<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; Technology</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/topics/technology/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Urusi: Jinsi Abiria wa &#8220;Nevsky Express&#8221; Walivyoeleza Habari Kupitia Vyombo Vya Habari Vya Kijamii</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/12/urusi-jinsi-abiria-wa-nevsky-express-walivyoeleza-habari-kupitia-vyombo-vya-habari-vya-kijamii/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/12/urusi-jinsi-abiria-wa-nevsky-express-walivyoeleza-habari-kupitia-vyombo-vya-habari-vya-kijamii/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 01 Dec 2009 11:11:27 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Eastern & Central Europe]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Russia]]></category>
		<category><![CDATA[Russian]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=738</guid>
		<description><![CDATA[Ajali ya treni la "Nevsky Express" ilitokea mbali na makazi ya watu. Ilichukua masaa kadhaa kwa wanahabari kufika kwenye eneo. Na hapo ndio picha na video za kwanza zilipoanza kuonekana kila mahali. je nini kilichotokea kwenye upashanaji habari wa kiraia ambao uliongoza njia ya kupashana habari wakati wa ajali ya ndege huko Urusi mwaka mmoja uliopita?]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/gregory-asmolov/">Gregory Asmolov</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/29/russia-how-passengers-of-nevsky-express-tell-their-stories-through-social-media/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mamlaka nchini Urusi yanaendelea <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/11/28/russia-at-least-25-people-killed-in-the-neva-express-train-crash/">kuchunguza ajali ya treni la &#8220;Nevsky Express&#8221; </a>[ENG] ambayo ilitokea kati ya Moscow na St Petersburg usiku wa Ijumaa. Kwa mujibu wa maofisa, dhahama hiyo iliyochukua maisha ya angalau abiria 25 ilikuwa ni shambulio la kigaidi. Ajali hiyo imezua maswali mengi. Watu wengi wanauliza ni nini kilichotokea katika masaa ya mwanzo baada ya ajali na ni kwa nini ilichukua muda mrefu kuanza kutoa taarifa za ajali hiyo.</p>
<p>Kwa kuwa dhahama hiyo ilitokea mbali na maeneo yenye makazi ya watu, ilichukua muda mrefu kwa wanahabari kuwasili kwenye eneo la ajali. Na ndipo picha za kwanza na video zilipoanza kuonekana kila mahali. Je nini kilichoyatokea majukwaa ya uanahabari wa kijamii ambayo yalitaarifu vilivyo kuhusu <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/europe/7614951.stm">ajali ya ndege mjini Perm</a> [ENG] mwezi Septemba 2008.</p>
<p>Abira pekee ambaye alitoa taarifa mara moja kuhusu ajali ya “Nevsky Express” alikuwa mtumiaji wa Twita <a href="http://twitter.com/lazy_frog">Lazy Frog</a>. Aliandika mara 12 kuhusu ajali hiyo kabla ya kuwasili nyumbani. Haya ndio aliyoandika: </p>
<blockquote><p>Nipo hai. Lakini nitaeleza kuhusu (ajali) baadaye. Kama mtu ataeleza chochote kwenye habari, tafadhali niandikie. Hawatuambii kila kitu hapa.</p></blockquote>
<p>Baadaye, abiria wengi kutoka mabehewa ya kwanza – ni mabehewa ya mwisho ambayo yaliteguliwa kutoka kwenye reli –walisema kuwa kwa saa zima baada ya ajali hawakufahamu chochote. <a href="http://twitter.com/lazy_frog">Lazy frog</a> alituma habari mpya za nyongeza: </p>
<blockquote><p>Tumepanda treni jingine. Nilifanya kila nilichoweza.</p>
<p>Hivi sasa tupo SAPSAN (treni mpya ambyo iliwachukua abiria kwenda St. Petersburg – G.A). Natamani ingekuwa inakwenda polepole.</p>
<p>Wametangaza sasa hivi kuwa watu walitayarishwa rasmi wangetulaki kwenye kituo cha treni.</p></blockquote>
<p>Siku iliyofuata baada ya dhahama, <a href="http://twitter.com/lazy_frog">Lazy Frog </a>aliandika muhtasari wa uzoefu wake:</p>
<blockquote><p>Nilizihisi hisia za kwanza kuhusu kilichotokea wakati tulipofika karibu na Piter (St. Petersburg G.A). Sikuwa na wasiwasi nilipokuwa katika eneo la ajali. Nilikuwa na hofu kidogo na viatu vyangu – kulikuwa na tope kila mahali na mawe yenye ncha.</p></blockquote>
<p>Jumamosi habari nyingi zilijitokeza wakati abiria walipoanza kublogu kuhusu yaliyowakuta. Makala ya blogu maarufu zaidi inayohusiana na mada hii iliandikwa na mtumiaji wa LJ <em>paltus_mk</em> [RUS] ambaye alikuwemo ndani ya mabehewa ya mwisho yaliharibiwa vibaya na mlipuko. <a href="http://paltus-nk.livejournal.com/23747.html">Aliandika </a>[RUS]:</p>
<blockquote><p>Yote yanatokea ndani ya sekunde 10 wakati unapofahamu ni nini kitakachotokea. Nilikuwa na muda wa kutosha kuutayarisha mwili wangu. Lakini hakuna linaloweza kusaidia dhidi ya kanuni za Newton wakati dazeni za tani za vyuma zinaposimama mara moja wakati zikiwa katika mwendo wa kasi – ni bahati tu… kwa hiyo nilikuwa na bahati tu. Kaka yangu alikuwa na bahati, pia, ukiachilia mbali ukweli kuwa majeraha yake yalikuwa yanatisha kuliko yangu.<br />
[…]</p></blockquote>
<blockquote><p>Kila kitu ambacho kilikwenda mrama hadi kusimama kabisa kulichukua kama sekunde 30 hivi. Ilikuwa giza na kimya. Watu walioumia walianza kulia. Nilikuwa sakafuni, nimekandamizwa na miili mingine. Niliisogeza ile miili. Niliona kuwa nimelowana na damu lakini damu ile haikuwa yangu. Niliona kuwa ni mzima na miguu yangu na mikono vuinafanya kazi. Kichwani nilikuwa na jeraha linalovuja damu. Ilinibidi ninyanyuke na kusubiri kwa muda kiasi kabla ya watu wenye majeraha mado waliposafisha njia ya kutoka.<br />
[…]<br />
Mateso yalikuwepo kila mahali. Tulikuwa tumeketi mwishoni mwa behewa na mikoba yote ilipaa ikituelekea. Watu wengi waliojeruhiwa. Katika dakika chahce baada ya ajali, behewa lilikuwa ni kama fungu la miili, viti na sehemu za treni ambazo zilikuwa zimesambaa sawia kila mahali.</p></blockquote>
<p><em>Paltus_mk </em>anasimulia habari za uokoaji zenye maelezo ya kina kuanzia dakika za mwanzo baada ya ajali, lakini wakati huo huo anaepuka ufafanuzi ambao ungeweza kuwastua wasomaji. Anaandika kuwa abiria walianza kupeana huduma ya kwanza kwa ushujaa bila kuogopa. Anasema haikuwezekana kuhesabu ni wagtu wangapi waliofariki. Waokoaji waliwasili saa moja na nusu baada ya ajali. <em>Paltus_mk</em> na kaka yake hatimaye waliokolewa na kupelekwa kwenye hospitali jirani na baadaye aliwasili mjini St. Petersburg. </p>
<p>Hadithi nyingine ya kunusurika ilichapishwa na mwanablogu pancakyes katika huduma nyingine ya kublogu ya Kirusi Ya.Ru. behewa lake halikuharibiwa na mlipuko. Alichapisha makala yake ya kwanza saa 4:11 za usiku – nusu saa baada ya ajali – pale pale kwenye eneo la ajali.  Aliandika kuwa treni ilisimama kutokana na ajali ya namna fulani, mabehewa machache yaliteguliwa na kwamba angewasili nyumbani kwa uchelevu kuliko ilivyotarajiwa. Karibu saa zima baadaye, aliongeza kuwa kulikuwa na waathirika katika mabehewa mawili ya mwisho. Jumamosi,  <em>pancakyes</em> <a href="http://pancakyes.ya.ru/replies.xml?item_no=30442">alichapisha habari nzima kuhusu ajali</a> [RUS] kama alivyoshudia mwenyewe:</p>
<blockquote><p>Tulihisi mitetemo michache ambayo ilikuwa ikiongezeka nguvu. Vitu vilianza kuanguka kutoka mezani. Haikuwa wazi ni nini kilichotokea. Hapakuwa na matangazo. Kwanza tulidhani kuwa halikuwa jambo lenye uzito. Pengine kuna mtu aliyesimamisha treni kwa makosa. Lakini makondakta wenye sura zenye hofu walianza kukimbia kila mahali wakikusanya magodoro, vitambaa vya mezani na maji. Walitutaka tusiondoke kwenye viti vyetu isipokuwa kama ni madaktari. Tulisikia mambo mabaya kutoka kwenye redio zao. Uvumi ulianza kusambaa. Hatukuamini kuwa mabehewa mawili yalikuwa yametengana na yalikuwa mbali sana. Baadaye tuligundua kuwa ilikuwa kweli.</p>
<p>Tulitoka nje na tulitaka kusaidia. Tulikwenda mpaka behewa la tatu. […] hatukutaka kuwa waduwazi ambao wanaongeza wingi wa watu bila fursa yoyote ya kusaidia. Pia hatukutaka kuona yale ambayo watu waliotoka huko walikwishatueleza.</p></blockquote>
<p>Mara baada ya ajali, majukwaa ya uanahabari wa kijamii yalikuwa sehemu ya kwanza ambayo wanahabari wa Kirusi  walikuwa wakitafuta habari. Mwandishi kutoka Shirika la Habari la RIA-Novosty aliacha maoni kwenye blogu ya <em>pancakyes</em> na kumtaka mwanablogu huyo ampigie simu mara moja. Tatyana Landa (mtumiaji wa LJ mwenye jina la Elada) <a href="http://elada.livejournal.com/220534.html">aliandika kwenye blogu yake</a> [RUS] kuhusu rafiki aliyenusurika ambaye alikuwemo kwenye treni. Mara moja wanahabari wawili waliacha maoni ya kumtaka awasiliane nao. Baadaye Tatyana <a href="http://elada.livejournal.com/220866.html">alichapisha makala ya hasira</a> [RUS] ambamo alisema kuwa mwanahabari kutoka “Komsomolskaya pravda” (gazeti la udaku la Kirusi) alikuwa akijaribu kumpata kwa simu mara kadhaa usiku huo. Makala hiyo iligeukia mahali ambapo watu walianza kujadili kama wanahabari wanaweza kuwatumia wanablogu kama chanzo cha taarifa zinazohusu hii ajali ya treni. Wanahabari pia walijaribu kuwasiliana na mwanablogu ambaye <a href="http://naechst-naechst.livejournal.com/105582.html#comments">aliandika</a> [RUS] kuwa aliamua kutopanda treni la “Nevsky Express” katika dakika ya mwisho.</p>
<p>Baadhi ya wanablogu <a href="http://tema.livejournal.com/509436.html">walieza kughafirika kwao </a>[RUS] na ukweli kuwa ni watu wachache mno kutoka kwenye treni walitumia vyombo vya habari vya kijamii kutoa taarifa za kile kilichokuwa kinatokea., Na, inavyoonekana, kuna fafanuzi kadhaa zinazoelea ni kwa nini  uanahabari wa kijamii haukuchukua nafasi kubwa katika upashaji wa habari za ajali ya “Nevsky express”.</p>
<p>Twita, jukwaa zuri la kublogu moja kwa moja, si maarufu nchini Urusi. Kwa mujibu wa <a href="http://twitter.com/twitRU">twitRU </a>[RUS], kuna watumiaji wa Twita 2,700 tu ambao wanaandika kwa lugha ya Kirusi. Wakati huo huo, majukwaa maarufu ya kublogu nchini Urusi kama vile Livejournal.com au ya.ru yangeweza kutumika ili kublogu moja kwa moja lakini, kama ilivyojadiliwa hapo juu, kuna mifano michache tu ya matumizi hayo.</p>
<p>Ufafanuzi wa pili unahusiana na nafasi ya zana za mkononi na uunganishaji. Zana za mkononi zinaongezeka nchini. Warusi zaidi na zaidi wanaweza kutumia mtandao wa intaneti na zana nyingine za mtandaoni. Tabia hii ina nguvu katika maeneo ya Moscow na St. Petersburg. Lakini ajali ilitokea mbali na maeneo ya mjini ambako, kama mashihidi walivyotaarifu, uwezo wa kupatikana kwa mawasiliano ya simu za mkononi ulikuwa mdogo. Mwanablogu  <em>pancakyes </em><a href="http://pancakyes.ya.ru/replies.xml?item_no=30442&#038;ncrnd=2805">anasimulia</a> tatizo la mawasiliano:</p>
<blockquote><p>
Mawasilian ya simu yalikuwa mabaya sana. Inawezekana kuwa kila mtu alijaribu kupiga simu kwa wakati mmoja na mtandao ulielemewa. Nilianza kupata jumba za maandishi pale tu nilipokuwa kwenye treni la pili (treni ambalo liliwachukua abiria kwenda Saint- Petersburg G.A.). Ningeliweza kutumia mtandao wa intaneti, lakini ilikuwa ni vigumu mno.</p></blockquote>
<p>Hii ni tofauti, ajali ya ndege kule Perm mwaka jana ambayo ilitoa fursa nyingi kwa uanahabari wa kiraia:</p>
<p>1. Ndege ilianguka ndani ya mipaka ya mji ambako watu wengi waliweza kuona ni nini kilichokuwa kinatokea kutokea madirishani. Ajali ya “Nevsky express”, kama ilivyoelezwa awali, ilitokea sehemu za vijijini.</p>
<p>2.Habari zilizoandikwa kwa uanahabari wa kijamii kule Perm zilitokana na maelezo ya walioishuhudia ajali ambao hawakuwamo katika ajali (kwa bahati mbaya, hapakuwa na walionusurika kutoka katika ile ndege). Mashahidi wote wa tukio la “Nevsky Express”  walikuwa ni abiria katika treni. </p>
<p>3. Watu wengi walituma habari mpya juu ya ajali ya ndege kule Perm kwa kutumia tarakilishi za nyumbani. Walionusurika kwenye “Nevsky Express” walitegemea zana za mikononi.</p>
<p>Tofauti hizi zinabainisha kwa nini vyombo vya habari vya kiraia vilikuwa mbele katika ajali ya  ndege na vilikaribia kutokuwepo kwenye tukio la “Nevsky Express.” </p>
<p>Pia inawezekana kudai kuwa urusi bado haijaendeleza utamaduni wa utoaji taarifa kupitia uanahabari wa kiraia. Na ndiyo sababu abiria wawili tu walikuwa na msukumo wakutosha kwenda kwenye mtandao na kujipa kazi ya uanahabari wa kijamii. Na pia inaweza kufafanua upinzani wa abiria na wanablogu kwa wanahabari ambao walikuwa wanatafuta taarifa za ajali kwenye vyombo vya habari vya kijamii. </p>
<p>Inaonekana kana kwamba ulimwengu wa blogu wa Kirusi bado uko mbali na kuwa chanzo kikuuu cha kutangaza habari mpya. Bado unabaki kuwa sehemu ya usambazaji wa habari na mijadala mipana inayohusu nini kilichotokea. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/12/urusi-jinsi-abiria-wa-nevsky-express-walivyoeleza-habari-kupitia-vyombo-vya-habari-vya-kijamii/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Ofisa Aweka Wazi Ufisadi wa Polisi kupitia Mtandao</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ofisa-aweka-wazi-ufisadi-wa-polisi-kupitia-mtandao/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ofisa-aweka-wazi-ufisadi-wa-polisi-kupitia-mtandao/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 10 Nov 2009 11:10:26 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Russia]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=595</guid>
		<description><![CDATA[Mnamo tarehe 6 Novemba, afisa wa polisi katika Idara ya Mambo ya Ndani huko Novorossiysk alitumia tovuti yake binafsi kuwasiliana na Waziri Mkuu Vladimir Putin na kuzungumzia matatizo lukuki yanayowakabili maafisa wa polisi nchini Urusi. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/vadim-isakov/">Vadim Isakov</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/09/officer-exposes-police-corruption-using-the-web/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/YouTube-%D0%92%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE%D0%BE%D0%B1%D1%80%D0%B0%D1%89%D0%B5%D0%BD%D0%B8%D0%B5-%D0%BC%D0%B0%D0%B9%D0%BE%D1%80%D0%B0-%D0%BC%D0%B8%D0%BB%D0%B8%D1%86%D0%B8%D0%B8-%D0%BA-%D0%9F%D1%83%D1%82%D0%B8%D0%BD%D1%83-1_1257748652019-75x75.jpg" title="YouTube - Видеообращение майора милиции к Путину (#1)_1257748652019" class="alignleft" width="75" height="75" /> Mnamo tarehe 6 Novemba, afisa wa polisi katika Idara ya Mambo ya Ndani huko <a href="http://maps.google.com/maps?q=Novorossiysk&#038;oe=utf-8&#038;rls=org.mozilla:en-US:official&#038;client=firefox-a&#038;um=1&#038;ie=UTF-8&#038;hq=&#038;hnear=Russian+Federation,+Region+of+Krasnodar,+Novorossiysk&#038;gl=us&#038;ei=aa73SouZJZDR8QbxpNDzCQ&#038;sa=X&#038;oi=geocode_result&#038;ct=title&#038;resnum=1&#038;ved=0CAoQ8gEwAA">Novorossiysk</a> alitumia tovuti yake binafsi kuwasiliana na Waziri Mkuu Vladimir Putin na kuzungumzia matatizo lukuki yanayowakabili maafisa wa polisi nchini Urusi. </p>
<p>Kwenye ujumbe wake wa video unaopotakina katika anwani hii ya mtandaoni <a href="http://www.dymovskiy.ru/">www.dymovskiy.ru</a> na YouTube (<a href="http://www.youtube.com/watch?v=2G3KbBfpg24&#038;feature=related">sehemu ya I</a> na <a href="http://www.youtube.com/watch?v=2dJkMLxvulw">sehemu ya II</a> [RUS]), Aleksey Dymovskiy anaonekana kuwa mtulivu na anayejieleza kwa usahihi mkubwa. Anazungumzia juu ya kushuka kwa hadhi ya polisi, rushwa, ufisadi na jinsi gani malipo duni yanavyokuwa kama sumu inayowala maafisa wengi wa polisi nchini Urusi.</p>
<blockquote><p>Nafikiri watu wengi watanielewa. Nataka kuchapa kazi, lakini nimechoshwa na mipango ya kingano ambapo tunalazimishwa kupeleleza jinai ambazo hazipo.  Nimechoshwa na mipango ya kutunga ambapo tunaambiwa tuwafunge watu fulani. Nimechoshwa na jinai za kutunga zinazoandaliwa ili kuwatupa watu fulani gerezani. </p></blockquote>
<p>Akiendelea kuweka wazi mambo mbalimbali, Dymovskiy anakiri kumtupa mtu asiye na hatia gerezani kwa sababu ya kulazimishwa na mkubwa wake kazini:</p>
<blockquote><p>Mkurugenzi wa Idara ya mambo ya Ndani alinitunukia cheo cha Meja, ambacho nilikipata mwezi Mei, kwa sababu tu nilimwahidi kutumpa mtu asiye na hatia gerezani. Siogopi kueleza jambo hili. Naelewa kuwa naweza kuadhibiwa kwa sababu hii. Lakini ni ukweli nami ninaukiri.</p></blockquote>
<p>Dymovsky pia anamwomba Waziri Mkuu Vladimir Putin kupeleleza matatizo hayo na kumalizia mbali tatizo la ufisadi katika jeshi la polisi.<br />
Video yake hiyo ilipata watembeleaji wengi sana muda mfupi tu tangu ichapishwe na vilevile maelfu waliibofya kwenye YouTube. Ilichukuliwa pia sana na kuchapishwa na vyombo vikuu vya habari za Urusi na kujadiliwa sana katika blogu nyingi. Ni mfano mmoja kati ya kadhaa ya kwanza ambapo raia wa Urusi wanafaulu vema kabisa kutumia miundo mipya ya majukwa ya habari ili kuwasiliana na serikali hasa kuhusu masuala nyeti yanayoikabili nchi. </p>
<p>Upekee wa &#8220;hotuba za kiraia kwa njia ya video&#8221; nchini Urusi inaelezwa vema zaidi kwa maoni yenye tahadhari kutoka katika moja ya blogu maarufu zaidi nchini inayoitwa <a href="http://dolboeb.livejournal.com/1696532.html">dolboeb</a>:</p>
<blockquote><p>Risala yenye nguvu ya pekee. Sitashangaa kama itageuka kuwa mbinu ambukizi ya utafutaji masoko. Mhusika mkuu anaonekana kama mtu wa kutoka sayari nyingine.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu mwingine <a href="http://marchenk.livejournal.com/191686.html">marchenk</a> anaandika:</p>
<blockquote><p>Hakuna hata mmoja wetu aliye malaika&#8230; simhusudu [Dymovskiy] kama askari mwaminifu na mpenda ukweli (mwenyewe amekiri kwamba alitunukiwa cheo cha Meja kwa kumfunga mtu asiye na hatia gerezani).  […] Hata hivyo, nampa heshima kwa ajili ya ujasiri wake wa kuwa mkweli. Kwa hiyo, kumbe kuna maafisa wengine wa polisi walio waaminifu. Kwa sababu yao, ni muhimu kuhakikisha kunakuwepo na mabadiliko katika jeshi la polisi. </p>
<p>Ninamwombea Mungu ili kwamba uwekaji wake wazi huu wa mambo umpe kinga na atendewe haki katika hali yake. </p></blockquote>
<p>Siku ya Jumapili, tarehe 8 Novemba, Rashid Nurgaliev, Waziri wa Urusi wa Mambo ya Ndani, alitangaza ukaguzi wa jeshi la polisi huko Novorossiysk. Wakati huohuo, Dymovskiy amefukuzwa kazi kwa sababu ya “uzushi na vitendo ambavyo vinaharibu sifa” ya polisi.</p>
<p>Katika mahojiano yake na kituo cha redio cha Urusi, “<a href="http://www.echo.msk.ru/">Ekho Moskvy</a>,” Dymovskiy alisema kwamba amekuwa akifuatiliwa na kwa hiyo alikuwa akifikiria kuhamishia familia yake jijini Moscow kwa sababu za kiusalama. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ofisa-aweka-wazi-ufisadi-wa-polisi-kupitia-mtandao/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Tamasha la Blogu Indonesia</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/tamasha-la-blogu-indonesia/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/tamasha-la-blogu-indonesia/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 06 Nov 2009 10:39:42 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Indonesia]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=547</guid>
		<description><![CDATA[Tulitembelea tamasha la blogu la Indonesia au PestaBlogger 2009. Hii nim ara ya tatu kwa tukio hili la mwaka kufanyika. Tukio hili lilishuhudia wanablogu kutoka kila sehemu ya Kisiwa hiki ambacho pia ni Taifa wakimiminika mjini Jakarta ili kusherehekea, kujadili na kujumuika.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/preetam/">Preetam Rai</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/27/at-the-indonesian-blogger-festival/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Indonesia ina uwanja wa blogu uliosisimka na wenye msisitizo mkubwa kwa jamii. Tamasha la mwaka la wanablogu (Pestablogger) la Indonesia liliwavutia wanablogu na wapenzi wa teknolojia kutoka sehemu zote za taifa.  </p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger011.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="271" /></p>
<p>Ukumbi uliojaa wa tamasha la blogu la Indonesia</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/cZwFCS2aO4U&#038;rel=0&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/cZwFCS2aO4U&#038;rel=0&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object><br />
Taswira kutoka kwenye tamasha la blogu.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger02.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="271" /><br />
Hii ilikuwa ni mara ya tatu kwa tukio hili la mwaka kufanyika na ni vizuri kuona idadi ya washiriki inaongezeka kila mwaka.<br />
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 490px"><img alt="pestablogger09" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger03.jpg" width="480" height="271" /><p class="wp-caption-text">pestablogger09</p></div><br />
Kipindi cha majadiliano juu ya maadili ya kublogu<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger06.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="360" /><br />
Kipindi cha majadiliano juu ya uanahabari wa kiraia<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger07.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="360" /><br />
Mwanahabari wa kiraia akielezea uzoefu wake kwa wanablogu<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger08.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="360" /><br />
Kipindi cha majadiliano juu ya kuunganisha kwenye utengano ndani ya Indonesia kwa kutumia blogu. Washiriki pia walijadili njia ambazo Indonesia inaweza kutumia kuiunganisha na dunia ya nje.<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger101.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="271" /><br />
Tristam (aliyewakilisha shirika la wadhamini), Chip, (mkereketwa wa teknolojia kutoka Vietnam) na Retty (Mwanablogu wa Indonesia) wakiwa katika majadiliano. Tukio hili la Indonesia halikushuhudia viwango vya ushiriki kutoka nje ambavyo Kampuchea au Thailand huvishuhudia. Hata hivyo, watu waliojaa udadisi wanatiririka na tunatumaini kupata watu zaidi kutoka maeneo ya Kusini Mashariki ya Asia wakati ujao.<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger12.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="270" /><br />
Msanii wa Batik akitengeneza shati la tamasha la blogu<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/pbblogger11.jpg" title="pestablogger09" class="aligncenter" width="480" height="271" /><br />
Wanablogu wanachukua mapumziko kutoka kwenye majadiliano na kuburudika na muziki.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/tamasha-la-blogu-indonesia/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kenya: Ramani Mpya Ya Wazi ya Kitongoji Cha Kibera Kwenye Blogu</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-ramani-mpya-ya-wazi-ya-kitongoji-cha-kibera-kwenye-blogu/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-ramani-mpya-ya-wazi-ya-kitongoji-cha-kibera-kwenye-blogu/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 04 Nov 2009 10:50:12 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Development]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Kenya]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=525</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Mradi wenye lengo la kutengeneza ramani mpya ya wazi ya kitongoji cha Kibera mjini Nairobi, Kenya:  “Na jana tulimaliza siku nzima pale MS Action Aid kenya, ambako wanafunzi wa ki-Denmark pamoja na wengine waliotokea kwenye mashirika mbalimbali kama [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/03/kenya-blogging-the-first-open-map-of-kibera/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mradi wenye lengo la kutengeneza <a href="http://www.mapkibera.org/blog/?p=21">ramani mpya ya wazi ya kitongoji cha Kibera mjini Nairobi</a>, Kenya:  “Na jana tulimaliza siku nzima pale MS Action Aid kenya, ambako wanafunzi wa ki-Denmark pamoja na wengine waliotokea kwenye mashirika mbalimbali kama vile Ushahidi, UNICEF, Umande Trust na World Bike, walipoonyeshwa mbinu za kutengeneza ramani.”</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-ramani-mpya-ya-wazi-ya-kitongoji-cha-kibera-kwenye-blogu/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title></title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/380/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/380/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 17 Oct 2009 06:35:44 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Botswana]]></category>
		<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=380</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Mradi Wa Uchaguzi Afrika (AEP) www.africanelections.org utakuwa unafuatilia uchaguzi mkuu wa wa 10 wa Botswana, unaofanyika Oktoba 16, 2009.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/15/botswana-african-elections-project-to-cover-elections/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mradi Wa Uchaguzi Afrika (AEP) www.africanelections.org <a href="http://www.africanelections.org/botswana/blogs/?post=475">utakuwa unafuatilia uchaguzi mkuu wa wa 10 wa Botswana</a>, unaofanyika Oktoba 16, 2009.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/380/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title></title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/344/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/344/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 04 Oct 2009 05:00:10 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bahrain]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[TYPE]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[WORLD]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=344</guid>
		<description><![CDATA[ &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Kutoka Bahrain, Redbelt, anatabiri mwisho wa kublogu.. kama tunavyojua.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em> &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/03/bahrain-the-end-of-blogging/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Kutoka Bahrain, <em><a href="http://theredbelt.com/2009/09/end-of-blogging.html">Redbelt</a></em>, anatabiri mwisho wa kublogu.. kama tunavyojua.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/344/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Palestina: Maoni Juu ya Kuzinduliwa Kwa Huduma ya Google.ps</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/palestina-maoni-juu-ya-kuzinduliwa-kwa-huduma-ya-google-ps/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/palestina-maoni-juu-ya-kuzinduliwa-kwa-huduma-ya-google-ps/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 16 Aug 2009 09:08:31 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Qatar]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=298</guid>
		<description><![CDATA[Google imeongeza anwani ya google.ps (google palestina) kwenye orodha yake zana inayotoa huduma za utafutaji zinazolenga sehemu mbali mbali. Anwani hiyo mpya inakusudiwa kufanya kazi katika ukanda wea Magharibi na Gaza, ambako watoaji huduma za intaneti hufanyia kazi zao. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jillian-york/">Jillian C. York</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/08/13/palestine-reactions-to-launch-of-google-ps/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>“Kwa miaka kadhaa google imekuwa ikiongeza anwani za sehemu maalum kama vile google.co.uk na google.jo ambazo zinatoa huduma za utafutaji maalum kwa sehemu hizo,” anasema mwanablogu <em>ArabCrunch</em>, alipokuwa <a href="http://arabcrunch.com/2009/08/breaking-google-launches-a-palestinian-domain.html">akitangaza </a>uamuzi wa Google wa kuongeza anwani maalum ya <a href="http://google.ps/">google.ps</a> katika orodha. Anwani hiyo mpya ya sehemu maalum inakusudia kufanya kazi katika Ukanda wa Magharibi na Gaza, ambako ndiko watoaji uduma za intaneti wanapofanyia kazi.</p>
<p>Wiki iliyopita blogu ya <em>Google Arabia</em> <a href="http://google-arabia.blogspot.com/">ilitangaza</a> ongezo hilo na sababu zilizopelekea uamuzi huo:</p>
<blockquote><p>Leo tunaongeza anwani nyingine katika orodha yetu, google.ps. Anwani hii mpya itawapa watumiaji wanaoongea Kiarabu waliopo katika majimbo ya Kipalestina, ambao wanatumia huduma zinazotolewa na watoa huduma za intaneti wa Kipalestina, uwezo wa kutumia Google kwa Kiarabu – na hatimaye, kuzifikia habari zinazolenga zaidi sehemu hiyo. Ukijumuishwa uzinduzi wa google.ps, tutatimiza jumla ya anwani zaidi ya 160 za google duniani. </p></blockquote>
<p>Katika <a href="http://arabcrunch.com/2009/08/breaking-google-launches-a-palestinian-domain.html">tamko</a> kwa <em>ArabCrunch</em>, Google pia ilifafanua kwa jinsi gani mabadiliko hayo yataathiri huduma ya maneno ya kutangazia biashara - AdWords: </p>
<blockquote><p>Kwa kutumia AdWords unaweza kulenga matangazo yako kwa nchi au majimbo, au kwa maeneo maalum pamoja na miji. Mfumo wa AdWords unatumia vigezo kadhaa ili kuamua kulionyesha tangazo lako pamoja na kujumuisha anwani ya Google inayotumiwa (.fr, .de, .kr, na kadhalika.), neno halisi analulitumia mtafutaji wakati wa kutafuta na ikiwezekana, tanweza kufahamu sehemu alipo mtumiaji kutegemeana na anwani ya kiitikadi ya intaneti ( au anwani ya IP).  “. Mfumo wa AdWords unatumia vigezo kadhaa ili kuamua kulionyesha tangazo lako pamoja na kujumuisha anwani ya Google inayotumiwa (.Com, .De, .Kr, na kadhalika.), neno halisi analulitumia mtafutaji wakati wa kutafuta na ikiwezekana, tanweza kufahamu sehemu alipo mtumiaji kutegemeana na anwani ya kiitikadi ya intaneti ( au anwani ya IP).</p></blockquote>
<p>Blogu ya <em>Window into Palestine</em> <a href="http://windowintopalestine.blogspot.com/2009/08/google-launches-palestine-specific-web.html">inaelezea</a> kwamba wapalestina walioko Yerusalem Mashariki hawatakuwa na uwezo wa moja kwa moja kuifikia huduma ya google.ps <em>(zingatia: Mtu yeyote anaweza kuipata anwani ya google.ps kwa kuchapa anwani hiyo moja kwa moja):</em></p>
<blockquote><p>Ukiitoa Yerusalem Mashariki, ambayo inaangukiwa kwenye utawala wa Kiisraeli, Wapalestina walioko Ukanda wa Magharibi na Gaza wamekuwa wakiitegemea anwani ya google.jo, anwani ya Jordan, na ile ya Misri www.google.com.eg.</p></blockquote>
<p>Mtumiaji wa Twita <em>migueldeicaza</em> <a href="http://twitter.com/migueldeicaza/statuses/3287959889">alionyesha msisimko</a> wake wa ongezo hilo kwenye familia ya Google:<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/08/miguel.JPG" title="miguel" class="aligncenter" width="636" height="247" /><br />
<em>daiski</em>, mtumiaji mwingine wa Twita mwenye makazi huko Qatar, <a href="http://twitter.com/daiski/status/3284342629">aliishukuru</a> google kwa kufanya hilo:<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/08/daiski.bmp" title="daiski" class="aligncenter" width="631" height="238" /></p>
<p><a href="http://google.ps/">Google.ps</a> inapatikana kwa Kiingereza na kwa Kiarabu.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/palestina-maoni-juu-ya-kuzinduliwa-kwa-huduma-ya-google-ps/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Afrika: Obama Atumia Nyenzo Mpya za Habari Kuzungumza na Waafrika</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/afrika-obama-atumia-nyenzo-mpya-za-habari-kuzungumza-na-waafrika/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/afrika-obama-atumia-nyenzo-mpya-za-habari-kuzungumza-na-waafrika/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Jul 2009 13:06:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Ghana]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Kenya]]></category>
		<category><![CDATA[Nigeria]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[South Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=238</guid>
		<description><![CDATA[“Umeshawahi kutaka kumuuliza kijana wetu wa Nyangoma maswali yoyote? Kwa maneno mengine, je ungependa Rais wa Marekani, Barack Obama ajibu maswali yako?,” ndivyo inavyoanza makala kwenye blogu ya Hot Secrets inayohusu matumizi ya Obama ya zana mpya za habari ili kukutana na kuongea na Waafrika wa kawaida.  ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/07/10/africa-obama-uses-new-media-to-talk-to-africans/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>“Umeshawahi kutaka kumuuliza kijana wetu wa Nyangoma maswali yoyote? Kwa maneno mengine, je ungependa Rais wa Marekani, Barack Obama ajibu maswali yako?,” <a href="http://hotsecretz.blogspot.com/2009/07/sms-son-of-kogelo-direct.html">ndivyo inavyoanza makala kwenye blogu ya Hot Secrets</a> inayohusu matumizi ya Obama ya zana mpya za habari ili kukutana na kuongea na Waafrika wa kawaida.  </p>
<p>Barack Obama anazuru <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Ghana">Ghana</a> tarehe 10 mpaka 11 Julai. Hii itakuwa ni ziara yake ya kwanza ya kihistoria kwenye nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na atatumia nyenzo kama Twita, Facebook na Ujumbe mfupi wa Simu za kiganjani (SMS) kuzungumza moja kwa moja kwa moja na Waafrika. </p>
<p>Erik Hersman anayeblogu kwenye <a href="http://whiteafrican.com/">blogu ya White African</a>, <a href="http://whiteafrican.com/2009/07/02/obamas-new-media-strategies-for-ghana/">anajadili majukwaa-nyenzo ya habari</a> ambayo Obama anakusudia kuyatumia ili kuwafikia Waafrika zaidi ya wale wa Ghana. Erik alifanya kazi na ikulu ya Marekani katika kuandaa mikakati ya nyenzo mpya za habari kwa ajili ya Ghana na Afrika. Anaandika: </p>
<blockquote><p>Redio bado ni nia ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika, na Ghana ina sekta ya redio iliyo hai na yenye kushirikisha jamii zilizo vitongojini na jamii ya kitaifa.<br />
Kama kila mmoja anavyojua, usambaaji wa simu za kiganjani umekua kwa kasi ya mlipuko barani Afrika, hii inamaanisha kwamba Ujumbe mfupi wa Simu (SMS) ni njia ya kidemokrasia ya kupata mrejesho kutoka kwa watu wa kila hali nchini. (jambo la kuchekesha ni kuwa huduma hii haipatikani kwa wakazi waaoishi Marekani – mengine juu ya suala hili yapo chini)<br />
Mwisho, hakuna mtandao wa kijamii ulioazaliwa nchini Ghana, na kama ilivyo kwa nchi nyingine kote Afrika, Facebook imeweza kusambaa kwa kiwango kizuri. Nchini Ghana, watumiaji ni zaidi 100,000, kwa hiyo inaleta maana sana kwa timu inayoshughulikia nyenzo za habari kuwafikia watu bila kuzisambaza nguvu zao kwenye huduma nyingi nyingine.  Kuwa na huduma ya Twita kama nyenzo ya akiba ni jambo linalotarajiwa, kwa sababu kutakuwa na matumizi huko vile vile.  </p></blockquote>
<p><a href="http://whiteafrican.com/2009/07/02/obamas-new-media-strategies-for-ghana/">Na anatundika </a>habari za kina kutoka Ikulu ya Marekani:</p>
<blockquote><p>SMS. Tunazindua jukwaa la SMS ili kuwaruhusu wananchi kutuma maswali, maoni na maneno ya ukaribisho (Kwa Kiingereza ama Kifaransa).  Kwa kutumia vifupisho vya tarakimu vya mahali husika kwa huduma ya  SMS nchini Ghana (1731) , Nigeria (32969) , Afrika Kusini (31958) na Kenya (5683), vile vile kutumia tarakimu ndefu kwa ajili ya wengine wote duniani *, Waafrika na raia ulimwenguni kote watahamasika kumwandikia Rais ujumbe mfupi wa maneno. Washiriki wa SMS wataweza pia kuomba kupatiwa dondoo za hotuba kwa Kiingereza na Kifaransa. Nambari zitakazotumika kwa ajili ya kuandikisha simu za mkononi kwa Afrika ni: 61418601934 na 45609910343.</p>
<p>Redio. Hotuba ya Rais itarushwa moja kwa moja kupitia vituo vya redio vya kitaifa na vile vya kanda wakati wa hotuba. Baada ya hotuba, jumbe zote zilizorekodiwa majibu ya Rais kwa jumbe zote fupi (SMS) zilizopokelewa zitapatikana katika vituo vya redio na wavuti. Rais anatarajia kujibu maswali anuai na maoni kwa mpangilio wa mada na eneo. Sauti zilizorekodiwa pia zitapatikana kwa ajili ya matumizi ya kila mtu atakayezihitaji kupitia wavuti ya Ikulu ya Marekani na teknolojia ya iTunes.<br />
Video. Hotuba itarushwa moja kwa moja kwenye www.whitehouse.gov/live. Alama-funguo za video hiyo inapatikana ili uweze kuitumia katika wavuti yoyote.<br />
Mazungumzo ya moja kwa moja kwenye mtandao. Tutawezesha gumzo la mtandaoni linalihusu hotuba kwenye Facebook (itakuwa hapa http://apps.facebook.com/whitehouselive). Ikulu ya Marekani itatengeneza “tukio” la Facebook kutokana na hotuba ambapo washiriki kutoka ulimwengu mzima wanaweza kujibishana. Anuani ya Twita ( #obamaghana) pia itatengenezwa na kutangazwa ili kuboresha maoni juu ya tukio hilo. </p></blockquote>
<p>Watumiaji wa mtandao wanaweza kutuma maswali yao kwenye <a href="http://allafrica.com/feedback/obama-ghana-2009.html">wavuti ya AllAfrica</a>: </p>
<blockquote><p>
Nafasi yako ya kumuuliza Rais Obama kuhusu Afrika:<br />
Unataka kumuuliza nini Rais Obama anapojiandaa kuitembelea Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa mara ya kwanza akiwa kiongozi wa Marekani –akitua Ghana tarehe 10-11 Julai? Andika swali lako hapa, na tutakusanya maombi yenu. Tafadhali, kama ungependa, usiasahau kutaja umri na kazi unayofanya.   </p></blockquote>
<p><a href="http://blog.foreignpolicy.com/posts/2009/07/07/africans_invited_to_text_obama_before_ghana_speech">Kwa mujibu wa Michael Wilkerson</a> anayeandika katika blogu ya Foreign Policy, matumizi ya Obama ya nyenzo mpya za mawasiliano kunaweza kuongeza umaarufu wake duniani:  </p>
<blockquote><p>Kama hapatakuwa na matatizo, udhihirishaji huu wa kupenda kupata mitazamo ya Waafrika huenda utapandisha umaarufu wa Obama duniani, ambao tayari ni kama mara mbili ya ule wa Marekani yenyewe. Katika soko la kitaalii la mjini Accra, fulana za Obama na michoro zinauzwa haraka kutoka kwenye safu na Waghana wanategema kupanda kwa biashara ya utalii baada ya ziara.</p></blockquote>
<p><a href="http://afrigator.com/link/url/?url=http%3A%2F%2Fghanapundit.blogspot.com%2F2009%2F07%2Fafrica-texts-obama-before-visit.html&#038;return_url=http%3A%2F%2Fafrigator.com%2Fhome&#038;blogid=13860&#038;postid=1189397">Mwanablogu Ghana Pundit anaripoti</a> kuwa maelfu ya jumbe za simu za viganjani yametumwa kwa Obama:</p>
<blockquote><p>Rais wa marekani amepokea maelfu ya jumbe za simu za viganjani zinazoihusu Afrika baada ya kuwataka watu kumtumia maswali kabla ya ziara yake nchini Ghana siku ya Ijumaa. </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/afrika-obama-atumia-nyenzo-mpya-za-habari-kuzungumza-na-waafrika/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Malawi: Wasikilize wanablogu wa uchaguzi Malawi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/06/malawi-wasikilize-wanablogu-wa-uchaguzi-malawi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/06/malawi-wasikilize-wanablogu-wa-uchaguzi-malawi/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 08 Jun 2009 05:51:50 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Malawi]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=177</guid>
		<description><![CDATA[Wamalawi wanapiga kura katika uchaguzi wa Raisi na Bunge. Baadhi ya wanablogu walipatiwa mafunzo na PenPlus Bytes, Taasisi ya kimataifa ya Uandishi wa TEKNOHAMA kwa ushirikiano na New Media Insitute kwa lengo la kuangalia na kutoa maoni yao kuhusu uchaguzi huo kwa kutumia blogu, teknolojia ya twita na simu za viganjani. Hebu na tuziangalie blogu zao, ambazo zimehifadhiwa katika Potal ya chaguzi za Afrika. Poto hii hutoa taarifa za kutosha kuhusu chaguzi mbalimbali katika nchi za kiafrika.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/05/19/malawi-listen-to-malawi-election-bloggers/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wamalawi wanapiga kura katika uchaguzi wa Raisi na Bunge. <a href="http://www.penplusbytes.org/ppb_detail.cfm?tblNewsCatID=21&#038;tblNewsID=118">Kikundi cha wanablogu kilipewa mafunzo</a> na <a href="http://www.penplusbytes.org/">PenPlus Bytes</a>, Taasisi ya kimataifa ya Uandishi wa TEKNOHAMA kwa ushirikiano na <a href="http://www.nbpc.tv/nmi/">New Media Insitute </a>kwa lengo la kuangalia na kutoa maoni yao kuhusu uchaguzi huo kwa kutumia blogu, teknolojia ya twita na simu za viganjani.</p>
<p>Hebu na tuziangalie blogu zao, ambazo zimehifadhiwa katika Potal ya chaguzi za Afrika. Poto hii hutoa taarifa za kutosha kuhusu chaguzi mbalimbali katika nchi za kiafrika.</p>
<p><a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=183/">Kwa mujibu wa mwanablogu Eric Chilenje</a>, uchaguzi wa 2009 nchini Malawi utakuwa na ushindani mzito:</p>
<blockquote><p>Uchaguzi Mkuu wa 2009 utakuwa kati ya chaguzi zile zinazoonekana kuwa na ushindani mzito. Kwa kuanzia tu, tumemwona Kiongozi wa nchi mstaafu Dr. Bakili Muluzi, akizuiliwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi kugombea kwa mara ya tatu kama Rais. Hili lilifanywa na kwa mujibu wa katiba ya Malawi inayoelekeza kwamba Rais atakuwa madarakani kwa vipindi viwili mfululizo peke yake. Suala jingine linalovutia katika Uchaguzi Mkuu wa 2009 ni kwamba tumeona chama cha UDF kinachoongozwa na Dr. Bakili Muluzi kikiunda ‘muungano’ na kile cha MCP cha John Tembo.</p></blockquote>
<p>Norman Fulatira <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=179/">ana maoni yanayofanana na hayo</a>:</p>
<blockquote><p>Uchaguzi wa 2009 katika Malawi unaonekana kuwa wa kwanza tangu nchi iingie katika demokrasia ya vyama vingi. Matangazo yanayowanadi wagombea yanaweza kutubashiria ushindani ni mkubwa wakati huu.</p>
<p>Natambua kuwa uchaguzi wa 2009 katika Malawi unabainisha suala la ulafi wa watawala. Hakuna mtawala anayetaja mfumo rasmi wa kiutawala atakaoufuata akiisha kuchaguliwa kushika madaraka ukimwacha labda Bw. James Nyondo mgombea binafsi wa Urais.</p></blockquote>
<p><a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=185/">McDonald Bamusi</a> anatoa hoja kwamba uamuzi wa vyama viwili vya siasa vya UDF na MCP, kumwuunga mkono mgombea mmoja umefanya mbio hizo za uchaguzi ziwe kali kweli kweli:</p>
<blockquote><p>Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu katika Malawi umekuwa mmoja ya chaguzi zenye ushindani wa karibu sana. Imekuwa hivi hasa kwa sababu ya makubaliano ya UDF na MCP kumwunga mgombea anafahamika kwa jina la John Zenus Ungapake Tembo.</p></blockquote>
<p>Michael anaonesha kwamba <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=182/">wapiga kura wa vijijini hawawezi kutegemewa</a> katika uchaguzi wa mwaka huu:</p>
<blockquote><p>Mbio za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zitakuwa zito. Vyama vikuu vya siasa vinaweka mkazo wa kampeni zao katika maeneo ya vijijini. Hawa ndio watu walio wengi. Watu hawa wa vijijini hawatatumika vibaya mwaka huu kwa sababu wanatambua vyema kiongozi mzuri ni nani.</p>
<p>Vyama vya kiraia, Vyombo vya habari na Taasisi za kidini vinafanya wajibu wake muhimu katika kuhakikisha kuwa Wapiga kura wanazo taarifa sahihi kuhusiana na uchaguzi. Hii itasaidia umma kufanya maamuzi yanayotokana na ufahamu wa kutosha kuhusu nani wa kumchagua ifikapo Mei 19.</p></blockquote>
<p><a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=197/">Wesysylas anaarifu kwamba </a>basi la chama cha DPP kilitwangwa mawe katika Wilaya ya Machinga:</p>
<blockquote><p>Kama siku moja baada ya matukio yasiyo ya kiungwana kutokea katika mkutano ulioandaliwa na Mwenyekiti wa Taifa wa UDF Dk. Bakili Muluzi huko Goliati wilayani Thyolo, tukio hilo lilichukua sura mpya pale basi la chama cha DPP kutwangwa mawe wilayani Machinga siku ya Jumatano.</p></blockquote>
<p>Habari njema ni kwamba, <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=237/">kwa mujibu wa Kamati ya Ushauri wa Haki za Binadamu</a>, kiwango cha matumizi ya nguvu katika kipindi cha kampeni yamepungua ukilinganisha na yale ya uchaguzi wa mwaka 2004:</p>
<blockquote><p>Kamati ya Ushauri wa Haki za Binadamu (HRCC) imesema viwango vya matumizi ya nguvu katika kampeni cha kampeni za kuelekea maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 19 Mei yamepungua ukilinganisha yale yaliyoshuhudiwa mwaka 2004.<br />
Kipindi cha kampeni kimehitimishwa leo saa 12 asubuhi. Naibu Mratibu wa Taifa wa HRCC Cecilia Mussa amesema mafanikio haya ni uthibitisho tosha kwamba wa –Malawi wameelewa kuwa nguvu si silaha ya kuingiza ajenda binafsi.</p></blockquote>
<p>Uchaguzi wa 2009 kwa mujibu wa Nicolas Mbonela ni wa aina yake: </p>
<blockquote><p>
Uchaguzi ujao wa tarehe 19 Mei 2009 utakuwa ni wa aina yake tukizingatia maendeleo ya kisiasa ambayo yanatukia nchini. </p>
<p>Washindani katika siasa wanachabangana ili tu kuhakikisha kwamba wanawavutia wapiga kura wa Kimalawi ambao hawana elimu ambao ndiyo sehemu kubwa ya watu na wapiga kura.</p></blockquote>
<p>Taarifa za hivi Punde za uchaguzi wa Malawi zinaripoti kwamba <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=228/">wamiliki mali wa Malawi wanadai fedha kwa ajili ya mabango yaliyobandikwa katika maeneo yao</a>. </p>
<blockquote><p>Baadhi ya wamiliki wadogo wa mali hizo huko Blantyre wanadai kama Kwacha 500 kwa mabango waliyowekwa katika maeneo yao ya biashara ama kazi, imegundulika.</p>
<p>Maendeleo hayo yamewashawishi baadhi ya wamiliki kuzitangaza wazi sehemu zao, kama vile bango moja kubwa lililoko kwenye mji mkongwe wa Blatyre lilivyoashiria jumapili asubuhi.</p>
<p>Mojawapo ya maeneo ambayo wanasiasa wanasemekana kuyalipia ni Kituo cha Curios, karibu na jengo la Benki ya Akiba ya Malawi huko Blantyre.</p>
<p>Mmoja wa wauzaji wa kituo hicho alibainisha katika mahojiano kwamba mabango yanayojiuza yenyewe kwenye eneo hilo yalilipiwa, na kwamba kila moja liling’arimu Kwacha 500 kwa vyama vya siasa vilivyoonyeshwa. Mabango hayo yanajumuisha sura za Bingu wa Mutharika na nyingine ya John tembo, anayebeba mwenge wa chama wa MCP katika uchaguzi wa Mei 19.</p></blockquote>
<p>Jessie Puwapuwa anasema kwamba mwaka 1994 wa –Malawi <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=186/">walipiga kura ili kumuondoa Kamuzu Banda aliyekuwa ametawala Malawi kwa miaka 30</a>:</p>
<blockquote><p>
Kwa jinsi ilivyo, uchaguzi ni wakati ambapo watu hupiga kura zao ili kuwaweka ama kuwatimua watu katika nafasi zao.</p>
<p>Hii ni mara ya tatu wa –Malawi watakuwa wanaenda kupiga kura kumchagua anayegusa mioyo yao. Mwaka 1994 wa –Malawi walikuwa na ari ya kwenda kupiga kura ili tu kukitosa chama tawala cha MCP ambacho kilikuwa kimetawala kwa miaka 30 chini ya kile kilichoitwa “Udikteta wa Marehemu Mheshimiwa Ngazi Dk. Hastings kamuzu banda”. Huu ulikuwa mwanzo wa kutamalaki kwa demokrasia na Rais wa UDP Dk. Bakili Muluzi alikuwa kiongozi wa kwanza kuchaguliwa na kisha  kuchaguliwa tena mwaka 1999.</p>
<p>Mwaka 2004 Dk. Bingu Wa Mutharika alichaguliwa kuingia katika ofisi hii inayoheshimika kupitia UDF.</p></blockquote>
<p>Katika makala yake yenye kichwa cha habari <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=195/">“Malawi: Ni Uchumi tu, mjinga we?”</a>, Mujo anaandika, “ Pamoja na kukumbana na upinzani mkali wa pamoja wa kiongozi mkuu wa upinzani na rais mstaafu, mtawala huyu anatarajiwa kushinda kwa mgongo wa kuuinua uchumi”.</p>
<blockquote><p>Tarehe 19 Mei, wa –Malawi watakuwa wanaenda kupiga kura kumchagua rais mpya. DPP kimekuwa madarakani kwa miaka minne iliyopita na kimemtengenezea njia Rais Bingu waMutharika kuwa mgombea wake kwa mara nyingine.</p>
<p>Ingawa wapinzani wake wanamlaumu Mutharika kwa kujitengenezea njia ya kuingia Ikulu, anasifiwa kwa kuuboresha uchumi wa Malawi. Tangu atwae madaraka, nchi imeshuhudia uchumi ukikua kwa wastani wa asilimia 7.</p>
<p>“ Alirithi hali mbaya sana kisiasa na uchumi uliodorora…na ilikuwa kazi ngumu kuiendesha nchi, kurudisha imani ya watu muhimu wa nje,” alisema Dimpho Motsamai, Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Taasisi ya majadiliano ya Kidunia ya Afrika Kusini anayejikita nchini Malawi.</p>
<p>“Kwa hiyo maono yake yalikuwa kuufufua uchumi, kulinda vyanzo vya kiuchumi –uthibiti wa dhati vya vyanzo vya uchumi –na utakaoshughulika na matabaka ya kijamii na kiuchumi nchini Malawi,” alikiambia kipindi cha Reuters African Journal.</p></blockquote>
<p>George Kanyange <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=178/">anategemea kuwa uchaguzi wa 2009 utakuwa uchaguzi unaosisimua zaidi katika historia ya Malawi</a>:</p>
<blockquote><p>Uchaguzi wa mwaka huu unaonyesha bayana kwamba utakuwa wenye msisimuko kuliko kawaida nchini Malawi. Kuna sababu zinazoufanya uchaguzi wetu kuwa wa pekee. Kwanza ni ukweli kwamba mmoja wapo ya vyama muhimu kabisa vya siasa vinavyogombea katika uchaguzi huu ni chama tawala, DPP, ambacho hakikuwahi kamwe kuchaguliwa na wananchi kutwaa madaraka. Na jambo lingine linalovutia ni kwamba chama tawala cha zamani, UDF hakina mgombea wa Urais baada ya kiongozi wake, Bakili Muluzi kukataliwa na Tume ya Uchaguzi, ikikilazimisha kuungana na chama kingine kikubwa cha upinzani, MCP ambacho nacho ni kikongwe kuliko vyote nchini.</p></blockquote>
<p>Vyombo vya habari havijapewa umuhimu kwenye Ilani za  vyama, <a href="http://www.africanelections.org/malawi/blogs/?post=236/">anaandika Big Up</a>:</p>
<blockquote><p>Wagombea wote saba, katika uchaguzi mkuu wa Juma lijalo, wameonja joto la jiwe, kwa kutokuingiza jambo lolote linaloonekana, kuhusu vyombo vya habari katika ilani zao. Hawa ni pamoja na John Tembo wa MCP/UDF, Bingu wa Mutharika wa DPP,  Dindi Gowa Nyasulu wa afford, Loveness Gondwe wa NARC, Stanley Masauli wa RP, Kamuzu Chibambo wa PETRA na mgombea binafsi James Nyondo. Hii imewafanya baadhi ya waandishi wa habari kuwauliza maofisa wa kisiasa nchini ikiwa wanathamini vyombo vya habari kama Mhimili wa nne ama la, kwa mujibu wa katiba.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/06/malawi-wasikilize-wanablogu-wa-uchaguzi-malawi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Malawi: Homa Ya Uchaguzi na Kuelea Teknolojia ya Kidijitali</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/malawi-homa-ya-uchaguzi-na-kuelea-teknolojia-ya-kidijitali/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/malawi-homa-ya-uchaguzi-na-kuelea-teknolojia-ya-kidijitali/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 09 Feb 2009 12:54:10 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Malawi]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=58</guid>
		<description><![CDATA[Juma lililopita lilikuwa lenye moto wa kisiasa kwa Wamalawi wengi kwani wameshuhudia wagombea wa viti vya urais na ubunge wakiwasilisha maombi yao kwenye Tume ya Uchaguzi kuelekea Uchaguzi utakaofanyika terehe 19 Mei. Hadi kufikia mwisho wa zoezi hilo wagombea wapatao 10 waliwasilisha maombi yao ya kugombea urais na mamia wengine kwa ajili ya kugombea viti 193 vya bunge.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/victor/">Victor kaonga</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/02/08/malawi-of-election-fever-and-going-digital/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Juma lililopita lilikuwa lenye moto wa kisiasa kwa Wamalawi wengi kwani wameshuhudia <a href="http://www.nyasatimes.com/national/2659.html">wagombea wa viti vya urais na ubunge </a>wakiwasilisha maombi yao kwenye Tume ya Uchaguzi kuelekea Uchaguzi utakaofanyika terehe 19 Mei. Hadi kufikia mwisho wa zoezi hilo wagombea wapatao 10 waliwasilisha maombi yao ya kugombea urais na mamia wengine kwa ajili ya kugombea viti 193 vya bunge.</p>
<p>Mapema, mwanahabari, <strong>Kondwani Munthali</strong> alieleza maoni yake kuhusu maendeleo ya kisiasa ambayo yanategemewa kwenye ushindani wa ngazi ya urais na kadhalika kwenye ngazi za ubunge. Anaandika kwenye <a href="http://munthalikondwani.blogspot.com/2009/02/viva-my-countrys-democracy.html">Viva My Country&#39;s Democracy</a>:</p>
<blockquote><p>Ndiyo, nilisema kuwa chama cha DPP hakina muundo wa kujiendesha kwenye hatua za mwanzo za uchaguzi. Nafarijika kuwa mawaziri wawili wamekumbuka majadiliano niliyofanya nao na wamenipigia simu. Kwa chama cha UDF, jinsi watakavyodhibiti hali inayomuhusu Muluzi hilo ni juu yao. Kwa MCP inaonekana wamebadilika kwa hakika, wanaonekana wako makini sana kuweza kupindua meza. Kwa leo hapa ndio inapoishia</p></blockquote>
<p>Mwanablohu mwingine anayeblogu kwenye <strong>Ndagha</strong> anakubaliana na Munthali kwamba siasa za Malawi mwaka huu <a href="http://ndagha.blogspot.com/2009/02/politics-getting-hot-in-malawi.html">zimeshika moto</a>. Anategemea kwamba washiriki wana moyo wa dhati kwa ajili uya Wamalawi na si kwa ajili ya kuhudumia maslahi yao. Anasema kwamba mwaka huu unatia moyo. Kwa nini?:</p>
<blockquote><p>Kwangu, mbio za uchaguzi wa wabunge zitakuwa za kusisimua kwani zitaonyesha wagombeea wapya wengi ambao kwa mtazamo wangu wanaweza kutoa mchango muhimu kwa maendeleo ya nchi. Natamani tungekuwa na sura mpya maarufu  kwenye uchaguzi wa rais.</p></blockquote>
<p>Mwanahabari mwingine, Mzati Nkolokosa anakiita kipindi hiki cha siasa nchini Malawi kama kipindi cha uzushi. Anaandika makala ndefu inayomuhusu Brown Mpinganjira ambaye amekitosa chama ambacho alisaidia kukijenga na amejiunga na John Tembo wa Chama cha Malawi Congress kama mgombea mwenza.</p>
<blockquote><p><strong>Ni sahihi kukiita kipindi hiki kama <a href="http://mzatinkolokosa.blogspot.com/2009/01/season-of-rumours.html">kipindi cha uzushi</a>. Lakini Brown Mpinganjira ni lazima akubali kwamba ukweli wa kisiasa katika Malawi huanza kama uzushi.</strong></p>
<p>Brown Mpinganjira, mwanasiasa mwerevu zaidi nchini Malawi kwa mujibu wa Jack Mapanje, ni mzuri katika mawasiliano. Anayafahamu maneno yaliyojaa maana, anaongea kishairi, anaweza kuwachanganya wananchi, hata wanahabari, ambao hawamfuatilii kwa makini.</p></blockquote>
<p>Idara nyingi za umma nchini Malawi zinatumuia tarakilishi. Wakati kuna juhudi za kuboresha (muundo), bado ni changamoto kubwa kwa idara na asasi nyingi. Moja ya ofisi ambazo zinahudumia Wamalawi wengi ni Ofisi ya Serikali ambako pamoja na mambo mengine wateja husaidiwa kwa huduma zinazohusu masuala ya mirathi.</p>
<p>Baada ya kufanya kozi fupi ya uingizaji takwimu, Mwanahabari, <a href="http://allsmiles-stella.blogspot.com/2009/02/lets-go-digital.html"><strong>Pauline Kalumikiza</strong></a> anaandika juu ya umuhimu wa ofisi kama hizi kutumia teknolojia ya <a href="http://allsmiles-stella.blogspot.com/2009/02/lets-go-digital.html">dijitali</a>.</p>
<blockquote><p>Sababu ni kuwa, inawachukua muda mrefu mrefu kuwahudumia warithi kutokana na uhifadhi kwa kutumia mikono. Nafikiri ni mtindio unaochukua muda mrefu, kwa sababu wanashughulikia mafaili mengi ili kulitoa moja, inachukua muda.<br />
Mara nyingi, watakuambia, ‘Samahani, njoo mwezi ujao, tupe muda wa kulitafuta faili lako’ hebu fikiria mtu anakuja kutoka Nsanje kuja kwa Mwanasheria Mkuu mjini Blantyre; anakuja tena kama alivyoahidiwa na anaambiwa asubiri tena kwa wiki moja nyingine, inaghafirisha, au sivyo?</p>
<p>Naam, teknolojia ina faida zake lakini nafikiri, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu ingeweza kuokoa muda na nishati kwa kutumia teknolojia ya dijitali.<br />
Hatuwezi kuendelea kuongelea teknolojia ya mawasiliano ya kidijitali kuweza kumfikia kila mmoja, kama ofisi zinazohifadhi habari muhimu bado zinatumia mbinu za uhifadhi za mikono. Zisinthe! (Yaache Mambo yabadilike!)</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/malawi-homa-ya-uchaguzi-na-kuelea-teknolojia-ya-kidijitali/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
