa ya kulevya, bali pia wamiliki wa makazi ya masikini katika carioca, wanazo bunduki zenye uwezo wa kufanya jambo kama hilo mikononi mwao, na pia wanao watu waliofundishwa kuzitumia na kusababisha janga kama la Jumamosi iliyopita.<br />
Tukio hili litaacha lama katika kumbukumbu za Polisi na raia wa kawaida, wakazi wa jimbo la Rio de Janeiro.<br />
Kama wanaweza kufaifanyia hivi helikopta inayoendeshwa na watu waliofuzu, ambao wametoa maisha yao ili kutoa usalama kwa umma, je wanaweza kufanya nini kwa raia wa kawaida?<br />
Siwezi “kulificha jua kwa chujio”.<br />
Mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi.</div>
<p><strong><br />
Maelezo ya wakazi juu ya vita vya madawa ya kulevya</strong></p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 410px"><img alt="Mwanamke aliyembeba mtoto anatembea bila kujali mbele ya maofisa wa polisi wanaofanya doria katika Morro dos Macacos" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-010.jpg" title="Macacos-010" width="400" height="300" /><p class="wp-caption-text">Mwanamke aliyembeba mtoto anatembea bila kujali mbele ya maofisa wa polisi wanaofanya doria katika Morro dos Macacos</p></div>
<p>Mradi wa habari wa jamii <em><a href="http://www.vivafavela.com.br/">Viva Favela</a></em> [pt] unatoa <a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46399&#038;sid=87">maelezo ya wakazi walioshuhudia kwa macho ugomvi huu</a>. Waandishi wao wa kiraia – ambao wote wanaishi katika mstari wa mbele wa mapambano – wamekusanya maoni kutoka kwa wakazi wa kwenye maeneo hayo na picha za siku ambayo vita vya madawa ya kulevya vilianza jijini Rio de Janeiro.</p>
<p>Mtu wa kwanza kusikilizwa na <em>Viva Favela</em> alikuwa Hugo Mattos, ambaye anaishi kwenye mtaa ambao ndio njia ya kuelekea kwenye eneo ambalo matukio yalijiri (Morro dos Macacos). Alisema kuwa wauza madawa ya kulevya walitumia bunduki zenye nguvu ya juu na akaongeza kuwa kuna aina fulani ya hofu ya jumla kwamba ikiwa polisi watalichukua tena eneo linalokaliwa na wauza madawa ya kulevya, patazuka machafuko mabaya kama jibu kutoka kundi linalotawala Morro dos Macasos: </p>
<blockquote><p>O tiroteio começou por volta das duas da manhã e só terminou às oito horas, quando a policia chegou. Muita gente teve que dormir fora de casa nesse dia.</p>
<p>As pessoas dizem que ninguém deve sair de casa depois das 10 horas, porque algo pode acontecer.</p></blockquote>
<div class="translation">Kutupiana risasi kulianza kwenye majira ya saa 8 za usiku na kumalizika saa 2 asubuhi wakati polisi walipowasili. Iliwabidi watu wengi walale nje ya nyumba zao usiku ule. Watu wanasema kuwa hakuna anayepaswa kutoka nyumbani kwake baada ya saa 4 za usiku, kwa kuwa lolote linaweza kutokea.</div>
<p>Kwa mujibu wa <em>Viva Favela</em>, taarifa kama hizi huletwa wakati wote kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo, ambao hawana uwezo wa kufanya lolote. Jioni ya Jumanne tarehe 20 Oktoba, wakazi wa Morro Sao Joao waliandamana kutokana na hofu ya kuvamiwa kama majibu (ya wauza madawa walioshambuliwa awali), hofu ambayo ilitajwa kuwa haikuwa na msingi wowote na Mkuu wa jeshi la Polisi, Kanali Mario Sergio Duarte. Hata hivyo, watu walikwishaingiliwa na hofu. Mkazi mwingine wa Morro dos Macacos, Karen Carolina Nascimento anasema kuwa kutupiana risasi kati ya wauza madawa ya kulevya na polisi kumekuwa kukiendelea kwa miezi miwili. Anahofu mgogoro mpya:</p>
<blockquote><p>Já era praticamente uma rotina, mas no último sábado foi diferente. O confronto aconteceu por causa de uma tentativa de invasão e não foi a primeira vez que os traficantes do Morro São João tentam. O comentário que se escuta no morro é que a facção rival deu uma ordem para tomar o Morro dos Macacos até dezembro e que esses bandidos tiveram ajuda de policiais para tentar invadir.</p>
<p>O policiamento não está reforçado e os moradores estão muito apreensivos com medo de uma outra invasão. Eu trabalho no pé do Morro São João e vou para a minha casa andando. Ontem só havia um único carro com dois policiais dentro parado em uma esquina. Em cima do morro não existe policiamento nenhum. Uma vez ou outra um carro blindado sobe e faz uma ronda. Estamos com muito medo porque com certeza a facção rival vai tentar tomar novamente.</p></blockquote>
<div class="translation">[Vita vya Magenge] vimekuwa ni kama kama kawaida, lakini jumamosi hii ilikuwa tofauti. Mgogoro ulianza kwa sababu ya jaribio la kuivamia Morro dos Macacos lililofanywa na wauza madawa ya kulevya kutoka Morro Sao Joao, na hili halikuwa jaribio la kwanza. Neno lililokuwa kwenye kwenye makazi ni kuwa kundi shindani limetoa amri ya kuiteka Morro dos Macacos ifikapo mwezi Desemba na kwamba maofisa wa polisi walikuwa wanawaunga mkono wauzaji hao.<br />
Doria ya polisi haitekelezwi na wakazi wana wasiwasi mkubwa, wanahofia uvamizi mpya. Ninafanya kazi chini ya bonde la Morro Sao Joao na hutembea ninaporudi nyumbani. Jana, kulikuwa na gari moja tu lililokuwa na maofisa wawili wa polisi ndani yake lililoegeshwa kwenye kona. Hakuna doria ya polisi juu kwenye makazi. Mara moja moja kwa nadra gari iliyokingwa (mithili ya gari ya jeshi) huja huku juu na kufanya doria. Tumo kwenye hofu kubwa kwani tuna hakika kuwa kundi shindani litajaribu kulikomboa eneo.</div>
<p><em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46400&#038;sid=87">Viva Favela</a></em> [pt] pia inatoa maoni ya <em>Wagner da Silva de Barros</em>, mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mkazi wa Vila Penheiro kutoka Complexo da Mare, anayesema kuwa athari za mgogoro katika Morro dos Macacos umefika mbali kiasi hiki kwa sababu ya helikopta iliyotunguliwa na anaongeza kuwa vita hii itaenea pia kwenye  jamii nyingine nyingi:</p>
<blockquote><p>A queda do helicóptero e a morte dos três policiais chocou parte da população, mas na Maré, durante cinco meses, nós vivemos um confronto entre facções que matou muita gente, inclusive moradores que nada tinham a ver com o tráfico, e não teve nem metade da divulgação que esse tiroteio dos Macacos está tendo.</p>
<p>Esses tiroteios reforçam de que na favela só existe bandido e violência, mas o que muitas pessoas ignoram é que trabalhadores morrem durante os conflitos e são logo identificados como traficantes pela polícia.</p></blockquote>
<div class="translation">Kuanguka kwa helikopta na vifo vya maofisa watatu wa polisi kulishtua sehemu ya wakazi wa kwenye vitongoji, lakini Mare [vitongoji hivyo vya hali ya chini], kwa miezi mitano, tumeishi katika ugomvi baina ya makundi ambao umeua watu wengi zaidi, pamoja na wakazi ambao hawakuwa na uhusiano wowote na biashara ya madawa ya madawa ya kulevya, na hawa hawakupata hata nusu ya habari zilizotangazwa na vyombo vya habari juu ya mapambano ya risasi katika Morro dos Macacos.<br />
Mapambano haya ya risasi yanasisitiza ukweli kuwa katika maeneo ya maskini (favelas) kuna majambazi na machafuko, ila jambo ambalo watu wengi hawafahamu ni kuwa wafanyakazi hufariki wakati wa machafuko na haraka polisi huwatangaza kama wauza madawa ya kulevya.</div>
<p>Kwa mujibu wa <em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46400&#038;sid=87">Viva Favela</a></em> [pt], katika kesi ya Morro dos Macacos, vijana watatu wa kiume wasio na hatia ambao waliuwawa kwa risasi walijumuishwa kwenye orodha ya majambazi waliouwawa. Katibu wa Usalama Jose Mariano Beltrame alijirudi na kuomba msamaha kwa familia za Marcelo Costa Gomes, 26, Leonardo Fernandes Paulino, 27, na Francisco Haílton Vieira Silva, 24. Walikuwa wanarudi nyumbani kutokea kwenye hafla wakati uvamizi ulipotokea. Kijana wa nne, mhudumu wa hoteli Francisco Alaílton Vieira da Silva, 22, aliokolewa na wakazi na hivi sasa yuko hospitali katika kitengo cha huduma maalum. Mpenzi wake wa kike ni mjamzito wa miezi 3.</p>
<p>Walter Mesquista wa <em>Viva Favela</em> pia <a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46399&#038;sid=87">anatoa picha za mgogoro huo</a> zilizopigwa na mpiga picha <em>Guillermo Planel</em> siku ambayo watu wanaiita “Vita vya Mihadarati”.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-001.jpg" title="Macacos-001" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-002.jpg" title="Macacos-002" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-003.jpg" title="Macacos-003" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-004.jpg" title="Macacos-004" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-005.jpg" title="Macacos-005" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-006.jpg" title="Macacos-006" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-007.jpg" title="Macacos-007" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-008.jpg" title="Macacos-008" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-009.jpg" title="Macacos-009" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos011_trat.jpg" title="macacos011_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos012_trat.jpg" title="macacos012_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos013_trat.jpg" title="macacos013_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p>Kuna mauaji takriban 6,000 kwa mwaka katika jimbo zima la Rio, ambalo lina wakazi milioni 14. Operesheni “Eneza Amani” yenye doria ya kudumu imekuwa ikitekelezwa kwa mwaka mzima katika vitongoji vitano. Ongezeko la uwepo wa polisi vitongojini kunayalazimisha magenge kupigania maeneo mengine.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/viva_favela_logoweb-300x136.jpg" title="viva_favela_logoweb" class="alignnone" width="300" height="136" /></p>
<p><em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=40489&#038;sid=74">Viva Favela</a> ni mradi wa uanahabari wa kijamii ambao unafanya kazi na wanablogu malum pamoja na wapiga picha ambao wanaishi katika maeneo maskini ya Rio de Janeiro. Mradi huo uko chini ya uongozi wa Mhariri <a href="http://twitter.com/rodrigonogueira">Rodrigo Nogueira</a>. Unaweza kupata taarifa zaidi katika <a href="http://twitter.com/vivafavela">akaunti yao rasmi ya Twita</a></em> [pt] <em>na katika <a href="http://www.orkut.com.br/Main#Community?cmm=33684890">jamii </a>ya Orkut </em>[pt].</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Video: Dunia Yaadhimisha Kuanguka kwa Ukuta wa Berlini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/video-dunia-yaadhimisha-kuanguka-kwa-ukuta-wa-berlini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/video-dunia-yaadhimisha-kuanguka-kwa-ukuta-wa-berlini/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 11 Nov 2009 12:50:28 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Cyprus]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Film]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[German]]></category>
		<category><![CDATA[Germany]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Mexico]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=620</guid>
		<description><![CDATA[Leo ni Kumbukumbu ya 20 ya kuanguka kwa Ukuta wa Berlini, kizingiti madhubuti cha kiusalama ambacho kiliwahi kuligawa jiji la Berlini katika pande mbili za Mashariki na Magharibi huko Ujerumani. Leo tunaonyesha baadhi ya picha za video zinazotoka pande mbalimbali za dunia zinazopandishwa ili kusherehekea siku hii na nini ukuta huo ulimaanisha siyo Ujerumani tu bali duniani kote. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juliana-rincon-parra/">Juliana Rincón Parra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/09/video-the-world-commemorates-the-fall-of-the-berlin-wall/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><div class="wp-caption aligncenter" style="width: 310px"><img alt="Ukuta wa Berlini na Natalie Maynor" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/127094076_0624cc7780-300x214.jpg" title="Berlin Wall by Natalie Maynor" width="300" height="214" /><p class="wp-caption-text">Ukuta wa Berlini na Natalie Maynor</p></div><br />
Leo ni <a href="http://www.mauerfall09.de/">Kumbukumbu ya 20 ya kuanguka kwa Ukuta wa Berlini</a>, kizingiti madhubuti cha kiusalama ambacho kiliwahi kuligawa jiji la Berlini katika pande mbili za Mashariki na Magharibi huko Ujerumani. Leo tunaonyesha baadhi ya picha za video zinazotoka pande mbalimbali za dunia zinazopandishwa ili kusherehekea siku hii na nini ukuta huo ulimaanisha siyo Ujerumani tu bali duniani kote. </p>
<p>Huko Ujerumani, mfululizo wa mifano ya vipande vya mchezo wa domino iliundwa kutumia maboya na kisha kunyanyuliwa ili baadaye yaangushwe kama ishara ya kumaliika kwa zama za Vita Baridi. <a href="http://www.youtube.com/watch?v=rsDNfQqnET4">Video hii iliyotayarishwa na NoCommentTV</a> inaonyesha vipande hivyo vya domino, ambavyo <a href="http://www.spiegel.de/international/germany/0,1518,615014,00.html">vilichorwa na watoto huko Ujerumani</a> na p<a href="http://www.heiditrautmann.com/category.aspx?CID=2676368777">ia na wasanii wanaoishi maeneo mengine ambapo kuna migawanyiko na kuta</a>, vikisimamishwa. Kipande cha kukupa vitu vya kuchagua kimezuiwa kufanya kazi, lakini <a href="http://www.youtube.com/watch?v=0y5eGXy_laQ">unaweza kuona jinsi vipande hivyo vya domino vilivyoangushwa kwa kubofya kiungo hiki ili kuiona katika ukurasa wake wa YouTube</a>.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/rsDNfQqnET4&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/rsDNfQqnET4&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kule <a href="http://www.youtube.com/watch?v=hDCHrnZdwcs">Kolombia</a>, wanafunzi waliigiza uangukaji wa ukuta huo, kwa kupokezana kuvunjilia mbali ukuta wa zege:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/hDCHrnZdwcs&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/hDCHrnZdwcs&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kutoka Ujerumani, mshabiki wa kuangusha domino <a href="http://www.youtube.com/watch?v=dKLiooarpkA">Annodomino2007</a> amepandisha mtandaoni domino yake mwenyewe ili kuenzi kuanguka kwa ukuta huo, na pia kama kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 10 tangu alipoanza mapenzi yake makubwa kwa michezo ya domino:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/dKLiooarpkA&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/dKLiooarpkA&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=UF_o1KYQIWU">Kule Marekani</a>, wanachuo waliinua mfano wa Ukuta wa Berlini ambao mtu angeweza kuandika juu yake, yaani kama njia ya kuiamsha jamii:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/UF_o1KYQIWU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/UF_o1KYQIWU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kutoka Mexico, <a href="http://www.youtube.com/watch?v=kffLolfYcfU">VarinVxx alipandisha picha ya video</a> ikionyesha ukuta mwingine ambao bado uko imara, <em>Si Berlini, si Palestina, bali ni kwenye mpaka wa Marekani na Mexico, Ukuta wa Aibu huko Marekani</em>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/kffLolfYcfU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/kffLolfYcfU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=cGpVyCovo70">Krista Schyler</a> pia analinganisha ukuta ulio kwenye mpaka wa Mexico na Marekani na ule wa Berlini, safari hii siyo tu kukazia kuhusu madhara ya uhamaji wa binadamu, lakini kutoka kwa mtazamo wa utunzaji wanyama pori pia:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/cGpVyCovo70&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/cGpVyCovo70&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mradi huu wa majaribio (Mradi Rubani) kwa ajili ya <a href="http://www.youtube.com/watch?v=7QeaIChuJ4c">makala ya video ya Ziashere</a> inaonyesha kuta nyingine ambazo bado ziko imara, mojawapo ikiwa kule Ireland:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/7QeaIChuJ4c&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/7QeaIChuJ4c&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Video hiyo ya mwisho ina umri wa miaka 2 sasa, lakini bado ujumbe wake una maana: <a href="http://www.youtube.com/watch?v=Pu4OztB_Zyo">mtengeneza filamu Adam</a> aliwahoji vijana kutoka pande zote mbili za ukuta Kaskazini na Kusini mwa Cyprus, ukanda wa kijani unaolindwa na vikosi vya helmeti za kibuluu vya Umoja wa Mataifa ambao unatenganisha WaCyprus wa Kituruki na Wacyprus wa Kigiriki, jambo linaoufanya mji huo uwe na heshima ya kuwa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Nicosia">mji wa mwisho uliogawanyika</a>.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/Pu4OztB_Zyo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/Pu4OztB_Zyo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/video-dunia-yaadhimisha-kuanguka-kwa-ukuta-wa-berlini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kenya: Mwai Kibaki na Odinga Budi Washirikiane na ICC</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-mwai-kibaki-na-odinga-budi-washirikiane-na-icc/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-mwai-kibaki-na-odinga-budi-washirikiane-na-icc/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 10 Nov 2009 11:00:20 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Kenya]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=597</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Ubia wa Kuleta Mabadiliko umetoa tamko linalowataka mwai kibaki na raila odinga kushirikiana na mahakama ya kimataifa ya Jinai na kuhakikisha muswada wa Tume Maalum unapitishwa nchini kenya na kurasimishwa kama sheria ndani ya wiki mbili.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/09/kenya-mwai-kibaki-and-odinga-must-co-operate-with-icc/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Ubia wa Kuleta Mabadiliko <a href="http://blog.marsgroupkenya.org/?p=1480">umetoa tamko</a> linalowataka mwai kibaki na raila odinga kushirikiana na mahakama ya kimataifa ya Jinai na kuhakikisha muswada wa Tume Maalum unapitishwa nchini kenya na kurasimishwa kama sheria ndani ya wiki mbili.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-mwai-kibaki-na-odinga-budi-washirikiane-na-icc/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Vijana wa Kiyahudi na Kipalestina Watumia Video Kuuelewa Mgogoro</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 08 Nov 2009 11:55:38 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Children]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Film]]></category>
		<category><![CDATA[Hebrew]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Religion]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=591</guid>
		<description><![CDATA[Mashirika mawili tofauti nchini Israel na katika Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia vijana wa Kiarabu na Kiyahudi kuuelewa mgogoro na kujenga daraja kati yao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juliana-rincon-parra/">Juliana Rincón Parra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/06/israeli-and-palestinian-youth-use-video-to-understand-the-conflict/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mashirika mawili tofauti katika Israel na Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia wote, vijana wa Kiyahudi na Wakiarabu kuuelewa mgogoro na kutengeneza daraja kati yao, kwa kutengeneza nafasi ya kukutana na kuwasiliana ambamo wanaweza wakaeleza ndoto zao, yanayowagusa na mawazo yao kuhusu hali tata wanayoishi.</p>
<p>Moja ya miradi hiyo ni <a href="http://en.reutsadaka.org/">Sadaka Reut</a>, na <a href="http://en.reutsadaka.org/?page_id=54">haya ndiyo wanayoyasema kuhusu programu yao</a>:</p>
<blockquote><p>Huku vijana wengi wa Kipalestina na Kiyahudi wakiwa wametengwa kimwili mmoja kutoka mwingine (kwenye jamii na shule tofauti) na hofu, ubaguzi wa rangi na mawazo potofu matokeo yake, tunatarajia kujenga namna mbadala za maingiliano kati ya makundi haya mawili. Programu ya ‘kujenga Utamaduni wa Amani’ inakusudia kutengeneza sehemu ambamo vijana wa Kipalestina na Kiyahudi wanaweza kujisikia wako sawa, wanaheshimika na kutambulika kama watu na pia kama ushirika wa kitaifa.</p></blockquote>
<p>Wanachama wa programu hiyo pia wamekuwa wakishiriki katika mradi wa video ya Dakika Moja, ambao kwao wanajifunza kuhusu uanaharakati wa video wakati wa warsha ya wiki moja. Haya ni baadhi ya matokeo, na unaweza kuangalia yaliyobakia kwa kubonyeza ili kufikia <a href="http://en.reutsadaka.org/?p=846">tovuti yao</a>:</p>
<p><a href="ttp://www.youtube.com/watch?v=XkxUC30UNug">Arab</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=US6QtYDVzB8">AM/FM</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=gT9KX9fKgT0">Few love Singing</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mradi mwingine ni <a href="http://www.win-peace.org/home.html">Dirisha la Amani</a>, ambao ulianza tangu mwaka 1991 kama jitihada za kutengeneza jarida la lugha na tamaduni mbili kwa ajili ya vijana kama njia ya kuwawezesha kuungana na kujifunza juu ya mgogoro, kutangaza usawa na kuwawezesha vijana. Hata hivyo, haijakuwa rahisi, <a href="http://www.win-peace.org/about.html">kama wanavyoeleza katika tovuti yao</a>:</p>
<blockquote><p>&#8220;Si kazi rahisi kwa vijana wa Kipalestina na Kiyahudi kushinda idadi kubwa ya taarifa zisizo sahihi na imani potofu ambazo zinafundishwa mmoja kuhusu mwingine. Uwepo mdogo wa makutano, matokeo ya kuishi katika jamii zilizotengana na kuchochewa na mgogoro wenye machafuko mabaya ya kisiasa, vinaendeleza hofu za kihistoria, imani potofu, na chuki ambayo inawagawa jamii hizi mbili. Kwa hiyo, Dirisha (la Amani) linatilia makini kurutubisha mabadiliko makubwa katika namna ambayo vijana wa kiyahudi na Kipalestina wanavyojiona wenyewe, “wengine” pamoja na mgogoro. Washiriki wa programu za Dirisha wanapitia uzoefu ambao unatetea mabadiliko katika mgogoro kati ya jamii hizo mbili, kuelekea kwenye ukweli wa amani ambamo kila upande wanaweza kuishi. Tunaamini kuwa amani ya haki nay a kudumu ni lazima view na msingi katika maadili ya kidemokrasia, haki za binadamu, na ufahamu na kukubalika kwa “mwingine.”</p></blockquote>
<p>Pia wanafanya kazi kwa ajili ya mradi mpya unaoitwa <a href="http://www.win-peace.org/youth%20media%20program.html">Kwa njia ya Lensi</a>, ambao vijana wa umri kati ya miaka 15 mpaka 17 “waliofuzu” kutoka kwenye gazeti wanaendeleza ufundi ili kutengeneza filamu fupi fupi, habari na video nyingine nyingine ili kuendeleza “mazungumzo ya kujenga amani na maingiliano chanya yenye ufanisi.”</p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=zsxLrfzyAIo">Hii ni video </a>ambayo washiriki wa mradi wa Dirisha wanaongelea uzoefu wao ndani ya kikundi na jinsi walivyokabiliana na changamoto zinazojitokeza ili kujiweka nje ya uwanja waliouzoea na kuongelea mada ngumu kama vile mgogoro kati ya Israel na Palestina:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kama watotokatika video wanavyosema kwa kutumia maneno mengi: wanaweza kuwa na wakati mgumu kukabiliana na mengi ya  maoni nba mitazamo ambayo watoto wengine wanaitoa, lakini kuwa na sehemu ya kujadili masuala katika njia salama kunawasaidia kuelewa ulimwengu wanamoishi huku wakiwa na uwezekano wa kukutana, kujifunza na kushiriki na watoto wenzao pamoja na vijana na hata kubadili hiyo mitazamo.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Palestina: IDF Yachoma Moto Magari Ya Wapalestina</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/palestina-idf-yachoma-moto-magari-ya-wapalestina/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/palestina-idf-yachoma-moto-magari-ya-wapalestina/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 28 Oct 2009 11:19:02 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Travel]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=484</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naAyesha Saldanha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Kwenye Do Unto Others, Samuel Nichols anaandika kuwa doria ya jeshi la Israel imeanza kuchoma moto magari ambayo yanakamatwa yakijaribu kuvuka mpaka kutoka Ukanda wa Magharibikuingia Israel. Ametundika video hapa.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ayesha-saldanha/">Ayesha Saldanha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/27/palestine-idf-torches-palestinian-vehicles/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Kwenye <em>Do Unto Others, Samuel Nichols</em> anaandika kuwa doria ya jeshi la Israel imeanza <a href="http://samuelnichols.blogspot.com/2009/10/borders-walls-and-border-patrols.html">kuchoma moto</a> magari ambayo yanakamatwa yakijaribu kuvuka mpaka kutoka Ukanda wa Magharibikuingia Israel. Ametundika video <a href="http://samuelnichols.blogspot.com/2009/10/torching-cars-video.html">hapa</a>.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/palestina-idf-yachoma-moto-magari-ya-wapalestina/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Wanablogu Wa Asia Kusini Na Tuzo Ya Nobeli Ya Amani Aliyopewa Obama</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/wanablogu-wa-asia-kusini-na-tuzo-ya-nobeli-ya-amani-aliyopewa-obama/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/wanablogu-wa-asia-kusini-na-tuzo-ya-nobeli-ya-amani-aliyopewa-obama/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 12 Oct 2009 12:31:53 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bangladesh]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[India]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Pakistan]]></category>
		<category><![CDATA[South Asia]]></category>
		<category><![CDATA[Sri Lanka]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=368</guid>
		<description><![CDATA[Rais wa Marekani Barack Obama amepokea tuzo mashuhuri ya Amani ya Nobeli leo. Wanablogu na wanaoblogu habari fupi fupi huko Asia kusini wanaelezea maoni yao kuhusu habari hiyo.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/rezwan/">Rezwan</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/09/south-asian-bloggers-on-obama%E2%80%99s-nobel-peace-prize/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><div class="wp-caption aligncenter" style="width: 430px"><img alt="Picha kwa hisani ya http://www.flickr.com/photos/marcn/2174935053/ na imetumika chini ya hati miliki huria " src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/barack-Obama-640x480.jpg" title="Barack Obama" width="420" height="282" /><p class="wp-caption-text">Picha kwa hisani ya http://www.flickr.com/photos/marcn/2174935053/ na imetumika chini ya hati miliki huria </p></div><br />
Rais wa Marekani Barack Obama amepokea tuzo mashuhuri ya Nobeli ya Amani leo. <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/europe/8298580.stm">Kwa mujibu wa kamati ya Nobeli</a> (Obama) amestahili kupokea tuzo hiyo kutokana na “juhudi zake za kuimarisha diplomasia ya kimataifa na ushirikiano baina ya watu”.</p>
<p>Hili limekuwa ni jambo la kushangaza kwa watu wengi duniani. Kwa nadharia tuzo hii inapaswa kutolewa kwa mtu au shirika lililojihusisha katika kupata ufumbuzi wa mgogoro mrefu wa kijeshi. Lakini kumeshawahi kuwepo na utofauti huko nyuma na Obama ni mmoja wa hali hizo tofauti kwani alianza kazi ya urais baada ya kupendekezwa mwezi Februari.</p>
<p>Gazeti la The New york Times <a href="http://thelede.blogs.nytimes.com/2009/10/09/world-reaction-to-a-nobel-surprise/">limetoa muhtasari</a> wa baadhi ya marejeo ya maoni kutoka duniani kote. Sasa hebu na tuangalie jinsi wanablogu na wale wanaoblogu makala fupi fupi kutokea Asia Kusini wanavyoelezea maoni yao kuhusu habari hii.</p>
<p>Kutokea Bangladeshi, <em><a href="http://bdoza.wordpress.com/2009/10/09/obama-own-nobel-peace-prize-2009-is-it-premature/">An Ordinary Citizen</a></em> haamini na anasema kuwa tuzo hiyo imetolewa kabla ya wakati wake.</p>
<blockquote><p>
Tunazienzi juhudi zake za kuleta amani ambazo huwa anazianzisha tu na bado tunasubiri matokeo.<br />
Je si kweli kwamba muda bado haujafika kwake kuipokea tuzo hiyo? Hatuna hakika ni kwa jinsi gani (tuzo hii) itaathiri mtazamo wake.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa India <a href="http://churumuri.wordpress.com/2009/10/09/churumuri-poll-does-obama-deserve-nobel/">Churumuri</a> anayo maswali kadhaa rahisi:</p>
<blockquote><p>Je Obama anastahili tuzo hii? Je amefanya jambo lolote linaloihalalisha? Je kwa kumpa kijana mbichi kama huyu, wakati wa uchanga wa urais wake, kunawashusha hadhi wale wote waliofanya kazi ngumu na kwa muda mrefu ili kuipokea? Au haidhuru chochote, kwani tuzo ya Nobeli ni tuzo ya kisiasa aliyopewa Yasser Arafat na Menanchem Begin? (kama vile ambavyo yeyote aliyewahi kusoma The Prize kilichoandikwa na <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Irving_Wallace">Irvin Wallace</a> anaweza kufahamu)</p></blockquote>
<p>Na bado kutokea India, <a href="http://zoooni.blogspot.com/2009/10/obama-n-his-nobel-win.html">Zooni </a>ni mshabiki wa Obama, lakini ameshangazwa pia:</p>
<blockquote><p>Ok kabla haujafikiria vibaya mimi si kati ya wale wanaomchukia Obama… ninampenda vilivyo, nimeandika makala ya kumpongeza kwa ushindi wake wa urais, je ameshinda nini na kwa sababu ipi, alikuwa kazini kwa wiki 2 tu wakati alipopendekezwa (mapendekezo yalikoma tarehe 1 Februari). Nadhani Obama alishinda tuzo kutokana na kampeni yake kabambe!</p></blockquote>
<p>Kutokea Pakistan, <em>Temporal</em> wa blogu ya <em>Baithak</em> <a href="http://baithak.blogspot.com/2009/10/nobel-peace-prize-2009-obama-gets-what.html">amekuwa mkali kidogo katika maoni yake</a>:</p>
<blockquote><p>Mwaka huu unaweza ukawa ndio mwaka ambao utaashiria kuanza kushuka kwa tuzo ya Nobeli. Wanakamati walikuwa wanakula au kuvuta kitu gani?</p>
<p>Rais Obama anaweza kustahili tuzo hii katika miaka ijayo. Lakini sio katika wakati huu. Ndio kwanza  ameanza jitihada na  ado hajaacha alama yake kwenye amani ya dunia.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa Ki-Sri Lanka <em>Indi.ca</em> <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/10/09/south-asian-bloggers-on-obama%E2%80%99s-nobel-peace-prize/Indi.ca%20http://indi.ca/2009/10/obamas-nobel-peace-prize/">anafikiri kuwa</a> tuzo hii itamuumiza Obama nyumbani (Marekani):</p>
<blockquote><p>Nafikiri kuwa Obama ni mtu muungwana zaidi anayetembea katika uso wa dunia hii leo. Hata hivyo, sidhani kama ameshafanya kile ambacho anataka kukifanya. Nobeli inaweza kumsaidia kinadharia, lakini inaweza kumuumiza nyumbani (Marekani). </p></blockquote>
<p>Wanaondika blogu fupi fupi duniani kote walikuwa wametingwa leo kwa kuelezea mshangao na kutoamini baada ya kuzisikia habari. Yafuatayo ni baadhi ya maoni kutoka kwa watumiaji wa Twita wa Asia Kusini:</p>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/vijaysankaran">@vijaysankaran</a>: Tuzo ya nobeli sasa imekuwa kama <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Bharat_ratna">Bharat Ratna</a>… inahusu wewe ni nani, na siyo ulichokifanya-)</p>
<p><a href="http://twitter.com/tantanoo">@tantanoo</a>: kwa hiyo Bush alitangaza vita, Obama anaomba amani na kushinda tuzo ya Nobeli. Mahesabu mazuri.</p>
<p><a href="http://twitter.com/santhemant">santhemant</a>: “rais wa Marekani Obama apokea tuzo ya Amani kwa kuendesha VITA sehemu nyingi.. kwa kuiunga mkono Pakistani na kupuuza nchi za kidemokrasia kama vile India.</p>
<p><a href="http://twitter.com/saniakhan">saniakhan</a>: sijui kama naweza kuunga mkono ushindi wa Rais Obama wa Tuzo ya Nobeli huku kukiwa na ndege za kivita za drones huko Pakistan bado zikiendelea kupiga.</p>
<p><a href="http://twitter.com/YusufKhan">YusufKhan:</a> Guantanamo bado iko wazi, ndege za drone bado zinaangusha mabomu huko Pakistani, vita bado vinaendelea huko Iraq/Afghanistan, na bado Obama anashinda tuzo ya Amani ya Nobeli. Yay.</p>
<p><a href="http://twitter.com/TinyToots">@TinyToots</a>: mimi pia ninahitaji Tuzo ya Amani ya Nobeli. Kila siku ninajiepusha na kuwafanyia fujo watu wengi. Kwa nini hakuna mtu anayenipendekeza?</p>
<p><a href="http://twitter.com/OldmonkMGM">@OldmonkMGM</a>: mchague mtu asiyefanana na wengine: Dalai Lama, Mother Teresa, Martin Luther King, Barack Obama.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/wanablogu-wa-asia-kusini-na-tuzo-ya-nobeli-ya-amani-aliyopewa-obama/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Ukraine: Babi Yar</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/ukraine-babi-yar/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/ukraine-babi-yar/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 11 Oct 2009 04:01:46 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Eastern & Central Europe]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[TYPE]]></category>
		<category><![CDATA[Ukraine]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=355</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Ukrainiana anaandika kuhusu mauaji ya kimbari ya Babyn Yar/Babi Yar
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/11/ukraine-babi-yar-2/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><em>Ukrainiana</em> <a href="http://tap-the-talent.blogspot.com/2009/10/ukraine-marks-babyn-yar-massacre.html">anaandika</a> kuhusu mauaji ya kimbari ya Babyn Yar/Babi Yar</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/ukraine-babi-yar/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Uganda: Blogu,Twita Zaipasha Habari Dunia Wakati Machafuko Yanaendelea Mjini Kampala</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/09/uganda-blogutwita-zaipasha-habari-dunia-wakati-machafuko-yanaendelea-mjini-kampala/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/09/uganda-blogutwita-zaipasha-habari-dunia-wakati-machafuko-yanaendelea-mjini-kampala/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 16 Sep 2009 11:44:28 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Uganda]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=318</guid>
		<description><![CDATA[<a href="http://globalvoicesonline.org/2009/09/11/uganda-nine-dead-in-kampala-riots/">Wakati machafuko yalipoitingisha Kampala</a>, mji mkuu wa Uganda, kwa siku ya pili, wanablogu na watumiaji wa intaneti waliungana ili kuupasha ulimwengu habari.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/rebekah-heacock/">Rebekah Heacock</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/09/13/uganda-blogs-twitter-keep-world-informed-as-kampala-riots-continue/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><a href="http://globalvoicesonline.org/2009/09/11/uganda-nine-dead-in-kampala-riots/">Wakati machafuko yalipoitingisha Kampala</a>, mji mkuu wa Uganda, kwa siku ya pili, wanablogu na watumiaji wa intaneti waliungana ili kuupasha ulimwengu habari.</p>
<p>Katika masaa 24 ya <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/09/11/uganda-nine-dead-in-kampala-riots/">machafuko ya kwanza</a>, wananchi wa Kampala waliizindua <a href="http://www.ugandawitness.net/">Mashahidi wa Uganda</a>, tovuti inayoripoti machafuko na ambamo Waganda wanaweza kupashana habari za vifo, uporaji, uwepo wa maaskari wa serikali na habari nyingine zinazohusiana na machafuko hayo. Mpaka ilipofika Ijumaa mchana (saa 9 za GMT) tovuti hiyo ilipokea ripoti nyingi za machafuko katikati ya jiji la Kampala na vitongoji vingine vya jiji hilo.<br />
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 310px"><img alt="Picha kutoka UgandaWitness.net inayoonyesha sehemu yaliporipotiwa machafuko " src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/09/Picture-10-300x191.png" title="Picture 10" width="300" height="191" /><p class="wp-caption-text">Picha kutoka UgandaWitness.net inayoonyesha sehemu yaliporipotiwa machafuko </p></div><br />
Katika miezi michache iliyopita mwanablogu wa Kiganda The 27th Comrade amekuwa akitengeneza mfumo wa huduma ya kutuma ujumbe wa twita na kuandika Facebook kwa kutumia njia ya simu za Uganda Telecom. Kutokana na machafuko siku ya Ijumaa, aliizindua huduma hiyo mapema kwa kutuma maelekezo kwenye blogu ya jamii <a href="http://thekampalan.blogspot.com/2009/09/these-pretty-little-riots-of-ours.html">The Kampalan</a>, huku akiwahakikishia uwepo wa faragha kwa watumiaji:</p>
<blockquote><p>Sasa, hali katika mji wa Kampala imesababisha kutangazwa mapema kwa huduma hii. Nini cha kufanya? Binaadamu hupanga mipango, miungu inaamua.<br />
&#8230;<br />
Kwa ufupi, hakuna kuchujwa kwa habari, hakuna woga, na hakuna upendeleo. Tumeni habari. :0) Mazungumzo hayatanaswa kwenye mfumo kiasi cha kuidhuru faragha, na kwa kweli mambo mengi ni magumu (kama vile kujiandikisha, kuandika ujumbe) kutokana na ukweli kuwa faragha yako inapewa heshima. </p></blockquote>
<p>Ujumbe wa twita kutoka kwa mkazi wa Kampala na mtumiaji mpya wa twita <a href="http://twitter.com/dgel/status/3915420999">dgel</a> unaowaasa watu watumie huduma ya Twita kueneza habari za machafuko umekuwa ukisambazwa katika jamii ya watumiaji wa twita. Anaandika:</p>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/dgel/status/3915420999">@dgel</a>: “ kwa yeyote aliye Kampala, tafadhali mfundishe japo mtu mwingine mmoja kutumia twita, na wapeni moyo wa kutupasha habari kama zinavyotokea. <a href="http://twitter.com/search?q=%23kampala">#kamplala</a>”</p></blockquote>
<p>Habari kutoka katika vyombo vikubwa vya habari zimezidi kuwa adimu baada ya serikali kuwakamata wanahabari na kufunga stesheni za redio jijini kote. Joe katika <a href="http://www.independent.co.ug/index.php/uganda-talks-/government-hits-back-on-criticism-of-radio-bans.html">Uganda Talks</a> anafafanua:</p>
<blockquote><p>Jana usiku wasomaji walifahamu kuwa stesheni maarufu ya Kiganda CBS iliondolewa hewani kwa madai kuwa ilikuwa ikichochea machafuko na kuwahamasisha wanaofanya ghasia. Leo hii kadhalika, Serikali imesitisha leseni za Suubi FM, Radio Sapientia na Radio Two Akaboozi Kubiri kwa madai hayo hayo.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu <a href="http://fresh-apples.blogspot.com/2009/09/more-uganda-riot-updates.html">Fresh Apples</a> ambaye amekuwa akituma habari kadri zinavyotokea tangu machafuko yaanze, anaripoti kuwa serikali imeweka walinzi katika milingoti ya kurusha matangazo ya redio CBS huko <a href="http://www.ugandatravelguide.com/buziga.html">Buziga Hill</a> jijini Kampala:</p>
<blockquote><p>Redio CBS haipo hewani – inasemekana imefungwa na serikali<br />
&#8230;<br />
Redio CBS haipo hewani – Maaskari wa jeshi wanailinda milingoti huko Buziga</p></blockquote>
<p>Ripoti nyingine za twita zinazotokea kwa Waganda mjini Kampala zinaashiria kuwa serikali inawalenga pia wanahabari:</p>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/mugumya/statuses/3910858051">@magamuya</a>: “mwanahabari wa VoA (Idhaa ya ndani ya masafa ya FM) amekamatwa huko Kayunga baada ya machafuko ya Kampala, pengine yuko kwenye selo ya polisi mahali fulani. Mwanahabari wa NTV alikamatwa kwa muda mfupi”</p></blockquote>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/UgInsomniac/statuses/3916264232">@uginsimniac</a>: Moses Kibuuka (NTV) &#038; Yahaya Iga Muyigo (Sauti ya Afrika) walikamatwa huko Kayunga leo na wameachiwa kwa dhamana. Vifaa vyao bado vimeshikiliwa. <a href="http://twitter.com/search?q=%23kampala">#Kampala</a>”</p></blockquote>
<p>Kwa mujibu wa wakazi wa Kampala, idhaa za televisheni na redio ambazo bado zipo hewani zinatangaza habari kidogo au hazitangazi kabisa kuhusu machafuko. Tumwijuke anaandika katika <a href="http://ugandaninsomniac.wordpress.com/2009/09/11/doing-cbs-a-diservice/">Ugandan Insomniac</a>:</p>
<blockquote><p>Je redio ni za nini kama si kwa ajili ya kutangaza habari mpya mara moja? Je zilikuwa wapi huduma za kupiga simu redioni? Kwa nini hakuna mijadala juu ya ushenzi wa waaandamanaji wengi? Yako wapi mahojiano na Ufalme wa Buganda, polisi na serikali? Zikowapi huduma za kupiga simu redioni kutoka miji ya Masaka, Nyendo, Kayunga na Mukono ambako machafuko yalitokea. Kwa nini hakuna mjadala juu ya uhuru wa vyombo vya habari? Kwa nini hakuna mjadala juu ya kwa nini kuna Baraza la Utangazaji?</p>
<p>Kila habari ninayopokea kuhusu hali ya mjini Kampala ninaipata kutoka kwenye Twita, Facebook na blogu.</p></blockquote>
<p>Sara wa blogu ya <a href="http://themalans.blogspot.com/2009/09/never-dull-moment.html">The Malan Family </a>anaandika:</p>
<blockquote><p>
Idhaa ya televisheni ya TV Uganda inaonyesha video za muziki na NTV inaonyesha “That’s So Raven” *anavingirisha macho yake kwa kejeli*. BBC ina mwanahabari anayeripoti (…. Kutokea Nairobi) kwa hiyo nina hakika anazo *habari zinazotokea kila dakika* kwa ajili yetu!!!!!</p></blockquote>
<p>Watumiaji wa Twita nchini Uganda pia waling’amua uchache wa habari zinazohusu machafuko:</p>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/CamaraAfrica/status/3915619763">@CamaraAfrica</a>: “Wow… kila mtu aharakishe na kuwasha NBS kwa ajili ya ripoti ya kusisimua inayohusu… jinsi ya kucheza gofu. <a href="http://twitter.com/search?q=%23kampala">#kampala</a>”</p></blockquote>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/solomonking/statuses/3910799825">@solomonking</a>: Aaagh!! UBC inaonyesha programu fupi inayokera ya NLP na Ethan Mussolini kwa mara karibu 5 katika masaa mawili na bila ya kutangaza chochote juu ya machafuko!! <a href="http://twitter.com/search?q=%23kampala">#kampala</a>”</p></blockquote>
<p>Jon Gos mwanzilishi wa kampuni ya nyenzo za kompyuta nchini Uganda <a href="http://appfrica.net/">Appfrica</a> na <a href="http://tedfellows.posterous.com/kampala-riots-citizens-tweet-0">mdhaminiwa wa TED</a>, alishangazwa na kasi ambayo Waganda waliitumia Twita kusambaza habari:</p>
<blockquote><p>
Moja ya mambo yaliyonishangaza ni jinsi ambavyo watumiaji wachache wa Twita walivyoweza kuendesha uenezaji wa habari ambao watu wengi waliutumia. Kama vile ambavyo mimi na wengine kama <a href="http://twitter.com/camaraafrica">@camaraafrica</a>, <a href="http://twitter.com/mugumya">@mugumya</a>, <a href="http://twitter.com/solomonking">@solomonking</a> tulivyokuwa tukisikia habari mpya hapa Uganda, tuliandika mara moja kwenye twita na Facebook, njia yetu pekee ya kuufikia ulimwengu wa nje.</p></blockquote>
<p>Katika makala nyingine kwenye <a href="http://appfrica.net/blog/2009/09/11/update-kampala-riots-continue/">blogu ya Appfrica</a>, Jon anaandika:</p>
<blockquote><p>Vyombo vikuu vya habari vinafahamu nini kinachoendelea lakini vyombo vilivyopo ndani ya nchi vimefungwa. Ama kutokana na msululu mkubwa (kwenye mtandao) au vinginevyo. Wengi wetu, walio nje au la wanaitegemea twita kwa ajili ya kupata habari. </p></blockquote>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 310px"><img alt="Picha kwa hisani ya Sarah wa a href=http://themalans.blogspot.com/2009/09/never-dull-moment.htmlThe Malan Family/a. Anaandika: “Tumefikia hitimisho kwamba lilikuwa am ani bomu la machozi au bomu la moshi kwa sababu tuliona watu wakikimbia kuelekea pande tofauti baada ya mlipuko.”" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/09/P1050185-300x225.jpg" title="P1050185" width="300" height="225" /><p class="wp-caption-text">Picha kwa hisani ya Sarah wa &lt;a href=&quot;http://themalans.blogspot.com/2009/09/never-dull-moment.html&quot;&gt;The Malan Family&lt;/a&gt;. Anaandika: “Tumefikia hitimisho kwamba lilikuwa am ani bomu la machozi au bomu la moshi kwa sababu tuliona watu wakikimbia kuelekea pande tofauti baada ya mlipuko.”</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/09/uganda-blogutwita-zaipasha-habari-dunia-wakati-machafuko-yanaendelea-mjini-kampala/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Korea: Ziara ya Clinton Korea Kaskazini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/korea-ziara-ya-clinton-korea-kaskazini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/korea-ziara-ya-clinton-korea-kaskazini/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 12 Aug 2009 05:20:34 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Korean]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[South Korea]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=292</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naHyejin Kim  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Habari ya kushangaza. Kwa ghafla, Clinton alizuru Korea ya Kaskazini na kama vile 007 aliwarudisha nyumbani wanahabari wawili wa kike ambao walikuwa wameshikiliwa nchini Korea Kaskazini. Kuhusiana na habari hii ya ghafla, hakuna habari zilizowekwa kwenye vyombo vya habari [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hyejin-kim/">Hyejin Kim</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/08/06/korea-clinton\\\\\\\'s-visit-to-north-korea/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Habari ya kushangaza. Kwa ghafla, Clinton alizuru Korea ya Kaskazini na kama vile 007 aliwarudisha nyumbani wanahabari wawili wa kike ambao walikuwa wameshikiliwa nchini Korea Kaskazini. Kuhusiana na habari hii ya ghafla, hakuna habari zilizowekwa kwenye vyombo vya habari vya umma vya Korea na hata kwenye maoni ya wanablogu. Zifuatazo ni makala chache.</p>
<p><a href="http://bbs1.agora.media.daum.net/gaia/do/debate/read?bbsId=D003&#038;articleId=2939565&#038;RIGHT_DEBATE=R5">1:</a></p>
<blockquote><p>Rais wa Zamani wa Marekani Clinton alizuru Korea Kaskazini kwa ghafla na kuishangaza dunia nzima. Pengine Marekani ilikuwa na hii karata tayari katika mikono yake, lakini ilitumia karata nyingine. Kwa ghafla, Korea ambayo ilikuwa ikisisitiza ‘hatua dhabiti za kukabiliana’ iligeuka. Kwa hiyo, Korea Kaskazini itasisitizia zaidi ‘mazungumzo na Marekani pamoja na kuizuia Korea ya Kusini’ na hivyo mazungumzo baina ya Korea Kaskazini na Marekani yataweza kuanza.<br />
Japokuwa ilikuwa ni ziara binafsi, Clinton ni rais wa zamani wa Marekani, na mkewe ni katibu wa sasa wa mambo ya nje. Kwa hiyo ni sawa tu na mazungumzo ya kiserikali. Ni wazi, kuwa kulikuwa na uharaka wa kuwaokoa ‘mateka’ wale wawili na kuwarudusha Marekani. Wakati Hilary alipotaka ‘warejeshwe’, mchakato ungeliweza kuanza.  Alitaka ‘warejeshwe’ tofauti na kutaka ‘waachiwe mara moja’ kama sharti la kulitazama upya suala Korea.</p>
<p>Pengine muda wa kuuliza ni kwa jinsi gani Clinton aliweza kuzuru Korea Kaskazini umepita. Nadhani (ziara hiyo) ilikuwa imepangwa kwa kitambo. Ni mbinu ya kidiplomasia ambayo chama cha Demokrati imetumia katika utamaduni wake. Carter alizuru Korea Kaskazini baada ya mgogoro wa Silaha za Nyuklia wa mwaka 1994 na Madeleine Albrigyt pia alizuru Korea Kaskazini mwaka 2000. Dhahiri, mahusiano baina ya Korea Kaskazini na Marekani yaliboreshwa. Lakini baada ya Bush hali imebadilika sana. Japokuwa chama cha Demokrati kilitawala, hali imekuwa mbaya kutokana na hali ya kisiasa ya Korea Kusini. […]</p>
<p>Kabla ya mlolongo wa matukio haya, tulikuwa na fursa kadhaa za kutatua matatizo haya sisi wenyewe. Lkakini kutokana na sera kidiplomasia sizizojali za serikali mpya mafanikio yote ambayo tuliyapata yamegeuka sifuri na tumejikuta katika hali ya mgogoro. Sijui ni nini tulichopata, lakini jambo moja lipo wazi. Kuanzia sasa na kuendelea, nina hakika kuwa hatuna uwezo wa kufanya majadiliano ya amani ya kupunguza silaha. Tutakuwa tunaburuzwa na Korea kaskazini pamoja na Marekani. […]</p></blockquote>
<p><a href="http://bbs1.agora.media.daum.net/gaia/do/debate/read?bbsId=D115&#038;articleId=741595">2:</a></p>
<blockquote><p>Ili kuwaokoa watu wao, rais wa zamani hakusita kwenda kwenye makao ya adui. Lakini ni nini serikali yetu ilichofanya? Kwa kupitia njia za ain azote za kidiplomasia, walifanya juhudi za kuwaokoa salama. Lakini je serikali yetu inafahamu kuwa Bw. Yoo na mabaharia wa meli ya Yeonan wapo hai au ni dhiki kiasi gani inayowakabili sasa? Ikilenga jumuiya ya kimataifa, Korea Kaskazini mar azote hutumia mbinu za kutisha, lakini serikali (yetu) huangalia tu huku imekunja mikono. Na kwa kuongeza, tunapaswa kuikemea vikali Korea kaskazini kwa kukiuka haki za binaadamu bila ya sababu zozote. Serkali isimuangalie tu rais wa zamani Clinton na ibadilkishe mtazamo wetu kwa vitendo. Pia inatupasa tufikirie kufunga kanda ya viwanda ya Kaesong kama uhusiano wetu hautaboreshwa.</p></blockquote>
<p><a href="http://100ja.tistory.com/265">3:</a></p>
<blockquote><p>[…] Nilipotazama habari asubuhi hii, nilisisimka. Clinton alikwenda Pyongyang peke yake. Nilitumaini hie hivyo wakati wa utawala wake. Nilitumaini hili lingefanyika wakati wa utawala wa Bush. Nilifikiri baada ya Obama uhusiano kati ya Korea Kaskazini na Marekani ungekuwa tofauti, lakini hilo halijatokea bado. Mgogoro wa vita katika bahari ya Magharibi unapelekea kuwa mgumu zaidi na waltu wanaofanya kazi katika taasisi za muungano wako jela. Katika hali hii ya kukata tama, mara Clinton alizuru Korea Kaskazini. </p>
<p>Ningependa kumshukuru Clinton kwanza. Sikufurahia kuhusu mke wake ambaye kila mara huiongelea vibaya korea kaskazini. Baada ya simulizi kadhaa, hatimaye aliwasili mjini Pyongyang na ninamshukuru kwa hilo. Natumaini atawachukua wanahabari wale wa kike na pia atavichukua vita baridi pamoja naye. Natumaini atachukua pia migawanyiko. Inaonekana kuwa serikali ya Korea ilifahamu juu ya ziara ya Clinton. Na katika siku hiyo hiyo, wanateketeza Kiwanda cha magari cha Ssangyong. Inanuka. […] Nasikia kuwa atarejea keshi. Anga mjini Seoul lina mawingu na kuna joto. Natumaini kuwa anga la Pyongyang ni angavu. Natazamia mvua, mvua ya amani na mvua ya muungano…  </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/korea-ziara-ya-clinton-korea-kaskazini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Sri Lanka: Wanablogu Watathmini Kifo cha Kiongozi wa LTTE</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/05/sri-lanka-wanablogu-watathmini-kifo-cha-kiongozi-wa-ltte/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/05/sri-lanka-wanablogu-watathmini-kifo-cha-kiongozi-wa-ltte/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 19 May 2009 15:17:11 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Canada]]></category>
		<category><![CDATA[Diaspora]]></category>
		<category><![CDATA[Disaster]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Humanitarian]]></category>
		<category><![CDATA[India]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Refugees]]></category>
		<category><![CDATA[Relief & Rescue]]></category>
		<category><![CDATA[South Asia]]></category>
		<category><![CDATA[Sri Lanka]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=145</guid>
		<description><![CDATA[Serikali ya Sri Lanka imetangaza kwa kupitia vyombo vya habari vya taifa pamoja na ujumbe wa simu za mkononi mchana leo (Jumatatu, 18 Mei, 2009)  kwamba kiongozi wa Kundi linalotaka kujitenga la Wa-Tamil, the Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE), Vellupillai Prabhakaran, amefariki. Salamu za rambirambi zinaashiria kwamba alikuwa shujaa kwa baadhi ya watu kadhalika wengine walimchukulia kama muuaji katili. Wanablogu wa Ki-Sri Lanka wanatathmini urithi wa kiongozi huyu wa vita na maana ya kifo chake kwa mustakabali wa Watamil na watu wa Sri Lanka.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/angshah/">Angilee Shah</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/05/18/sri-lanka-bloggers-react-to-the-death-of-the-ltte-leader/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Serikali ya Sri Lanka imetangaza kwa kupitia vyombo vya habari vya taifa pamoja na ujumbe wa simu za mkononi mchana leo (Jumatatu, 18 Mei, 2009)  kwamba kiongozi wa Kundi linalotaka kujitenga la Wa-Tamil, the Liberation Tigers of Tamil Eelam (LTTE), Vellupillai Prabhakaran, amefariki. Vyombo vya habari <a href="http://www.telegraph.co.uk/news/worldnews/asia/srilanka/5343129/Sri-Lanka-Tamil-Tiger-leader-Velupillai-Prabhakaran-and-his-lieutenants-eliminated.html">vinaripoti</a> kwamba <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Prabhakaran">Prabhakaran</a>, ambaye alikuwa kwenye uongozi wa moja ya maasi ya kikatili zaidi duniani, aliuwawa kwa kombora wakati alipokuwa kwenye basi dogo na mkuu wa jeshi la majini la LTTE, Soosai, pamoja na mkuu wa upelelezi, Pottu Amman. Mwili wa kiongozi huyo wa waasi utafanyiwa <a href="http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/asia/article6313072.ece">uchunguzi zaidi wa DNA</a> ili kuthibitisha utambuzi wake. Kadri ya wanachama 250 wa waasi wa Chui wa Kitamil waliuwawa kwenye mapambano ya mwisho ya vita vilivyodumu kwa miaka 26.</p>
<p>Salamu za rambirambi zinaashiria kwamba alikuwa shujaa kwa baadhi ya watu kadhalika alichukuliwa kama muuaji katili kwa wengine. Chombo cha habari cha <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/south_asia/7885473.stm">BBC </a>kimeandika, “kwa wafuasi wake, Vellupillai Prabhakaran alikuwa ni mpigania uhuru kwa ajili ya ukombozi wa Watamil. Kwa maadui zake alikuwa ni mtu msiri anayependa kutawala na asiyejali kabisa maisha ya wanaadamu wengine.” Gazeti la <a href="http://www.hindu.com/thehindu/holnus/000200905181611.htm">The Hindu</a> nchini India linasema, Mpigania uhuru kwa wafuasi wake na gaidi wa kuogopwa kwa wengine, Prabhakaran alikuwa anatafutwa na Chombo cha Polisi cha Kimataifa, Interpol, pamoja na mashirika mengine mengi tangu mwaka 1990 kwa makosa ya ugaidi, mauaji na jinai. “kabla dunia haijamsikia Osama Bin Laden au Al-Qaeda, Prabhakaran alianza kutumia mbinu mpya ya vita, mabomu ya kujilipua kwa kujitoa muhanga. <a href="http://www.tehelka.com/story_main41.asp?filename=Ne230509coverstory.asp">Makala hii</a> kwenye <em>gazeti la Tehelka</em> inatoa mwanga kuhusu kiongozi huyu wa vita.</p>
<p>Mwanablogu wa <a href="http://beyond-skin.blogspot.com/2009/05/when-they-silenced-their-guns-real-war.html">Beyond the Skin</a> anafafanua hivi:</p>
<blockquote><p>Hisia za mwanzo: WHAAA! [vipele vya baridi, kushuka tama na hisia mchanganyiko za hjofu na ahueni.]</p>
<p>Hisia zilizofuata: Sasa nini? Baada ya miaka 26 ya mapambano, baada ya kuua mamia ya maelfu, baada ya kuwanyamazisha wale walioipinga serikali na waasi wa LTTE kwa kuwaua, mateso na watu kupotea, sasa itakuwaje kwa watu wa Tamil?</p></blockquote>
<p>Kada wa chama cha United National Party <em>Ajith P. Perer</em>a ameandika <a href="http://bandaragama.wordpress.com/2009/05/18/02-3/">salamu za rambirambi kwa Prabhakaran katika blogu yake</a>, <em>akitaka kuwa tofauti na wengine</em>: “alikuwa muuaji, bila ya shaka, lakini Prabhakaran anastahili salamu za rambirambi, hata kama ni katika lugha ambayo alikuwa haielewi,”</p>
<blockquote><p>
Je alifanikisha lolote la maana  kwa ajili ya jamii yake? Jibu ni HAPANA. Watamil wazawa (Jaffna) wako pabaya zaidi ya pale walipokuwa katika miaka ya 1970. Zaidi ya nusu ya Watamil wamehama moja kwa moja. Watamil Wazawa, kundi kubwa la walio wachache nchini Sri Lanka wakati ule, hivi sasa wapungua na kuchukua nafasi ya tatu baada ya Waislamu na Watamil wanaotokea India. Jaffna, jiji la pili kimaendeleo nchini Sri Lanka, na mfumo wake maarufu wa elimu, hivi sasa iko nyuma sana. Kama jamii, Watamil, wale walio na bahati mbaya ya kubaki, wamerudi nyuma miaka kumi au ishirini. Walitambuliwa kama magaidi duniani kote. Kaskazini na mashariki pamekuwa tegemezi kwa Colombo kiuchumi. Kwa miaka michache ijayo, mpaka hapo serikali ya UNP itakapotekeleza sera zake kisiasa, watakuwa wanaendeshwa kutokea Colombo. Yote haya ni shukrani kwa Prabhakaran.</p></blockquote>
<p>Mwanaharakati wa Kitamil na mwanachama wa zamani wa waasi wa LTTE <a href="http://www.independent.co.uk/opinion/commentators/nirmala-rajasingam-sri-lankas-silenced-dissenters-still-speak-volumes-1686773.html">Nirmala Rajasingam</a> anafafanua katika makala kwenye gazeti la <em>Independent</em> kwamba dada yake aliuwawa na waasi wa LTTE miaka 20 iliyopita.</p>
<blockquote><p>
Kwa sababu hiyo, habari za maangamizi ya uongozi wa juu wa LTTE – ambao uliamuru kuuwawa kwake pamoja na Watamil wengine wengi waliowapinga – kumeleta ahueni kubwa sana. Vita na ukatili hatimaye vimesitishwa na kumwagika kwa damu za Watamil kumefikia mwisho.</p></blockquote>
<p>Hata hivyo anaonya:</p>
<blockquote><p>Pingamizi linaloendela la kutoruhusu mashirika ya misaada ya kibinaadamu kuingia halisaidii kupunguza mashaka juu ya nia ya serikali kwa wakimbizi na makada wa LTTE ambao wamesalimu amri. Katika miaka mitatu iliyopita kumekuwa na matukio mengi ya utekaji, mauaji na kutoweka kwa watu, kulikolenga jamii ya Watamil wakati ambapo serikali ya Sri Lanka ilipokuwa ikitekeleza kampeni yake ya kijeshi. Kushamiri kwa uongozi wa kijeshi kitaifa na kwenye jamii kumefanikisha ukandamizwaji wa maoni mbadala kusini mwa nchi, na kumewezesha mashambulizi dhidi ya wanahabari. Tunasuburi ili tuone kama serikali itageuza mwelekeo huu mbaya wa utawala wa kidemokrasi.</p></blockquote>
<p>Akiwa safarini, mwanablogu na mwandishi wa makala <em>Indi Sumarajiya</em><a href="http://www.indi.ca/"> ametumia zana ya Twita kujadili kifo cha Prabhakaran. Alituma jumbe kadhaa <a href="http://twitter.com/indica">kwenye ukurasa wake wa Twita </a>jumatatu mchana:</p>
<blockquote><p>Nipo Hambantota. Fataki. Pengine Prabhakan amefariki. Hakuna utukufu kwenye kifo, lakini, ni vyema. Tunaomba Sri Lanka ijijenge upya#fb</p></blockquote>
<blockquote><p>Wanawasha baruti karibu kabisa na ghala ya mitungi ya gesi. Wauza samaki wanahimizwa kurejea kazini.</p></blockquote>
<blockquote><p>Mji wa Hambantota una Waislamu wengi, kazi inaendelea. Misafara ya bendera katika Ambalantota. Vita vimekwisha, Prabha amekufa. Idumu Sri Lanka #fb</p></blockquote>
<p>Mwanablogu aliyeko mjini Chennai, India, <em>Prahalathan KK</em>, anasema kuwa kushangilia kifo cha Prabhakaran ni <a href="http://prahalathan.blogspot.com/2009/05/spare-thought-for-innocent-tamils-in.html">utovu wa heshima kwa raia waliouwawa</a> katika harakati za kuwezesha maangamizi ya LTTE. </p>
<blockquote><p>
“Kwa hiyo Prabhakaran gaidi ameuwawa. Mmefurahi? Mnashangilia? Je mmeweza kuwafikiria maelfu ya Watamil wasio na hatia ambao waliuwawa kutokana na matumizi ya jumla ya makombora na silaha za sumu yaliyofanywa na jeshi la Sri Lanka wakati wa vita hivi vya kimbari?</p></blockquote>
<p>Kwa mujibu wa tovuti ya <a href="http://www.defence.lk/hm/hm.asp">Wizara ya ulinz</a>i, karibu ya raia 150,000 ambao walikimbia uwanja wa vita wanatunzwa na na jeshi. Lakini Kamati ya Kimataifa ya Hilali Nyekundu (ICRC), shirika huru pekee ambalo liliweza kuwafikia raia katika eneo la mgogoro, <a href="http://www.icrc.org/Web/eng/siteeng0.nsf/html/sri-lanka-press-briefing-210409">liliita hali iliyokuwepo kama</a> “si jingine zaidi ya balaa.” Leo hii, w<a href="http://www.icrc.org/web/eng/siteeng0.nsf/htmlall/sri-lanka-news-180509">amesema katika taarifa yao kwa vyombo vya habar</a>i kwamba hawajaweza kuwafikia raia walioko kaskazini-mashariki kwa siku tisa. “Hii ni dharura kwani hakuna msaada wowote wa kibinaadamu ambo umeweza kuwafikia wale wanaouhitaji kwa zaidi ya wiki moja’” alisema mkurugenzi wa mipango, <em>Pierre Krähenbühl. Selvarasa Pathmanathan</em>, mkuu wa kitengo cha Diplomasia cha LTTE, <a href="http://www.tamilnet.com/art.html?catid=13&#038;artid=29389">alitoa tamko</a> Jumapili kuwa Chui “tutanyamazisha bunduki zetu ili kuwanusuru watu wetu.” Alisema kuwa raia 3,000 walifariki na wengine 25,000 walijeruhiwa.</p>
<p>Blogu maarufu ya Waasia wa Kusini Ughaibuni <em>Sepia Mutiny </em>inaripoti maandamano yanayoendelea nchini Kanada. Katika makala inayohusu <a href="http://www.sepiamutiny.com/sepia/archives/005776.html">maandamano huko Winnipeg</a>, Melvin anaandika:</p>
<blockquote><p>Walibeba mishumaa, mabango, bendera nyeusi na picha za watotot ambao wanawachukulia kama waathirika wa mashambulizi ya serikali ya Sri Lanka dhidi ya raia. Wakati ambapo watu jijini Colombo walikuwa wakisherehekea mwisho wa miaka 25 ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, wale waliokuwa kwenye maandamano walikuwa wanaomboleza vifo vya raia wasio na hatia huku wakijiuliza, ni nini, kuma kuna chochote, kilichopatiwa ufumbuzi. “haijasuluhisha lolote,” alisema Singaraja. “Kero za wananchi hazitaisha. Serikali ni katili mno. Hawataki kutupatia haki zetu. Na kama ni hivyo, matatizo yataendelea.”</p></blockquote>
<p>Maandamano yamekuwa yakiendelea jijini London, katika sehemu nyingi za Canada na hivi karibuni nchini Australia. Mwanaharakati <em>Rajasingham</em> a<a href="http://experts.foreignpolicy.com/posts/2009/05/15/diaspora_of_doom">naonya kwenye jarida la Foreign Policy </a>kwamba Watamil walio ughaibuni wamechukulia vibaya ujumbe wake:</p>
<blockquote><p>Wakati mgogoro wa kibinaadamu unavyojitokeza nchini Sri Lanka, jumuia ya kimataifa inabidi itoe tamko wazi na la moja kwa moja. Kwamba waasi na Watamil wanawaunga mkono ambao wanaishi ughaibuni hawana hati miliki ya kuwa “wawakili pekee” wa Watamil wote. Na kujitenga siyo suluhisho pekee. Njia nyingine yoyote isipokuwa mapambano imara kungetumiwa na waunga mkono wa LTTE walio nchi za magharibi – na kuwachochea wazalendo wa Ki-Sinhala nchini Sri Lanka. Ni ujumbe huu imara pekee ambao utapelekea amani na demokrasia.</p></blockquote>
<p>Kwenye tovuti ya <em>Moving Images, Moving People!</em> Mwanablogu <em>Nalaka Gunawardene</em> anasema kuwa <a href="http://movingimages.wordpress.com/2009/05/18/sri-lanka-can-our-suspended-dreams-resume-after-the-war/">angependa kuamini, kwa hakika, kuwa vita vimekwisha</a>:</p>
<blockquote><p>
Hakuna vidhibitisho huru – vimekuwa ni vita visivyokuwa na shahidi kwa miaka michache iliyopita. Lakini nipo tayari kuwa na imani isiyo ya kawaida, ikiwa kama ni hilo tu linalohitajika ili kukaribisha amani iliyotuchenga kwa muda mrefu. Nitakwenda mpaka mwisho wa dunia, ili kusimamisha kutoamini kwangu, ili kupokea kurejea kwa amani na amani yenye maana.</p></blockquote>
<p>Rais Mahinda Rajapaksa anategemewa kulihutubia Bunge na taifa jumanne asubuhi.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/05/sri-lanka-wanablogu-watathmini-kifo-cha-kiongozi-wa-ltte/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
