Habari kuhusu Teknolojia kutoka Januari, 2012
Ivory Coast: Mjadala Mkali dhidi ya Chombo cha Habari kilichotumia Picha za Mwanablogu Bila Ruhusa
For the blogger and professional photographer Audrey Carlalie, the Christmas 2011 holidays were marked by the fact that her photos of a celebratory firework display were used by certain Ivorian newspapers without her authorization. Kanigui reports.For the blogger and professional photographer Audrey Carlalie, the Christmas 2011 holidays were marked by the fact that her photos of a celebratory firework display were used by certain Ivorian newspapers without her authorization. Kanigui reports.
Zambia: Kiongozi wa Upinzani Awa wa Kwanza Kulihutubia Bunge la Facebook
Rais wa Chama cha upinzani cha NAREP (National Restoration Party) Elias Chipimo Jr. amekuwa mwanasiasa wa kwanza katika nchi hiyo “kulihutubia” bunge la Facebook nchini Zambia linaloaminika kuwa na wanachama 1,318 baada ya kuruhusiwa na “Spika” kutuma ujumbe wake wa mwisho wa mwaka.
Afrika: TEKNOHAMA Kwa Ajili ya Wakimbizi na Watu Wasio na Makazi
Barani Afrika na kwingineko TEKNOHAMA imeondokea kuwa nyenzo muhimu wakati wa matatizo wakati teknolojia kama vile Ujumbe mfupi wa Simu za Mkononi, VOIP, na Simu za mkononi zinapozidi kuwa na manufaa kwa wakimbizi na kwa watu waliokosa makazi.