<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; Software &amp; Tools</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/topics/software-tools/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Vijana wa Kiyahudi na Kipalestina Watumia Video Kuuelewa Mgogoro</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 08 Nov 2009 11:55:38 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Children]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Film]]></category>
		<category><![CDATA[Hebrew]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Religion]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=591</guid>
		<description><![CDATA[Mashirika mawili tofauti nchini Israel na katika Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia vijana wa Kiarabu na Kiyahudi kuuelewa mgogoro na kujenga daraja kati yao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juliana-rincon-parra/">Juliana Rincón Parra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/06/israeli-and-palestinian-youth-use-video-to-understand-the-conflict/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mashirika mawili tofauti katika Israel na Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia wote, vijana wa Kiyahudi na Wakiarabu kuuelewa mgogoro na kutengeneza daraja kati yao, kwa kutengeneza nafasi ya kukutana na kuwasiliana ambamo wanaweza wakaeleza ndoto zao, yanayowagusa na mawazo yao kuhusu hali tata wanayoishi.</p>
<p>Moja ya miradi hiyo ni <a href="http://en.reutsadaka.org/">Sadaka Reut</a>, na <a href="http://en.reutsadaka.org/?page_id=54">haya ndiyo wanayoyasema kuhusu programu yao</a>:</p>
<blockquote><p>Huku vijana wengi wa Kipalestina na Kiyahudi wakiwa wametengwa kimwili mmoja kutoka mwingine (kwenye jamii na shule tofauti) na hofu, ubaguzi wa rangi na mawazo potofu matokeo yake, tunatarajia kujenga namna mbadala za maingiliano kati ya makundi haya mawili. Programu ya ‘kujenga Utamaduni wa Amani’ inakusudia kutengeneza sehemu ambamo vijana wa Kipalestina na Kiyahudi wanaweza kujisikia wako sawa, wanaheshimika na kutambulika kama watu na pia kama ushirika wa kitaifa.</p></blockquote>
<p>Wanachama wa programu hiyo pia wamekuwa wakishiriki katika mradi wa video ya Dakika Moja, ambao kwao wanajifunza kuhusu uanaharakati wa video wakati wa warsha ya wiki moja. Haya ni baadhi ya matokeo, na unaweza kuangalia yaliyobakia kwa kubonyeza ili kufikia <a href="http://en.reutsadaka.org/?p=846">tovuti yao</a>:</p>
<p><a href="ttp://www.youtube.com/watch?v=XkxUC30UNug">Arab</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=US6QtYDVzB8">AM/FM</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=gT9KX9fKgT0">Few love Singing</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mradi mwingine ni <a href="http://www.win-peace.org/home.html">Dirisha la Amani</a>, ambao ulianza tangu mwaka 1991 kama jitihada za kutengeneza jarida la lugha na tamaduni mbili kwa ajili ya vijana kama njia ya kuwawezesha kuungana na kujifunza juu ya mgogoro, kutangaza usawa na kuwawezesha vijana. Hata hivyo, haijakuwa rahisi, <a href="http://www.win-peace.org/about.html">kama wanavyoeleza katika tovuti yao</a>:</p>
<blockquote><p>&#8220;Si kazi rahisi kwa vijana wa Kipalestina na Kiyahudi kushinda idadi kubwa ya taarifa zisizo sahihi na imani potofu ambazo zinafundishwa mmoja kuhusu mwingine. Uwepo mdogo wa makutano, matokeo ya kuishi katika jamii zilizotengana na kuchochewa na mgogoro wenye machafuko mabaya ya kisiasa, vinaendeleza hofu za kihistoria, imani potofu, na chuki ambayo inawagawa jamii hizi mbili. Kwa hiyo, Dirisha (la Amani) linatilia makini kurutubisha mabadiliko makubwa katika namna ambayo vijana wa kiyahudi na Kipalestina wanavyojiona wenyewe, “wengine” pamoja na mgogoro. Washiriki wa programu za Dirisha wanapitia uzoefu ambao unatetea mabadiliko katika mgogoro kati ya jamii hizo mbili, kuelekea kwenye ukweli wa amani ambamo kila upande wanaweza kuishi. Tunaamini kuwa amani ya haki nay a kudumu ni lazima view na msingi katika maadili ya kidemokrasia, haki za binadamu, na ufahamu na kukubalika kwa “mwingine.”</p></blockquote>
<p>Pia wanafanya kazi kwa ajili ya mradi mpya unaoitwa <a href="http://www.win-peace.org/youth%20media%20program.html">Kwa njia ya Lensi</a>, ambao vijana wa umri kati ya miaka 15 mpaka 17 “waliofuzu” kutoka kwenye gazeti wanaendeleza ufundi ili kutengeneza filamu fupi fupi, habari na video nyingine nyingine ili kuendeleza “mazungumzo ya kujenga amani na maingiliano chanya yenye ufanisi.”</p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=zsxLrfzyAIo">Hii ni video </a>ambayo washiriki wa mradi wa Dirisha wanaongelea uzoefu wao ndani ya kikundi na jinsi walivyokabiliana na changamoto zinazojitokeza ili kujiweka nje ya uwanja waliouzoea na kuongelea mada ngumu kama vile mgogoro kati ya Israel na Palestina:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kama watotokatika video wanavyosema kwa kutumia maneno mengi: wanaweza kuwa na wakati mgumu kukabiliana na mengi ya  maoni nba mitazamo ambayo watoto wengine wanaitoa, lakini kuwa na sehemu ya kujadili masuala katika njia salama kunawasaidia kuelewa ulimwengu wanamoishi huku wakiwa na uwezekano wa kukutana, kujifunza na kushiriki na watoto wenzao pamoja na vijana na hata kubadili hiyo mitazamo.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kutambulisha Sauti Zinazotishwa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kutambulisha-sauti-zinazotishwa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kutambulisha-sauti-zinazotishwa/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 06 Nov 2009 13:08:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Announcements]]></category>
		<category><![CDATA[Blogger News]]></category>
		<category><![CDATA[Blogger Profiles]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Projects]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=554</guid>
		<description><![CDATA[Leo, kitengo cha utetezi cha Global Voices, kinazindua tovuti mpya inayoitwa Threatened Voices, yaani, Sauti Zinazotishwa ili kusaidia kufuatilia unyamazishaji wa uhuru wa kujieleza wa mtandaoni. Inaonyesha ramani ya dunia na mwingiliano wa saa unaosaidia kuonyesha taarifa za vitisho na ukamataji unaofanywa dhidi ya wanablogu duniani kote, na ni mhimili mkuu wa kukusanyia taarifa kutoka katika asasi na wanaharakati walioamua kujitoa muhanga kwelikweli. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/sami-ben-gharbia/">Sami Ben Gharbia</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/03/introducing-threatened-voices/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/threatened-logo-1.gif" title="threatened-logo" class="aligncenter" width="352" height="77" /><br />
Haijawahi kutokea hapo kabla kwamba watu wengi kiasi hicho wametishwa au kutupwa gerezani kwa sababu ya maneno wanayoandika kwenye mtandao.</p>
<p>Kwa kuwa wanaharakati wengi na raia wa kawaida wameongeza sana utumiaji wa Intaneti ili kutoa maoni yao na kuwasiliana na wengine, serikali nyingi pia zimeongeza ufuatiliaji wa kichunguzi, kujipenyeza, uchukuaji wa hatua za kisheria na unyanyasaji. Matokeo mabaya zaidi ya vitendo hivyo yanapata hasa msukumo wa kisiasa na hivyo kusababisha ukamataji wa wanablogu na waandishi wengine wa mtandaoni kutokana na shughuli zao za mtandaoni na nje ya mtandao, katika baadhi ya matukio ya kusikitisha hata vifo vimetokea. Waandishi wa habari wa mtandaoni na wanablogu wanawakilisha <a href="http://cpj.org/imprisoned/cpjs-2008-census-online-journalists-now-jailed-mor.php">asilimia 45 ya wanahabari </a>walio magerezani duniani kote.</p>
<p>Leo, <a href="http://advocacy.globalvoicesonline.org/">kitengo cha utetezi cha Global Voices</a>, kinazindua tovuti mpya inayoitwa <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/">Threatened Voices</a>, yaani, Sauti Zinazotishwa ili kusaidia kufuatilia unyamazishaji wa uhuru wa kujieleza wa mtandaoni. Inaonyesha ramani ya dunia na mwingiliano wa saa unaosaidia kuonyesha taarifa za vitisho na ukamataji unaofanywa dhidi ya wanablogu duniani kote, na ni mhimili mkuu wa kukusanyia taarifa kutoka katika asasi na wanaharakati walioamua kujitoa muhanga kwelikweli, zikiwemo <a href="http://www.committeetoprotectbloggers.org/">Committee to Protect Bloggers</a> (Kamati ya Kuwalinda Wanablogu), <a href="http://www.anhri.net/en/">The Arabic Network for Human Rights Information</a> (Mtandao wa Kiarabu wa Haki za Binadamu kwa Taarifa), <a href="http://rsf.org/">Wanahabari Wasio na Mipaka</a>, <a href="http://hrw.org/">Shrika la Kuchunguza Haki za Binadamu</a>, B<a href="http://cyberlaw.org.uk/">logu ya Sherika za Mitandao</a>, <a href="http://www.amnesty.org/">Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu</a>, <a href="http://www.cpj.org/">Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari</a>, <a href="http://advocacy.globalvoicesonline.org/">Kitengo cha Utetezi cha Global Voices</a>.<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/threatened_voices1.jpg" title="threatened_voices" class="aligncenter" width="450" height="352" /></p>
<p><strong>Mwanablogu yupi, wapi?</strong></p>
<p>Kupata taarifa sahihi kuhusu wanablogu na waandishi wa mitandaoni waliokamatwa ni jambo gumu kwa sababu mbalimbali.</p>
<p>Kwanza, usiri unaotawala udhibiti wa mtandaoni na ukandamizaji unafanya taarifa sahihi liwe jambo gumu sana. Hakuna wiki inayopita bila kuwepo habari za kukamwatwa kwa mwandishi au mwanaharakati mwingine wa mtandaoni katika nchi kama vile Misri au Irani, lakini undani na sababu mara nyingi hugubikwa na utata usioelezeka.</p>
<p>Pili, bado kuna mkanganyiko kuhusu ufafanuzi wa &#8220;Mwanablogu&#8221; ni nani. Wanahabari mahiri wanazidi kuhamia katika matumizi ya vyombo vya habari vya mtandaoni na blogu ili kutafuta uhuru zaidi, hivyo kufanya ufafanuzi uliokuwepo hapo kabla kuingia ukungu. Na wengi kati ya wale wanaoitwa watukutu wa mitandaoni huko Uchina, Tunisia, Vietinamu, au Irani, hawana blogu zao binafsi. Katika nyakati nyingine, wanablogu hukamatwa kwa sababu ya shughuli zao zilizo nje ya mtandao, kuliko yale waliyoyachapishwa kwenye mtandao.</p>
<p>Mkanganyiko huu mara nyingine umefanya iwe vigumu kwa watetezi wa uhuru wa kujieleza wa mtandaoni kuja na mkakati na ushirikiano wa kuwatetea wanablogu na wanaharakati wa mtandaoni, lakini haikutokea kuwa ni muhimu zaidi kujaribu.</p>
<p><strong>Tushirikiane</strong></p>
<p>Katika <a href="http://globalvoicesonline.org/">Global Voices</a> tunawashirikisha waandishi, wahariri, na watafsiri, ambao hutufahamisha kuhusu ukiukwaji wa uhuru wa kujieleza na haki za binadamu.  Kwa kuanzisha <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/">Threatened Voices</a> tunakusudia <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/submit">kufungua mchakato wa kutolea taarifa</a> hata kwa mtu mwingine zaidi aliye na taarifa fulani.</p>
<p>Tunatoa wito kwa wale wote ambao rafiki, ndugu, wenzao, au wapiganaji wenzao wametishwa kwa namna moja au nyingine ili kusaidia <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/submit">kutengeneza</a> na kutoa taarifa mpya kuhusu wale waliopotea au waliokamatwa, ili kwamba tutafute vyanzo zaidi ili kuthibitisha na kuunganisha na kampeni za mtandaoni zinazolenga kuhakikisha wanaachiwa huru.</p>
<p>Katika mchakato, tunataraji kujifunza zaidi kuhusu ni lini, wapi na kwa kiasi gani wanablogu wanatendewa vibaya katika nchi mbalimbali, ili tuweze kuwashirikisha taarifa hizi waandishi wa habari, watafiti, na wanaharakati, na kujaribu kupigania uwepo wa Intaneti ambamo kila mmoja anaweza kutumia uhuru wake wa kujieleza, na mahali ambapo wanablogu walio magerezani hawasahauliwi.</p>
<p><strong>Saidia kueneza neno. Twiti, blogu na toa taarifa mpya kwenye facebook kuhusu <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/">Sauti Zinazotishwa</a>! </strong></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kutambulisha-sauti-zinazotishwa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title></title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/344/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/344/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 04 Oct 2009 05:00:10 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bahrain]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[TYPE]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[WORLD]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=344</guid>
		<description><![CDATA[ &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Kutoka Bahrain, Redbelt, anatabiri mwisho wa kublogu.. kama tunavyojua.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em> &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/03/bahrain-the-end-of-blogging/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Kutoka Bahrain, <em><a href="http://theredbelt.com/2009/09/end-of-blogging.html">Redbelt</a></em>, anatabiri mwisho wa kublogu.. kama tunavyojua.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/344/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mexico: Simulizi za Siri Kwenye Twita</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/mexico-simulizi-za-siri-kwenye-twita/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/mexico-simulizi-za-siri-kwenye-twita/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 25 Aug 2009 12:59:31 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Mexico]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Spanish]]></category>
		<category><![CDATA[TYPE]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=306</guid>
		<description><![CDATA[Rafa Saavedra ni mtaalamu wa utamaduni wa chini chini kutoka mji wa Tijuana, Maxico. Katika mahojiano, anaelezea kila kitu kinachohusu mradi wake mmoja wa hivi karibuni unaojumuisha Twita na utoboaji wa siri.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/issa-villarreal/">Issa Villarreal</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/08/11/mexico-telling-secrets-on-twitter/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/08/rafa-262x300.jpg" title="rafa saavedra" class="alignright" width="262" height="300" /><br />
Rafa Saavedra, muandishi na <em>mtaalamu</em> wa utamaduni wa chini chini kutoka mji wa mpakani wa Tijuana, nchini Maxico, amegeuza kila moja ya zana zake ya uanahabari wa umeme. Kwa upande upande mmoja, anachapisha hadithi fupi fupi na miradi katika blogu yake <em><a href="http://crossfadernetwork.wordpress.com/">Crossfader Network [es]</a></em> (pamoja na vibadiliko vyake); na kwa upande mwingine, ni mtumiaji wa twita anayeshindwa kujizuia <a href="http://www.twitter.com/rafadro">@rafadro</a>, ameichukulia twita kama chanzo cha ubunifu. Mradi wake wa kiuandishi, “soweird”, unachanganya utunzi mfupi-mfupi, siri na jumbe za twita.</p>
<p>“<em>Mtandao wa Crossfader</em> ndio nyumbani kwangu, sehemu ambayo ninakusanya mawazo yangu, na kufikiria dunia njema zaidi na kuyagawa yale ninayoyafanya”, anaeleza Rafa kwenye mahojiano ya barua pepe, “Twit ani nyumba yangu ya ukapera: sherehe isiyo na mwisho na marafiki pamoja na wafuasi, chanzo cha (karibu) habari zote za mwanzo, maabara ya ubunifu iliyojaa makorokoro, kejeli pamoja na dhati kwa alama 140”.</p>
<p>Mwezi Julai mwaka huu a<a href="http://twitter.com/rafadro/status/2212608608">liwataka wafuasi zaidi ya 200 wa twita</a> kuchangia siri zao kubwa (au hata siri ndogo, kama alivyokiri muda mchache baadaye) ili kutengeneza utunzi unaosimuliwa na sauti mbalimbali. Baada ya kupokea siri 40 kwa kupitia Twita alikuja na kazi ya <a href="http://crossfadernetwork.wordpress.com/2009/07/26/nuevo-relato-soweird/">&#8220;Soweird&#8221;</a>, ambamo utunzi na ukweli ulieleza matukio 22 ya ngono, aibu na jinai. <a href="http://crossfadernetwork.wordpress.com/2009/07/26/nuevo-relato-soweird/">Hadithi iliyotokana (na maradi huu) inapatikana kupitia blogu yake katika lugha za Kihispania na Kiingereza</a>, imepangwa kuchapishwa katika jarida la kiuandishi huko Mexico <a href="http://elperro.com.mx/">El Perro [es]</a>.</p>
<p>Katika sehemu moja ya “Soweird” inayotilia maanani masuala ya familia, tumekutana na siri hii:</p>
<blockquote><p>11. Mauritz alimuhujumu mpenzi wake wa kike na kutembea na mpenzi wa kike wa rafiki yake mkuu. Baada ya msichana huyo kutengana na rafiki yake mkuu, aliolewa na kaka yake Mauritz. Na hivi sasa (Mauritz) anashindwa kumfafanulia mpezni wake wa kike ni kwa nini hawawezi kuhudhuria shughuli za kifamilia bila ya kujawa na hofu ya kuzua zahama ya kiwango cha kibiblia.</p></blockquote>
<p>Katika sehemu ya jinai, tunakutana na siri hii nyingine:</p>
<blockquote><p>17. Elwin alianza kutumia hundi ambazo baba yake alimtumia ili kulipia gharama za masomo kwenye chuo kikuu binafsi ambacho alikuwa ahudhurii kununulia vitabu vya vikatuni. Kisha, alichukua na kutumia kiasi kikubwa cha fedha kazini kwake; na kudai kuwa aliporwa. Kuna wakati alihitaji kufanya shughuli ya haraka katika ofisi ya manispaa na aliiomba kampuni yake kiwango kikubwa zaidi ili kumuhonga afisa aliyekuwa zamu (na kutumia nusu ya kiwango kile kwenye pombe).</p></blockquote>
<p>Mtazamo wa Saadvera kuhusu huduma hii ya kuandika blogu fupi-fupi unafika mbali zaidi ya kuandika vitu visivyo na maana: Katika twita mara nyingi watu hukiri vitu vya ajabu, visivyoaminika na vya aibu. Kuna hata anwani ya kukiri <a href="http://twitter.com/search?q=%23yoconfieso">#yoconfieso</a> (ninakiri). Kwa hivyo badala ya kunakili siri kutoka kwenye mafaili, niliamua kwamba ingekuwa ni jambo la kuvutia kufanya na siri za mtu mwingine. Nilitaka kuona ni kwa kiwango gani wanaweza kuthubutu, na ni kwa kiwango gani wanatofautiana na sura ambayo wanawaonyesha wafuasi wao kwenye twita. Kuchungulia kwa mwandishi 2.0.”</p>
<p>Japokuwa hawezi kufichua majina halisi ya wafuasi wake, Saadvera aliwaweka katika makundi watumiaji waliojiunga naye katika mradi: “Kuna watu wachache wan chi za nje, kundi la umri wao ni kati ya miaka 19-40. kama inavyosomeka kwenye maandishi, kuna sehemu nane ambazo zinazigawa siri (Ngono, Aibu, Wapenzi wa zamani, Familia, Jinai, starehe, vishawishi na marafiki wa zamani). Siri za watumiaji wa twita zinahusiana zaidi na familia, ngono, aibu na vishawishi. Kuna siri chache za kustusha.”</p>
<p>“Soweird” siyo mradi wa kwanza unaunganisha twita na fasihi ambao Saadvera ameufanya. Mwaka 2007, alikuwa kiongozi wa mradi wa ushirikiano Microtxt, ambao ulikusanya hadithi fupi-fupi 238 kwa kutumia jina la <a href="http://twitter.com/microtxts">@microtxt</a>, ambao ulichapiswa (kama fasihi teule) kwenye majarida ya Ki-Mexico <a href="http://www.revistareplicante.com/">Replicante [es]</a> na Balbuceo. ”Niliwaalika marafiki ambao ni waandishi, wanahabari, wanafunzi wa mawasiliano na watu ambao nilifikiri wangevutiwa katika utengenezaji wa maandiko mafupi-mafupi na ule uandishi wa watu wanaoficha majina yao. Kanuni ya msingi katika warsha hii ilikuwa ‘uandishi ni ushirika.’ Mwanzoni hawakuelewa matumizi ya twita aidha utaratibu wa uandishi na namna ya kuandika bila kutaja jina. Baadaye tulifikia washiriki 100”, alisema katika mahojiano. </p>
<p>“Hivi sasa siwezi kuyaelewa maisha yangu bila intaneti, bila ya mitandao ya kijamii, bila ya kila kitu kinachotokana na hayo mawili”, alieleza, “lakini katika wakati huo huo, ninaweza kuizima tarakilishi yang una kuishi maisha yangu bila hofu yoyote. Maisha ya kwenye mtandao wa intaneti, uanahabari wa umeme na matumizi pia ni mipaka ambayo tunaweza kuivuka kukiwa au pasipokuwa na vizuizi. Kitu kama hicho hutokea katika maisha yangu hapa Tijuana&#8221;.</p>
<p>Saadvera alieleza ‘ukweli” anaomuhusu yeye kwa herufi 140 (au pungufu):</p>
<blockquote><p>“Sijawahi kutaka kuwa mtu ambaye si mimi; hata hivyo, huwa ninabadilika kila wakati kiasi kwamba wakati mwingine huwa nashindwa kujitambua: naam, ninajipinga”. </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/mexico-simulizi-za-siri-kwenye-twita/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Afrika: Obama Atumia Nyenzo Mpya za Habari Kuzungumza na Waafrika</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/afrika-obama-atumia-nyenzo-mpya-za-habari-kuzungumza-na-waafrika/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/afrika-obama-atumia-nyenzo-mpya-za-habari-kuzungumza-na-waafrika/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Jul 2009 13:06:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Ghana]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Kenya]]></category>
		<category><![CDATA[Nigeria]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[South Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=238</guid>
		<description><![CDATA[“Umeshawahi kutaka kumuuliza kijana wetu wa Nyangoma maswali yoyote? Kwa maneno mengine, je ungependa Rais wa Marekani, Barack Obama ajibu maswali yako?,” ndivyo inavyoanza makala kwenye blogu ya Hot Secrets inayohusu matumizi ya Obama ya zana mpya za habari ili kukutana na kuongea na Waafrika wa kawaida.  ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/07/10/africa-obama-uses-new-media-to-talk-to-africans/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>“Umeshawahi kutaka kumuuliza kijana wetu wa Nyangoma maswali yoyote? Kwa maneno mengine, je ungependa Rais wa Marekani, Barack Obama ajibu maswali yako?,” <a href="http://hotsecretz.blogspot.com/2009/07/sms-son-of-kogelo-direct.html">ndivyo inavyoanza makala kwenye blogu ya Hot Secrets</a> inayohusu matumizi ya Obama ya zana mpya za habari ili kukutana na kuongea na Waafrika wa kawaida.  </p>
<p>Barack Obama anazuru <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Ghana">Ghana</a> tarehe 10 mpaka 11 Julai. Hii itakuwa ni ziara yake ya kwanza ya kihistoria kwenye nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na atatumia nyenzo kama Twita, Facebook na Ujumbe mfupi wa Simu za kiganjani (SMS) kuzungumza moja kwa moja kwa moja na Waafrika. </p>
<p>Erik Hersman anayeblogu kwenye <a href="http://whiteafrican.com/">blogu ya White African</a>, <a href="http://whiteafrican.com/2009/07/02/obamas-new-media-strategies-for-ghana/">anajadili majukwaa-nyenzo ya habari</a> ambayo Obama anakusudia kuyatumia ili kuwafikia Waafrika zaidi ya wale wa Ghana. Erik alifanya kazi na ikulu ya Marekani katika kuandaa mikakati ya nyenzo mpya za habari kwa ajili ya Ghana na Afrika. Anaandika: </p>
<blockquote><p>Redio bado ni nia ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika, na Ghana ina sekta ya redio iliyo hai na yenye kushirikisha jamii zilizo vitongojini na jamii ya kitaifa.<br />
Kama kila mmoja anavyojua, usambaaji wa simu za kiganjani umekua kwa kasi ya mlipuko barani Afrika, hii inamaanisha kwamba Ujumbe mfupi wa Simu (SMS) ni njia ya kidemokrasia ya kupata mrejesho kutoka kwa watu wa kila hali nchini. (jambo la kuchekesha ni kuwa huduma hii haipatikani kwa wakazi waaoishi Marekani – mengine juu ya suala hili yapo chini)<br />
Mwisho, hakuna mtandao wa kijamii ulioazaliwa nchini Ghana, na kama ilivyo kwa nchi nyingine kote Afrika, Facebook imeweza kusambaa kwa kiwango kizuri. Nchini Ghana, watumiaji ni zaidi 100,000, kwa hiyo inaleta maana sana kwa timu inayoshughulikia nyenzo za habari kuwafikia watu bila kuzisambaza nguvu zao kwenye huduma nyingi nyingine.  Kuwa na huduma ya Twita kama nyenzo ya akiba ni jambo linalotarajiwa, kwa sababu kutakuwa na matumizi huko vile vile.  </p></blockquote>
<p><a href="http://whiteafrican.com/2009/07/02/obamas-new-media-strategies-for-ghana/">Na anatundika </a>habari za kina kutoka Ikulu ya Marekani:</p>
<blockquote><p>SMS. Tunazindua jukwaa la SMS ili kuwaruhusu wananchi kutuma maswali, maoni na maneno ya ukaribisho (Kwa Kiingereza ama Kifaransa).  Kwa kutumia vifupisho vya tarakimu vya mahali husika kwa huduma ya  SMS nchini Ghana (1731) , Nigeria (32969) , Afrika Kusini (31958) na Kenya (5683), vile vile kutumia tarakimu ndefu kwa ajili ya wengine wote duniani *, Waafrika na raia ulimwenguni kote watahamasika kumwandikia Rais ujumbe mfupi wa maneno. Washiriki wa SMS wataweza pia kuomba kupatiwa dondoo za hotuba kwa Kiingereza na Kifaransa. Nambari zitakazotumika kwa ajili ya kuandikisha simu za mkononi kwa Afrika ni: 61418601934 na 45609910343.</p>
<p>Redio. Hotuba ya Rais itarushwa moja kwa moja kupitia vituo vya redio vya kitaifa na vile vya kanda wakati wa hotuba. Baada ya hotuba, jumbe zote zilizorekodiwa majibu ya Rais kwa jumbe zote fupi (SMS) zilizopokelewa zitapatikana katika vituo vya redio na wavuti. Rais anatarajia kujibu maswali anuai na maoni kwa mpangilio wa mada na eneo. Sauti zilizorekodiwa pia zitapatikana kwa ajili ya matumizi ya kila mtu atakayezihitaji kupitia wavuti ya Ikulu ya Marekani na teknolojia ya iTunes.<br />
Video. Hotuba itarushwa moja kwa moja kwenye www.whitehouse.gov/live. Alama-funguo za video hiyo inapatikana ili uweze kuitumia katika wavuti yoyote.<br />
Mazungumzo ya moja kwa moja kwenye mtandao. Tutawezesha gumzo la mtandaoni linalihusu hotuba kwenye Facebook (itakuwa hapa http://apps.facebook.com/whitehouselive). Ikulu ya Marekani itatengeneza “tukio” la Facebook kutokana na hotuba ambapo washiriki kutoka ulimwengu mzima wanaweza kujibishana. Anuani ya Twita ( #obamaghana) pia itatengenezwa na kutangazwa ili kuboresha maoni juu ya tukio hilo. </p></blockquote>
<p>Watumiaji wa mtandao wanaweza kutuma maswali yao kwenye <a href="http://allafrica.com/feedback/obama-ghana-2009.html">wavuti ya AllAfrica</a>: </p>
<blockquote><p>
Nafasi yako ya kumuuliza Rais Obama kuhusu Afrika:<br />
Unataka kumuuliza nini Rais Obama anapojiandaa kuitembelea Afrika ya Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa mara ya kwanza akiwa kiongozi wa Marekani –akitua Ghana tarehe 10-11 Julai? Andika swali lako hapa, na tutakusanya maombi yenu. Tafadhali, kama ungependa, usiasahau kutaja umri na kazi unayofanya.   </p></blockquote>
<p><a href="http://blog.foreignpolicy.com/posts/2009/07/07/africans_invited_to_text_obama_before_ghana_speech">Kwa mujibu wa Michael Wilkerson</a> anayeandika katika blogu ya Foreign Policy, matumizi ya Obama ya nyenzo mpya za mawasiliano kunaweza kuongeza umaarufu wake duniani:  </p>
<blockquote><p>Kama hapatakuwa na matatizo, udhihirishaji huu wa kupenda kupata mitazamo ya Waafrika huenda utapandisha umaarufu wa Obama duniani, ambao tayari ni kama mara mbili ya ule wa Marekani yenyewe. Katika soko la kitaalii la mjini Accra, fulana za Obama na michoro zinauzwa haraka kutoka kwenye safu na Waghana wanategema kupanda kwa biashara ya utalii baada ya ziara.</p></blockquote>
<p><a href="http://afrigator.com/link/url/?url=http%3A%2F%2Fghanapundit.blogspot.com%2F2009%2F07%2Fafrica-texts-obama-before-visit.html&#038;return_url=http%3A%2F%2Fafrigator.com%2Fhome&#038;blogid=13860&#038;postid=1189397">Mwanablogu Ghana Pundit anaripoti</a> kuwa maelfu ya jumbe za simu za viganjani yametumwa kwa Obama:</p>
<blockquote><p>Rais wa marekani amepokea maelfu ya jumbe za simu za viganjani zinazoihusu Afrika baada ya kuwataka watu kumtumia maswali kabla ya ziara yake nchini Ghana siku ya Ijumaa. </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/afrika-obama-atumia-nyenzo-mpya-za-habari-kuzungumza-na-waafrika/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Dunia Nzima: Lugha 2,500 Zinapotea</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/dunia-nzima-lugha-2500-zinapotea/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/dunia-nzima-lugha-2500-zinapotea/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 28 Feb 2009 12:15:07 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Indigenous]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Maldives]]></category>
		<category><![CDATA[Portugal]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[South Asia]]></category>
		<category><![CDATA[United Kingdom]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=89</guid>
		<description><![CDATA[Ramani shirikishi ya lugha zinazopotea, inayoonyesha lugha 2,500 kati ya 6,000 ambazo ziko hatarini, imezinduliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO). Shirika hilo la kimataifa linawaomba watumiaji wachangie kwa kutuma maoni kwenye mradi huo ambao unawatia mashaka wanablogu wengi wenye nia ya kuhifadhi tamaduni. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/simon-maghakyan/">Simon Maghakyan</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/02/20/worldwide-2500-languages-disappearing/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><a href="http://www.unesco.org/culture/ich/index.php?pg=00206">Ramani shirikishi </a>ya lugha zinazopotea, inayoonyesha lugha 2,500 kati ya 6,000 ambazo ziko hatarini, imezinduliwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO). Shirika hilo la kimataifa linawaomba watumiaji <a href="http://www.unesco.org/culture/ich/">wachangie kwa kutuma maoni </a>kwenye mradi huo ambao unawatia mashaka wanablogu wengi wenye nia ya kuhifadhi tamaduni.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/02/languagesmapun.png" class="aligncenter" width="350" height="201" /></p>
<p>Mkutubu, <a href="http://iglesiadescalza.blogspot.com/2009/02/death-of-language-diversity_20.html"><em>Iglesia Descalza </em></a>anablogu:</p>
<blockquote><p>Nikiwa mmojawapo wa watu wanaopenda lugha, ninasikitishwa ninaposoma habari zinazotoka wakati wa kutolewa kwa Kitabu kipya cha ramani ya lugha zilizo Hatarini kutoweka Duniani cha UNESCO. Kwa mujibu wa kitabu hicho cha ramani, kilichozinduliwa kwenye mkesha wa Siku ya Kimataifa ya Lugha (21 Februari), karibu ya lugha 200 zina wazungumzaji pungufu ya 10 na lugha nyingine 178 zina wazungumzaji kati ya 10 na 50.</p>
<p>Takwimu zinaonyesha kuwa kati ya lugha 6,000 zilizopo sasa, zaidi ya 200 zimetoweka katika vizazi vitatu vilivyopita, 38 ziko hatarini kabisa, 502 ziko hatarini sana, 632 ziko hatarini bila ya shaka na 607 haziko salama. </p>
<p>Wazungumzaji wa mwisho wa lugha wanapofariki, na lugha pia hufariki. Lugha ya Ki-Manx katika kisiwa cha Man ilitoweka mwaka 1974 wakati Ned Maddrell, mzungumzaji pekee wa lugha hiyo alipofariki wakati lugha ya Ki-eyak huko Alaska Marekani, ilikumbana na maangamizi mwaka jana kilipotokea kifo cha Marie Smith Jones.<br />
[…]<br />
Inatubidi tuuenzi uwingi wa kibaiolojia, uwingi wa tamaduni na rangi za watu, pamoja na uwingi wa lugha kwa sababu tunapoteza mambo mengi mno kadiri tunavyozidi kumezwa na jamii moja kubwa nyeupe, inayoongea Kiingereza.</p></blockquote>
<p>Huku lugha zinazopotea nyingi zake ni zile za watu watu wa makabila wanaokumbwa na utandawazi na utaifa wa dola, <a href="http://daniel-moving-out.blogspot.com/2009/02/portuguese-galician.html"><em>Daniel Moving Out</em></a>, blogu ya mwanablogu wa kireno anayeishi uingereza kwa sasa, inasema siyo lugha zote &#8220;zisizo rasmi&#8221; ambazo zinakufa.</p>
<blockquote><p>[…]</p>
<p>Lugha ya Ki-Galisia inasikika kama vile ni mchanganyiko wa Kihispania na Kireno, kana kwamba ni lugha iliyotokana na Kireno na kuboreshwa na misamiati na lafudhi za Kihispania. Lugha hiyo asili yake ni Ki-Galisia na Kireno cha zama za kale, na ilikuwa ikizungumzwa katika jimbo lote la Portucale […]</p>
<p>Wiki hii, kitabu cha ramani za lugha cha UNESCO kilitolewa, na kudai kwamba Ki-Galisia ni moja ya lugha zenye nguvu ambazo si lugha kuu katika nchi yoyote. Inalindwa na Ki-Kastilia (Kihispania cha kawaida) kutokana na kuwa karibu na Ureno kijiografia.</p>
<p>[…]</p></blockquote>
<p>Blogu hiyo inaandika muhtasari wa takwimu mbaya zaidi:</p>
<blockquote><p>[…]</p>
<p>Lugha 199 zina wazungumzaji wa asili pungufu ya kumi na wawili. Katika Indonesia, wazungumzaji 4 waliobakia wa Ki-lengilu wanaongea miongoni mwao [peke yao]; Ki-Karaim nchini Ukraine kinatunzwa na watu 6 tu.  Zaidi ya lugha 200 nyingine zimetoweka katika vizazi 3 vilivyopita. Ki-Manx, kutoka Kisiwa cha Man, hapa uingereza kilitokomea na mzungumzaji wake pekee mwaka 1974.</p></blockquote>
<p>Lakini si kila mmoja anayejali kupotea kwa lugha. Akitoa maoni kwenye blogu ya <a href="http://blog.ted.com/2009/02/unescos_latest.php"><em>TED blog</em></a>, Magnus Lindkvist anasema:</p>
<blockquote><p>[…] kwa nini tunaendelea kuzikumbatia lugha za kale ambazo hakuna anyetaka kuziongea tena? Vipi kuhusu mamia ya lugha mpya za &#8216;Ki-programu&#39; (agh. kwenye tarakilishi) ambazo zimechepuka katika miongo iliyopita? Au aina mbalimbali za Kiingereza ambazo watu wanazipokea na &#8220;kuzichanganya tena&#8221; na kuzifanya zao wenyewew duniani kote? Hizi ni lugha za kweli na zinaonyesha uwezo zaidi ya Ki-Manx na Ki-Tirahi.</p></blockquote>
<p><a href="http://abdullahwaheedsblog.blogspot.com/2009/02/dhivehi-and-international-mother.html"><em>Abdullah Waheed</em></a>, mzungumzaji asilia wa Ki-Dhivehi - lugha &#8220;rasmi&#8221; ambayo haina wazungumzaji wengi visiwani Maldives - anafafanua katika mfano mmoja ni kwa nini uhifadhi wa lugha ni muhimu:</p>
<blockquote><p>[…]</p>
<p>Lugha ya Ki-Dhivehi ni ya muhimu sana kwa utambuzi wa watu wa Maldive kama watu na pia kama nchi, kwa sababu hilo ndilo jambo pekee tunaloshiriki wote na ambalo ni wengine wachache tu wanalo. Ni moja mkakati wa muhumi tunapoelekea kwenye maendeleo endelevu na uratibu muwafaka wa mambo yetu.</p>
<p>Mbali ya kuwa ni kitengo kilichotengwa kwa ajili ya waandishi peke yake, Ki-Dhiveli kipo katikati ya ya maisha yote ya kijamii, kiuchumi na kitamaduni. Ki-Dhiveli kinatuhusu sote. Kinatuhusu pale tunapotaka kutangaza uwingi wa tamaduni, na kupigana na ujinga, na kinahusu kiwango cha elimu, pamoja na ufundishaji katika miaka ya mwanzo ya elimu. Kinahusu katika mapambano kwa ajili ya ujumuishaji wa jamii , kwa ajili ya ubunifu, maendeleo ya kiuchumi na kulinda ufahamu wa watu wa makabila.</p>
<p>[…] </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/02/dunia-nzima-lugha-2500-zinapotea/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Palestina: Mawasiliano na Gaza</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/01/palestina-mawasiliano-na-gaza/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/01/palestina-mawasiliano-na-gaza/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 08 Jan 2009 13:01:16 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bahrain]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Humanitarian]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=43</guid>
		<description><![CDATA[Katika mazingira ya kawaida bila kiwango kikubwa cha wanaojua kusoma,  usambaaji wa intaneti husimama kati ya asilimia 13 mpka asilimia 15 (Gaza na Ukingo wa Magharibi kwa pamoja). Kutokana na mashambulizi yanayoendelea huko huko Gaza, uwezo wa kutumia intaneti umepungua sana. Japokuwa kuna idadi ndogo ya <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/01/04/palestine-the-people-of-gaza-trapped-traumatized-terrorized/">wanablogu wanaoandika moja kwa moja  kutokea Gaza</a>, wakazi wengine wengi wanatumia ujumbe wa maandishi wa simu za mkononi pamoja na simu nje ya nchi katika matumaini kwamba ushahidi wao utapata sehemu ya kuelezwa.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jillian-york/">Jillian York</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/01/06/palestine-communicating-with-gaza/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Katika mazingira ya kawaida bila kiwango kikubwa cha wanaojua kusoma,  usambaaji wa intaneti husimama kati ya asilimia 13 mpka asilimia 15 (Gaza na Ukingo wa Magharibi kwa pamoja). Kutokana na mashambulizi yanayoendelea huko huko Gaza, uwezo wa kutumia intaneti umepungua sana. Japokuwa kuna idadi ndogo ya <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/01/04/palestine-the-people-of-gaza-trapped-traumatized-terrorized/">wanablogu wanaoandika moja kwa moja  kutokea Gaza</a>, wakazi wengine wengi wanatumia ujumbe wa maandishi wa simu za mkononi pamoja na simu nje ya nchi katika matumaini kwamba ushahidi wao utapata sehemu ya kuelezwa.</p>
<p>Mohammad wa <em>KABOBfest</em>, maybe anaishi Ukingo wa Magharibi, amekuwa akiripoti kuhusu Gaza kwa siku kadhaa sasa. Katika ujumbe wake wa kwanza wa tarehe 29 Desemba, <a href="http://www.kabobfest.com/2008/12/gaza-raising-us-up-from-terror.html">anatuambia</a>:</p>
<blockquote><p>Nilitaka kuwapigia simu wajomba zangu ili kuwajulia hali wao na familia zao, sikuweza kwa siku nzima. Nilikuwa nahofu sana kujua hali waliyokuwamo. Lakini nilipopiga simu,nilipata mshangao mzuri.</p>
<p>Mjomba wangu Jasim aliniambia mambo yalikuwa mazuri  zaidi leo, japo kulikuwa na hofu lakini watu wameanza kupata ahueni. Tumeweza kuhimili mshtuko wa shambulio la kwanza, alisema, na hiyo imetusaidia kustahimili hii leo. Alisema anga imekuwa kimya kwa muda wa saa moja na nusu hivi huko Khan Younis, lakini meli za kivita zilikuwa zinaendelea kushambulia sehemu za mwambao.Sauti yake likuwa imara, kama vile ilivyokuwa wakati wowote kabla ya mauaji kuanza, na aliniambia nisihofu sana. Hawakuwa na umeme kama kawaida, nikamueleza juu ya maandamano na ghasia zinazotokea Ukingo wa Magharibi  na mvua za kuungwa mkono zinazomwagika duniani kote. Nilimwambia kuwa hakuna aliyewasahau, na aliniasa niendelee kuwaswalia. Wanawe wadogo walikuwa bado wamelala, lakini binti zake, Haneen na Yaqeen walikuwa bado wapo macho. Nilimuomba awaambie kwamba bado wako mioyoni mwetu.</p>
<p>Halafu nikampigia simu mjomba wangu Mahmood. Jana aliniambia kuwa anasubiri kifo. Waisraeli walimpigia simu na kumwambia kuwa wangeipiga mabomu nyumba yake katika dakika chache. Alituacha sote tukiogopa, lakini leo alituambia kuwa kumbe Waisraeli waliwapigia simu za namna hiyo kwenye makumi ya maelfu ya nyumba. Ni mbinu ya utesi na ukatili, iliyoundwa ili kuwagaidi makumi ya mjaelfu ya raia wakiwa majumbani mwao.</p></blockquote>
<p>Lakini matumaini haya mara yalitoweka. Mnamo tarehe 3, Januari, Mohammed <a href="http://www.kabobfest.com/2009/01/israel-begins-its-invasion-of-gaza.html">aliripoti tena</a>:</p>
<blockquote><p>Nimeweza kumfikia mjomba wangu Mahmood kwa mara nyingine tena mjini Gaza. Wakati wote tuliokuwa tukiongea kwenye simu, mlipukjo ulisikika kila baada sekunde kama 20 hivi. Katika baridi kali ya usiku, vitisho vinawafunika watu wa Gaza, na hasa ndani ya jiji la Gaza. Milio ya bunduki na milipuko inaiwamba mandhari ya anga jeusi yenye miungurumo ya ndege za kijeshi zisizoonekana na pia helikopta za kijeshi. Hakuna anayejua ni nini kinachopigwa. Mjomba wangu nananiambia kumekuwa na milipuko katika sehemu zote zinazowazunguka, Karibu na mbali, kutoka kila upande, hata idhaa ya redio yao, ambayo imekuwa ikifanya kazi nzuri ya kuwaeleza ni nini kinachoendelea, haiwezi tena kueleza kwa hakika ni nini kinacholengwa na kupigwa. Hakuna anyejua kama mashumbulizi hayo ya anga yazilenga nyumba za watu, majengo, miskiti au sehemu ambazo zilishashambuliwa awali, kwa hiyo hakuna nayejua kama mbinu zimebadilika au la. Katika vita, kwa raia kama vile ilivyo kwa wanajeshi, hakuna linalotisha zaidi kama kutokujua.</p></blockquote>
<p>Katika ujumbe wake wa tatu, <a href="http://www.kabobfest.com/2009/01/gaza-24-hours-into-ground-invasion.html">anasimulia kwa undani </a>mazungumzo ya simu na wanafamlia wake walioko Gaza, akilinganisha hali ilivyo kutokea jijini Gaza mpaka Khan Younis. Anaielezea simu moja mojawapo akiongea na mke wa mjomba wake:</p>
<blockquote><p>Niliongea tena na Areej. Amepoa kwa kiasi Fulani, lakini alikuwa bado na hofu. Nilimuuliza kuhusu watoto. Akasema, mtoto, Yazeed, alikuwa amelala pembeni yake. Dina pia alikuwa amelala, na mama yao amewaambia Nada na Haya kwenda chumbani kwao ambako panaweza kuwa salama zaidi. Nilimuuliza ikiwa wapata joto ikiwa madirisha yao yako wazi wakati wote yakipitisha upepo, akaniambia wakati wakilala wanajifunika na na tabaka nyingi za mablanketi kadiri inavyowezekana, lakini wakati wa mchana na jioni baridi si kali sana. Nilmuuliza kuhusu Adham, mwanawe mwenye umri wa miaka 11. Aliniambia kuwa mwanawe amewasha mishumaa miwili na amesambaza wanasesere wake anajaribu kucheza, pamoja na baridi na hofu na makombora na vifo na athari. Alikuwa na vifaa vya kuchezea vya Lego, na magari pamoja na sanamu za wanajeshi. Sikutaka kumuuliza alikuwa anacheza mchezo gani na hao sanamu wanajeshi. Sikutaka kujua.</p></blockquote>
<p>Mwandishi wa Global Voices Ayesha Saldanha wa blogu ya <em>Bint Battuta wa Bahrain</em> pia amekuwa akipandisha makala kutoka kwa marafiki zake walioko Gaza. <a href="http://battutabahrain.blogspot.com/2009/01/january-5.html">Ujumbe wa leo wa SMS </a>kutoka kwa rafiki yake Hasan una mstari wa mwisho unaoleza wazi: </p>
<blockquote><p>12.30 asubuhi: Si simu ya ndani wala ya umeme vinavyofanya kazi. Ndio kwanza nimeamka na kuuona ujumbe wako wa simu ya mkononi. Nilisikia kelele kubwa za vifaru vikishambulia huko nje. Pamoja na helikoptas za kijeshi za Apache na drone. Wanaweza wakawa karibu hatujui.</p>
<p>2.20 asubuhi: &#8220;Bado havijafika karibu. Natumaini. Kama umeme ukiendelea hivi kama gaza hatutaweza. Najaribu kumpigia simu au kumuandikia ujumbe wa simu ya mkononi dada yangu bila mafanikio&#8221;</p>
<p>7.30 mchana: &#8220;mke wangu kaniuliza kwa nini nakunja sura. Nipe chochote kitakachoweza kunitia matumaini na nitatabasamu nilimjibu. Leo orodha ya mahitaji imezidi sana. Dawa, chakula na vifaa vya usafi. Niliamua kwenda mjini japokuwa walikwisha shambulia soko moja mjini Gaza. Waliua watu 5 na kujeruhi kundi la watu. Nilipoingia tu sokoni ndege ya F-16 ikazipiga nyumba 2 karibu kabisa na soko. Kila mtu alifikiri kama nilivyofikiri mimi. Kama sio soko basi itakuwa Msikiti. Nikapatwa na kihoro. Nikanunua nusu tu ya mahitaji yetu na kuharakia nyumbani. Wakati niko njiani wakapiga nyumba nyingine karibu na nyumba yangu. Vifaru vilipiga sana jana usiku mapaka tukawa tunaogopa.</p>
<p>12.30 jioni: &#8221; kama mambo yataendelea kuwa mabaya nitaitia kadi yangu ya simu kwenye simu ya mke wangu. Ndege za F-16 zinapiga hivi sasa. Na mlio wa gari ya wagonjwa ni mkubwa. Kila siku ni mbaya zaidi kuliko siku iliyopita&#8221;</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/01/palestina-mawasiliano-na-gaza/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Marekani ya Kusini:Taarifa,Twita kwa Waandishi wa Habari Yapata Umaarufu</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/marekani-ya-kusinitaarifatwita-kwa-waandishi-wa-habari-yapata-umaarufu/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/marekani-ya-kusinitaarifatwita-kwa-waandishi-wa-habari-yapata-umaarufu/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 14 Oct 2008 12:04:52 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Egidio Ndabagoye</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Spanish]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=29</guid>
		<description><![CDATA["Reporting On" ni zana mpya ya kublogu kwa kifupi na inachukua umaarufu mkubwa katika kundi la wanahabari wa Marekani ya Kusini (Walatino) ambao wanatumia zana hii ili kupashana habari na wengine kuhusu yale wanayoyaandika. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jorge-gobbi/">Jorge Gobbi</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/egidio-ndabagoye/'>Egidio Ndabagoye</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2008/10/10/latin-america-reporting-on-twitter-for-journalists-gets-popular/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mafanikio ya huduma ya <a href="http://twitter.com/">twitter</a> (twita)yameweza kuleta mvuto mkubwa katika tovuti nyingi za habari,zinazotaka kuiga kanuni hii:<strong>taarifa fupi fupi, kutoka katika kila aina ya zana, kwa ajili ya kadamnasi fulani teule</strong>.Tovuti moja ambayo inafuata mfano huu ni <a href="http://reportingon.com/"><strong>Reporting on</strong></a>, <strong>aina ya Twita kwa wanahabari</strong>,ambayo umekuwa ikifanya  kazi katika majaribio tangu mwaka jana. Kama ukijisajili utaona ni jinsi gani tovuti inavyofanikiwa miongoni mwa waandishi wa habari wa Kilatino.</p>
<p>Muundo au utaratibu wake ni sawa na ule wa Twita; tunaweza kuandika herufi zisizozidi 140, na watumiaji wengi wanautumia utaratibu huo ipasavyo kwa kuandika habari katika mtindo wa vichwa vya habari. Kila kipande cha habari kinaweza kuunganishwa katika maneno mengi. Katika upande kushoto tunaweza kupata viunganisho maarufu.Tunaweza kutoa maoni katika kila bandiko pia kujibu maoni hayo,lakini hatuwezi kumfuatilia mtumiaji au kuchuja habari isipokuwa katika viunganisho.</p>
<p>Pablo Mancini <a href="http://www.amphibia.com.ar/hablamos-con-ryan-sholin-de-reportingon/">alifanya mahojiano na Ryan Sholin </a>ambaye yupo nyuma ya mradi huu, anabainisha kuwa Reporting On &#8220;ni mradi usiolenga katika faida unaofadhiliwa na <a href="http://www.newschallenge.org/">Knight News Challenge</a> ili kuimarisha habari za ndani, kuunganisha watu ambao huwa hawasemezani vya kutosha na wengine&#8221;.  Anaongeza zaidi kuwa: “pindi tovuti ikianza kufanya kazi na kwa kutumia idadi nzuri ya zana au miundo, nitaufanya msimbo kuwa wa wazi kwa kila mtu na kuwakaribisha waendelezaji na waandishi wa habari kuuimarisha ili waweze kutengeneza matoleo yao ya  tovuti hii. </p>
<p>Pia kuongelea kuhusu Reporting on:<a href="http://blocdeperiodista.com/2008/10/twitter-para-periodistas.html">Block de periodista</a>(kihispania);<a href="http://www.theexplodingnewsroom.com/2008/10/02/a-great-new-tool-for-reporters-reportingon/">The Exploding News room</a>;Random Mumblings; na <a href="http://www.greglinch.com/2008/01/reporting-on-reportingon-concept.html">Linchepen</a> At <a href="http://www.digidave.org/adventures_in_freelancing/2008/05/interview---r-1.html">Digidaye</a> unaweza kupata mahojiano mengine kwa Sholin</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/10/marekani-ya-kusinitaarifatwita-kwa-waandishi-wa-habari-yapata-umaarufu/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Jordan: Ubloga wa Video wa Malkia Rania</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/09/jordan-ubloga-wa-video-wa-malkia-rania/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/09/jordan-ubloga-wa-video-wa-malkia-rania/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 12 Sep 2008 13:15:53 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Ideas]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Jordan]]></category>
		<category><![CDATA[LANGUAGES]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[TOPICS]]></category>
		<category><![CDATA[TYPE]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=18</guid>
		<description><![CDATA[Chombo cha habari cha Blogger Times kinachoendeshwa na mabloga wa Kiarabu, kimemtaja Malkia Rania wa Jordan kuwa bloga maarufu zaidi wa video za kutoka Uarabuni katika chombo cha Video mtandaoni, YouTube, kufuatia mafanikio ya mlolongo wa video za YouTube aliouanzisha kuondoa dhana potofu dhidi ya Waarabu.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/lasto-adri/">Lasto Adri</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2008/09/03/jordan-queen-ranias-video-blogging/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Chombo cha habari cha <a href="http://bloggers-times.blogspot.com/2008/07/blog-post_30.html">Blogger Times </a>kinachoendeshwa na mabloga wa Kiarabu, kimemtaja Malkia Rania wa Jordan kuwa bloga maarufu zaidi wa video za kutoka Uarabuni katika chombo cha Video mtandaoni, YouTube, kufuatia <a href="http://globalvoicesonline.org/2008/04/01/jordan-royal-debut-on-youtube/">mafanikio</a> ya mlolongo wa video za YouTube aliouanzisha kuondoa dhana potofu dhidi ya Waarabu.</p>
<p>Kwa mujibu wa makala hiyo:</p>
<blockquote><p>Malkia Rania wa Jordan kaketi ndani ya ofisi yake kubwa huko Amman, jordan, na kamera tatu kubwa zikimuelekea. Kamera ya kwanza na ya pili zilikuwa kwa ajili ya BBC, wakati kamera ya tatu ilikuwa kwa ajili ya wafanyakazi wa ofisi yake. Kamera hizo tatu zilikuwa zikirekodi mapya katika mlolongo wa programu yake inayorushwa katika mkondo maalum kwenye YouTube, unaojulikana vyema kama Vlog. Hii ni video yake ya 7 tangu alipoanza kutangaza katika YouTube, mwezi wa Machi uliopita, ambamo anazungumza kwa Kiingereza akiwaomba watazamaji kujadili dhana ambazo wamezisikia kuhusu dunia ya  Kiarabu, ili kwamba aweze &#8220;kuzipopotoa moja baada ya nyingine.&#8221;</p>
<p>Pengine mke wa Mfalme wa Jordan Abdullah wa Pili, si mtu maarufu pekee ambaye anatumia chombo cha YouTube, ambacho kinaangaliwa na mamilioni ya watu. Kuna wanasiasa na wafalme katika sehemu mbalimbali za dunia ambao wametengeneza tovuti binafsi katika mtandao wa intaneti.</p>
<p>Lakini jambo la kipekee kuhusu Malkia Rania ni kwamba yeye ni Muarabu pekee maarufu anayetumia mtandao wa intaneti kwa ajili ya mazungumzo na ulimwengu wa magharibi ili kutetea mtazamo wa wastani wa Kiislamu.</p>
<p>Malkia Rania ansema kwa utani: &#8220;Mwanangu wangu wa kiume aliye kwenye umri wa balehe ni mkimya ambaye huwa si muongeaji sana kwa asili yake, lakini mtazamo wake juu ya risala niliyotoa ulikuwa &#8220;vyema&#8221;, na kwa hivyo basi mtazamo wa wanaongalia pia unabidi uwe mzuri vilevile&#8221;. Inaonekana kwamba wageni wengi katika YouTube walikubaliana na alivyosema (mwanawe Malkia), kwani takribani watazamaji milioni 2 waliangalia mlolongo huo wa video uliorushwa katika YouTube; ambao ulijumisha pamoja na kanda zake mwenyewe, michango kutoka kwa wanamuziki, wachekeshaji na raia mbalimbali wa Jordan.</p></blockquote>
<p>Makala hiyo inaendelea:</p>
<blockquote><p>Kuonekana kwa Malkia Rania katika mkondo wake wa intaneti, kulimpa fursa ya kukosolewa kutoka kwa mamilioni ya watu. Kama alivyoniambia: &#8220;wakati wazo hili liliponijia kichwani, watu wengine waliniangalia kama vile nimerukwa na akili.&#8221; Akaendelea: &#8220;nadhani kwamba dunia yetu imo katika machafuko hivi sasa, vurugu zimechukua nafasi ya maongezi na hasira zimechukua nafasi ya huruma.&#8221;<br />
&#8220;Natumaini kwamba mkondo huu utakuwa ni mkondo wa mawasiliano na daraja kati ya Mashariki na Magharibi, kwa sababu ninaamini kwamba dunia yetu inahitaji hili.&#8221;</p></blockquote>
<p>Unaweza kumfuatilia Malkia Rania katika <a href="http://www.youtube.com/queenrania">mkondo wake wa video</a>.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2008/09/jordan-ubloga-wa-video-wa-malkia-rania/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
