Habari kuhusu Sayansi kutoka Disemba, 2009
China: Barafu Iliyotengezwa Uchina
Jumapili hii iliyopita tarehe 1 Novemba, Beijing ilishuhudia kuanguka kwa mapema zaidi kwa theluji katika miaka 22 iliyopita. Badiliko hilo la ghafla la hali ya hewa, lililofunika kabisa mji mzima kwa barafu, liliwashangaza wakazi wengi. Lakini vyombo vya habari viliripoti baadaye kwamba uangukaji huo wa barafu ulisababishwa na ofisi ya...
Nyenzo ya Mtandaoni ya Kufuatilia Mabadiliko ya Tabianchi
Kuelekea kwenye Mkutano wa Mabadiliko ya TabiaNchi utakaofanyika Copenhagen (COP15) mwezi Desemba 2009, zifuatazo ni baadhi ya nyenzo za mtandoni za kufuatilia mabadiliko ya Tabia Nchi.