<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; Politics</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/topics/politics/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Urusi: Jinsi Abiria wa &#8220;Nevsky Express&#8221; Walivyoeleza Habari Kupitia Vyombo Vya Habari Vya Kijamii</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/12/urusi-jinsi-abiria-wa-nevsky-express-walivyoeleza-habari-kupitia-vyombo-vya-habari-vya-kijamii/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/12/urusi-jinsi-abiria-wa-nevsky-express-walivyoeleza-habari-kupitia-vyombo-vya-habari-vya-kijamii/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 01 Dec 2009 11:11:27 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Eastern & Central Europe]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Internet & Telecoms]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Russia]]></category>
		<category><![CDATA[Russian]]></category>
		<category><![CDATA[Technology]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=738</guid>
		<description><![CDATA[Ajali ya treni la "Nevsky Express" ilitokea mbali na makazi ya watu. Ilichukua masaa kadhaa kwa wanahabari kufika kwenye eneo. Na hapo ndio picha na video za kwanza zilipoanza kuonekana kila mahali. je nini kilichotokea kwenye upashanaji habari wa kiraia ambao uliongoza njia ya kupashana habari wakati wa ajali ya ndege huko Urusi mwaka mmoja uliopita?]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/gregory-asmolov/">Gregory Asmolov</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/29/russia-how-passengers-of-nevsky-express-tell-their-stories-through-social-media/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mamlaka nchini Urusi yanaendelea <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/11/28/russia-at-least-25-people-killed-in-the-neva-express-train-crash/">kuchunguza ajali ya treni la &#8220;Nevsky Express&#8221; </a>[ENG] ambayo ilitokea kati ya Moscow na St Petersburg usiku wa Ijumaa. Kwa mujibu wa maofisa, dhahama hiyo iliyochukua maisha ya angalau abiria 25 ilikuwa ni shambulio la kigaidi. Ajali hiyo imezua maswali mengi. Watu wengi wanauliza ni nini kilichotokea katika masaa ya mwanzo baada ya ajali na ni kwa nini ilichukua muda mrefu kuanza kutoa taarifa za ajali hiyo.</p>
<p>Kwa kuwa dhahama hiyo ilitokea mbali na maeneo yenye makazi ya watu, ilichukua muda mrefu kwa wanahabari kuwasili kwenye eneo la ajali. Na ndipo picha za kwanza na video zilipoanza kuonekana kila mahali. Je nini kilichoyatokea majukwaa ya uanahabari wa kijamii ambayo yalitaarifu vilivyo kuhusu <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/europe/7614951.stm">ajali ya ndege mjini Perm</a> [ENG] mwezi Septemba 2008.</p>
<p>Abira pekee ambaye alitoa taarifa mara moja kuhusu ajali ya “Nevsky Express” alikuwa mtumiaji wa Twita <a href="http://twitter.com/lazy_frog">Lazy Frog</a>. Aliandika mara 12 kuhusu ajali hiyo kabla ya kuwasili nyumbani. Haya ndio aliyoandika: </p>
<blockquote><p>Nipo hai. Lakini nitaeleza kuhusu (ajali) baadaye. Kama mtu ataeleza chochote kwenye habari, tafadhali niandikie. Hawatuambii kila kitu hapa.</p></blockquote>
<p>Baadaye, abiria wengi kutoka mabehewa ya kwanza – ni mabehewa ya mwisho ambayo yaliteguliwa kutoka kwenye reli –walisema kuwa kwa saa zima baada ya ajali hawakufahamu chochote. <a href="http://twitter.com/lazy_frog">Lazy frog</a> alituma habari mpya za nyongeza: </p>
<blockquote><p>Tumepanda treni jingine. Nilifanya kila nilichoweza.</p>
<p>Hivi sasa tupo SAPSAN (treni mpya ambyo iliwachukua abiria kwenda St. Petersburg – G.A). Natamani ingekuwa inakwenda polepole.</p>
<p>Wametangaza sasa hivi kuwa watu walitayarishwa rasmi wangetulaki kwenye kituo cha treni.</p></blockquote>
<p>Siku iliyofuata baada ya dhahama, <a href="http://twitter.com/lazy_frog">Lazy Frog </a>aliandika muhtasari wa uzoefu wake:</p>
<blockquote><p>Nilizihisi hisia za kwanza kuhusu kilichotokea wakati tulipofika karibu na Piter (St. Petersburg G.A). Sikuwa na wasiwasi nilipokuwa katika eneo la ajali. Nilikuwa na hofu kidogo na viatu vyangu – kulikuwa na tope kila mahali na mawe yenye ncha.</p></blockquote>
<p>Jumamosi habari nyingi zilijitokeza wakati abiria walipoanza kublogu kuhusu yaliyowakuta. Makala ya blogu maarufu zaidi inayohusiana na mada hii iliandikwa na mtumiaji wa LJ <em>paltus_mk</em> [RUS] ambaye alikuwemo ndani ya mabehewa ya mwisho yaliharibiwa vibaya na mlipuko. <a href="http://paltus-nk.livejournal.com/23747.html">Aliandika </a>[RUS]:</p>
<blockquote><p>Yote yanatokea ndani ya sekunde 10 wakati unapofahamu ni nini kitakachotokea. Nilikuwa na muda wa kutosha kuutayarisha mwili wangu. Lakini hakuna linaloweza kusaidia dhidi ya kanuni za Newton wakati dazeni za tani za vyuma zinaposimama mara moja wakati zikiwa katika mwendo wa kasi – ni bahati tu… kwa hiyo nilikuwa na bahati tu. Kaka yangu alikuwa na bahati, pia, ukiachilia mbali ukweli kuwa majeraha yake yalikuwa yanatisha kuliko yangu.<br />
[…]</p></blockquote>
<blockquote><p>Kila kitu ambacho kilikwenda mrama hadi kusimama kabisa kulichukua kama sekunde 30 hivi. Ilikuwa giza na kimya. Watu walioumia walianza kulia. Nilikuwa sakafuni, nimekandamizwa na miili mingine. Niliisogeza ile miili. Niliona kuwa nimelowana na damu lakini damu ile haikuwa yangu. Niliona kuwa ni mzima na miguu yangu na mikono vuinafanya kazi. Kichwani nilikuwa na jeraha linalovuja damu. Ilinibidi ninyanyuke na kusubiri kwa muda kiasi kabla ya watu wenye majeraha mado waliposafisha njia ya kutoka.<br />
[…]<br />
Mateso yalikuwepo kila mahali. Tulikuwa tumeketi mwishoni mwa behewa na mikoba yote ilipaa ikituelekea. Watu wengi waliojeruhiwa. Katika dakika chahce baada ya ajali, behewa lilikuwa ni kama fungu la miili, viti na sehemu za treni ambazo zilikuwa zimesambaa sawia kila mahali.</p></blockquote>
<p><em>Paltus_mk </em>anasimulia habari za uokoaji zenye maelezo ya kina kuanzia dakika za mwanzo baada ya ajali, lakini wakati huo huo anaepuka ufafanuzi ambao ungeweza kuwastua wasomaji. Anaandika kuwa abiria walianza kupeana huduma ya kwanza kwa ushujaa bila kuogopa. Anasema haikuwezekana kuhesabu ni wagtu wangapi waliofariki. Waokoaji waliwasili saa moja na nusu baada ya ajali. <em>Paltus_mk</em> na kaka yake hatimaye waliokolewa na kupelekwa kwenye hospitali jirani na baadaye aliwasili mjini St. Petersburg. </p>
<p>Hadithi nyingine ya kunusurika ilichapishwa na mwanablogu pancakyes katika huduma nyingine ya kublogu ya Kirusi Ya.Ru. behewa lake halikuharibiwa na mlipuko. Alichapisha makala yake ya kwanza saa 4:11 za usiku – nusu saa baada ya ajali – pale pale kwenye eneo la ajali.  Aliandika kuwa treni ilisimama kutokana na ajali ya namna fulani, mabehewa machache yaliteguliwa na kwamba angewasili nyumbani kwa uchelevu kuliko ilivyotarajiwa. Karibu saa zima baadaye, aliongeza kuwa kulikuwa na waathirika katika mabehewa mawili ya mwisho. Jumamosi,  <em>pancakyes</em> <a href="http://pancakyes.ya.ru/replies.xml?item_no=30442">alichapisha habari nzima kuhusu ajali</a> [RUS] kama alivyoshudia mwenyewe:</p>
<blockquote><p>Tulihisi mitetemo michache ambayo ilikuwa ikiongezeka nguvu. Vitu vilianza kuanguka kutoka mezani. Haikuwa wazi ni nini kilichotokea. Hapakuwa na matangazo. Kwanza tulidhani kuwa halikuwa jambo lenye uzito. Pengine kuna mtu aliyesimamisha treni kwa makosa. Lakini makondakta wenye sura zenye hofu walianza kukimbia kila mahali wakikusanya magodoro, vitambaa vya mezani na maji. Walitutaka tusiondoke kwenye viti vyetu isipokuwa kama ni madaktari. Tulisikia mambo mabaya kutoka kwenye redio zao. Uvumi ulianza kusambaa. Hatukuamini kuwa mabehewa mawili yalikuwa yametengana na yalikuwa mbali sana. Baadaye tuligundua kuwa ilikuwa kweli.</p>
<p>Tulitoka nje na tulitaka kusaidia. Tulikwenda mpaka behewa la tatu. […] hatukutaka kuwa waduwazi ambao wanaongeza wingi wa watu bila fursa yoyote ya kusaidia. Pia hatukutaka kuona yale ambayo watu waliotoka huko walikwishatueleza.</p></blockquote>
<p>Mara baada ya ajali, majukwaa ya uanahabari wa kijamii yalikuwa sehemu ya kwanza ambayo wanahabari wa Kirusi  walikuwa wakitafuta habari. Mwandishi kutoka Shirika la Habari la RIA-Novosty aliacha maoni kwenye blogu ya <em>pancakyes</em> na kumtaka mwanablogu huyo ampigie simu mara moja. Tatyana Landa (mtumiaji wa LJ mwenye jina la Elada) <a href="http://elada.livejournal.com/220534.html">aliandika kwenye blogu yake</a> [RUS] kuhusu rafiki aliyenusurika ambaye alikuwemo kwenye treni. Mara moja wanahabari wawili waliacha maoni ya kumtaka awasiliane nao. Baadaye Tatyana <a href="http://elada.livejournal.com/220866.html">alichapisha makala ya hasira</a> [RUS] ambamo alisema kuwa mwanahabari kutoka “Komsomolskaya pravda” (gazeti la udaku la Kirusi) alikuwa akijaribu kumpata kwa simu mara kadhaa usiku huo. Makala hiyo iligeukia mahali ambapo watu walianza kujadili kama wanahabari wanaweza kuwatumia wanablogu kama chanzo cha taarifa zinazohusu hii ajali ya treni. Wanahabari pia walijaribu kuwasiliana na mwanablogu ambaye <a href="http://naechst-naechst.livejournal.com/105582.html#comments">aliandika</a> [RUS] kuwa aliamua kutopanda treni la “Nevsky Express” katika dakika ya mwisho.</p>
<p>Baadhi ya wanablogu <a href="http://tema.livejournal.com/509436.html">walieza kughafirika kwao </a>[RUS] na ukweli kuwa ni watu wachache mno kutoka kwenye treni walitumia vyombo vya habari vya kijamii kutoa taarifa za kile kilichokuwa kinatokea., Na, inavyoonekana, kuna fafanuzi kadhaa zinazoelea ni kwa nini  uanahabari wa kijamii haukuchukua nafasi kubwa katika upashaji wa habari za ajali ya “Nevsky express”.</p>
<p>Twita, jukwaa zuri la kublogu moja kwa moja, si maarufu nchini Urusi. Kwa mujibu wa <a href="http://twitter.com/twitRU">twitRU </a>[RUS], kuna watumiaji wa Twita 2,700 tu ambao wanaandika kwa lugha ya Kirusi. Wakati huo huo, majukwaa maarufu ya kublogu nchini Urusi kama vile Livejournal.com au ya.ru yangeweza kutumika ili kublogu moja kwa moja lakini, kama ilivyojadiliwa hapo juu, kuna mifano michache tu ya matumizi hayo.</p>
<p>Ufafanuzi wa pili unahusiana na nafasi ya zana za mkononi na uunganishaji. Zana za mkononi zinaongezeka nchini. Warusi zaidi na zaidi wanaweza kutumia mtandao wa intaneti na zana nyingine za mtandaoni. Tabia hii ina nguvu katika maeneo ya Moscow na St. Petersburg. Lakini ajali ilitokea mbali na maeneo ya mjini ambako, kama mashihidi walivyotaarifu, uwezo wa kupatikana kwa mawasiliano ya simu za mkononi ulikuwa mdogo. Mwanablogu  <em>pancakyes </em><a href="http://pancakyes.ya.ru/replies.xml?item_no=30442&#038;ncrnd=2805">anasimulia</a> tatizo la mawasiliano:</p>
<blockquote><p>
Mawasilian ya simu yalikuwa mabaya sana. Inawezekana kuwa kila mtu alijaribu kupiga simu kwa wakati mmoja na mtandao ulielemewa. Nilianza kupata jumba za maandishi pale tu nilipokuwa kwenye treni la pili (treni ambalo liliwachukua abiria kwenda Saint- Petersburg G.A.). Ningeliweza kutumia mtandao wa intaneti, lakini ilikuwa ni vigumu mno.</p></blockquote>
<p>Hii ni tofauti, ajali ya ndege kule Perm mwaka jana ambayo ilitoa fursa nyingi kwa uanahabari wa kiraia:</p>
<p>1. Ndege ilianguka ndani ya mipaka ya mji ambako watu wengi waliweza kuona ni nini kilichokuwa kinatokea kutokea madirishani. Ajali ya “Nevsky express”, kama ilivyoelezwa awali, ilitokea sehemu za vijijini.</p>
<p>2.Habari zilizoandikwa kwa uanahabari wa kijamii kule Perm zilitokana na maelezo ya walioishuhudia ajali ambao hawakuwamo katika ajali (kwa bahati mbaya, hapakuwa na walionusurika kutoka katika ile ndege). Mashahidi wote wa tukio la “Nevsky Express”  walikuwa ni abiria katika treni. </p>
<p>3. Watu wengi walituma habari mpya juu ya ajali ya ndege kule Perm kwa kutumia tarakilishi za nyumbani. Walionusurika kwenye “Nevsky Express” walitegemea zana za mikononi.</p>
<p>Tofauti hizi zinabainisha kwa nini vyombo vya habari vya kiraia vilikuwa mbele katika ajali ya  ndege na vilikaribia kutokuwepo kwenye tukio la “Nevsky Express.” </p>
<p>Pia inawezekana kudai kuwa urusi bado haijaendeleza utamaduni wa utoaji taarifa kupitia uanahabari wa kiraia. Na ndiyo sababu abiria wawili tu walikuwa na msukumo wakutosha kwenda kwenye mtandao na kujipa kazi ya uanahabari wa kijamii. Na pia inaweza kufafanua upinzani wa abiria na wanablogu kwa wanahabari ambao walikuwa wanatafuta taarifa za ajali kwenye vyombo vya habari vya kijamii. </p>
<p>Inaonekana kana kwamba ulimwengu wa blogu wa Kirusi bado uko mbali na kuwa chanzo kikuuu cha kutangaza habari mpya. Bado unabaki kuwa sehemu ya usambazaji wa habari na mijadala mipana inayohusu nini kilichotokea. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/12/urusi-jinsi-abiria-wa-nevsky-express-walivyoeleza-habari-kupitia-vyombo-vya-habari-vya-kijamii/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Malawi: Rais Ataka Nguvu Zaidi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/malawi-rais-ataka-nguvu-zaidi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/malawi-rais-ataka-nguvu-zaidi/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 25 Nov 2009 10:52:12 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Malawi]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=735</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Rais wa Malawi ataka nguvu zaidi!: &#8220;rais wa Malawi Bingu wa Mutharika, ambaye chama chake kina wabunge wengi katika bunge, anataka kunonesha nguvu zake kabla hajatoka kwenye ulingo wa siasa mwaka 2014.&#8221;
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/24/malawi-president-seeking-more-power/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><a href="http://www.malawipolitics.com/news.php?extend.251">Rais wa Malawi ataka nguvu zaidi!</a>: &#8220;rais wa Malawi Bingu wa Mutharika, ambaye chama chake kina wabunge wengi katika bunge, anataka kunonesha nguvu zake kabla hajatoka kwenye ulingo wa siasa mwaka 2014.&#8221;</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/malawi-rais-ataka-nguvu-zaidi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Ufaransa: Tuzo ya Fasihi Yaja na Masharti</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 19 Nov 2009 06:32:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[France]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[French]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=700</guid>
		<description><![CDATA[Mwanzo wa msimu wa Fasihi ya Kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya Kisenegali na Kifaransa Marie N’Diaye akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya Prix Goncourt. Lakini, N’Diaye na familia yake walikwishahamia mjini Berlin miaka miwili iliyopita, hasa kutokana na siasa za rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy. Mwaka jana, jopo la tuzo hii yenye hadhi walizusha hisia kali pale walipomchagua mwandishi wa Kiafghani Atim Rahimi, kwa kitabu chake cha Kifaransa, Syngué Sabour. Je hii itakuwa ni fursa nyingine ya kusherehekea mchanganyiko wa aina mbalimbali katika jamii inayobadilika ya Kifaransa? Au itakuwa ni wasaa utakaoharibiwa na utete wa tukio?]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/suzanne-lehn/">Suzanne Lehn</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/france-does-prestigious-literary-award-entail-a-duty-of-restraint/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mwanzo wa msimu wa Fasihi ya Kifaransa mwaka huu ulishuhudia mwandishi wa riwaya na michezo ya kuigiza mwenye asili ya Kisenegali na Kifaransa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Marie_NDiaye">Marie N’Diaye</a> akipewa tuzo iliyosuburiwa sana ya <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Goncourt_Prize">Prix Goncourt</a>. Lakini, N’Diaye na familia yake walikwishahamia mjini Berlin miaka miwili iliyopita, hasa kutokana na siasa za rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy. Mwaka jana, jopo la tuzo hii yenye hadhi walizusha hisia kali pale walipomchagua mwandishi wa Kiafghani Atim Rahimi, kwa kitabu chake cha Kifaransa, <em>Syngué Sabour</em>. Je hii itakuwa ni fursa nyingine ya kusherehekea mchanganyiko wa aina mbalimbali katika jamii inayobadilika ya Kifaransa? Au itakuwa ni wasaa utakaoharibiwa na utete wa tukio?</p>
<p>DW-World <a href="http://www.dw-world.de/dw/article/0,,4884146,00.html">anaeleza</a>:</p>
<blockquote><p>Katika mahojiano na gazeti la “Inrockuptibles” kiangazi kilichopita, N’Diaye alisema kuwa aliamua kuondoka Ufaransa na kuhamia Berlin mwaka 2007 ‘kwa kiwango kikubwa kutokana na Sarkozy”</p>
<p>Sakata hilo lilianza baada ya Eric Raoult, mtungasheria na mwanachama wa chama tawala cha Sarkozy, UMP, aliandika barua kwa waziri wa utamaduni wiki iliyopita akishauri kuwa N’Diaye akumbushwe “wajibu wa kujiheshimu” ambao unaambatana na tuzo ya Goncourt. </p>
<p>Katika kutoa majibu, wenye nguvu katika sekta ya utamaduni walishutumu kuwa kuna uchujaji katika malumbano haya. Bernard Pivot, mwanachama katika jopo la Goncourt, alimshutumu Raoult kuwa hafahamu chochote katika uwanja wa fasihi.</p></blockquote>
<p>N’Diaye, aliyezaliwa mwaka 1967 na mama Mfaransa na baba Msenegali, alishinda tuzo ya Goncourt kutokana na riwaya yake “Trois femmes puissantes” (”Wanawake watatu wenye nguvu”), hadithi inayohusu wanawake waliojikuta katikati ya Ufaransa na Senegal na katika mkasa wa dhiki mbaya ya uhamiaji usio halali kutokea Afrika.</p>
<p>“Hadithi ya hawa wahamiaji imesimuliwa mara nyingi kabla, lakini kama hii itawasaidia watu kufahamu hatima yao vyema zaidi, basi nitafurahi,” alisema N’Diaye.</p>
<p>Ni kitu gain kilichochochea hasira ya Eric Raoult? Si pungufu ya mahojiano ya mwanamke huyu mwandishi, wakati alipojibu swali la <a href="http://www.lesinrocks.com/actualite/actu-article/t/1257862620/article/raoultndiaye-on-nest-plus-en-1942/">gazeti la Les Inrocks</a>: “Je unajisikia vizuri katika Ufaransa ya Sarkozy?” alisema [Fr]:</p>
<blockquote><p>« Je trouve cette France-là monstrueuse. Le fait que nous (avec son compagnon l’écrivain Jean-Yves Cendrey, et leurs trois enfants – ndlr) ayons choisi de vivre à Berlin n’est pas étranger à ça. (…) Je trouve détestable cette atmosphère de flicage, de vulgarité… »</p></blockquote>
<div class="translation">Naiona aina hiyo ya Ugfaransa kuwa mbaya isiyovumilika. Ukweli kuwa sisi (N’Diaye, mpenzi wake, mwandishi Jean-Yves Cendrey, pamoja na watoto wao watatu) tuliamua kuishi mjini Berlin unahusiana na hili. (…) Naiona hali hii ya ulinzi mkali na tabia chafu inakifu…”</div>
<p>Mwanablogu wa sheria anayejulikana <em><a href="http://www.maitre-eolas.fr/post/2009/11/12/Prix-Busiris-pour-Éric-Raoult">Maître Eolas</a></em> anayabomoa bomoa madai ya Bw. Raoult katika makala ya kejeli iliyoandikwa kwa mantiki nzuri [Fr], na hatimaye anamtunukia tuzo ya “Prix Busiris” (“buse” inaweza ikatafsiriwa kama “upumbavu”)</p>
<p>Kwanza anasahihisha makosa ya sarufi:</p>
<blockquote><p>Tout d’abord, et le ministre de la culture et de la communication aura rectifié de lui-même, le devoir de réserve ne peut en tout état de cause être dû aux lauréats mais dû par les lauréats : cette erreur de préposition fait du lauréat le créancier alors que dans  la tête du député, il en serait évidemment le débiteur.</p></blockquote>
<div class="translation">Kwa kuanzia, na Waziri wa Utamaduni na Mawasiliano hawezi kusahau kujisahihisha, wajibu wa kujizuia hauwezi katika mfano wowote kuwapa wajibu waliopokea tuzo, lakini badala yake huwajibika kwa waliopokea tuzo; mapendekezo haya yenye makosa yanamfanya aliyepokea tuzo kuwa kama mkopaji wakati katika mawazo ya mbunge anakuwa kama vile ni mkopeshaji.</div>
<p>Na kisheria? Kati ya maandishi, mwanablogu ananukuu <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Declaration_of_the_Rights_of_Man_and_of_the_Citizen">Tamko la Haki za Mtu na za Raia la mwaka 1789 </a>pamoja na <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/European_Convention_on_Human_Rights">Makubaliano ya Haki za Binaadamu ya Nchi za Ulaya</a>. Na “Wajibu wa Kujizuia au Kujiheshimu” huwa unawawajibisha watumishi wa umma?</p>
<blockquote><p>Le devoir de réserve est souvent invoqué à tort et à travers par des gens qui n’y ont rien compris comme interdisant à un fonctionnaire de s’exprimer, y compris parfois sur des affaires purement privées.</p></blockquote>
<div class="translation">Wajibu wa Kujizuia auKujiheshimu huwa unatolewa hovyo hovyo na watu ambao hawafahamu lolote juu ya wito huo, kama vile kumkataza mtumishi wa umma asiongee, mara nyingine hata kuhusu  mambo binafsi.</div>
<p>Mwanasheria anahitimisha kwa kutoaminika kwa mbunge, kabla ya kutoa pigo la mwisho:</p>
<blockquote><p>Ajoutons à cela qu’en 2005, en tant que maire du Raincy, lors des émeutes de l’automne, il fut le premier à proclamer l’état d’urgence dans sa commune pourtant épargnée par les actes de violence afin de griller la politesse au premier ministre, ce qui montre une certaine tendance à la gesticulation inutile pour attirer l’attention sur lui.<br />
Ce qui établit en même temps le mobile d’opportunité politique, et emporte la décision.</p></blockquote>
<div class="translation">Hebu tuongeze juu ya yote haya ukweli kwamba mnamo mwaka 2005, kama Meya wa Le Raincy, wakati wa machafuko ya kipupwe, alikuwa wa kwanza kutoa tamko la hali ya dharura ndani ya mji wake, na aliponusurika na machafuko hayo, alimzunguka Waziri Mkuu, jambo ambalo linanyonyesha tabia yake ya vitendo visivyo na maana ili watu wamuangalie.</p>
<p>Jambo ambalo wakati huo huo linathibitisha kuwa sababu kubwa ya kuchukua uamuzi ni kutaka kunufaika kisiasa. </p></div>
<p>Wanablogu wengine pia walikuwa na maneno makali.</p>
<p>Kwenye <em>Art contemporain, la peau de l&#39;ours</em>, Philippe Rillon <a href="http://rillon.blog.lemonde.fr/2009/11/10/marie-ndiaye-eric-raoult-et-le-devoir-de-reserve/">anaandika </a>[Fr]: </p>
<blockquote><p>Nous comprenons fort bien que le devoir de réserve s’impose à tout serviteur de l’Etat; mais depuis quand la littérature et les auteurs sont ils assimilés aux fonctionnaires avec leurs droits et devoirs?<br />
Nous avions déjà une “Culture administrée”, nous voici maintenant “artistes fonctionnaires” comme si Paris était Berlin-est d’avant la chute du mur…<br />
(…)<br />
Il serait quand même étonnant qu’au lendemain d’une hyper-médiatique commémoration de la chute du mur, ce godillot vienne gâcher le spectacle idylique des dominos qui tombent.</p></blockquote>
<div class="translation">Tunaelewa vyema kuwa wajibu wa kujizuia ni sheria kwa kila mfanyakazi wa dola; lakini tangu lini fasihi na waandishi wamewekwa kwenye kundi sawa na watumishi wa umma pamoja na haki na wajibu wao?<br />
Tayari tunao “utamaduni wa serikali”, na sasa tumegeuka kuwa “wasanii wa dola”, kana kwamba mji wa Paris umekuwa Berlini ya Mashariki kabla ya ukuta kuvunjwa…<br />
(…)<br />
Je isingekuwa jambo la ajabu siku baada ya kusherehekea kuanguka kwa ukuta, mshabiki huyu angeliweza kuharibu muonekano mzuri wa kete zilizokuwa zinaanguka.</div>
<p>Wakati huo huo, Marie N’Diaye baada ya jitihada za kushusha ukali wa maneno yake katika <a href="http://www.europe1.fr/Culture/Ndiaye-revient-sur-ses-propos-excessifs-sur-Sarkozy/%28gid%29/253818">mahojiano na Radio Station Europe 1</a>, ambayo katikati ya mzozo watu hawakuyaona, alimuomba Waziri wa Utamaduni wa Ufaransa, Frederic Miterrand. Waziri huyo <a href="http://www.leparisien.fr/flash-actualite-culture/marie-ndiaye-persiste-et-signe-frederic-mitterrand-juge-la-polemique-anecdotique-et-ridicule-12-11-2009-708919.php">ameuchukulia</a> mzozo huo kuwa ni kitu kigogo na cha kijinga” [Fr], na <a href="http://www.lefigaro.fr/flash-actu/2009/11/13/01011-20091113FILWWW00566-ndiaye-raoult-ne-regrette-rien.php">wahusika wakuu </a>wameshikilia <a href="http://www.marianne2.fr/Marie-NDiaye-ou-la-fable-de-l-ecrivain-rebelle_a182772.html?com">misimamo yao</a>. [Fr]</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ufaransa-tuzo-ya-fasihi-yaja-na-masharti/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>China: Obama ni Mshabiki Mkubwa wa Kutokuchuja Habari</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 17 Nov 2009 10:06:54 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[China]]></category>
		<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=690</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naOiwan Lam  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa &#8220;Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari&#8220;.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/oiwan/">Oiwan Lam</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/17/china-obama-as-a-big-supporter-of-non-censorship/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa &#8220;<a href="http://shanghaiscrap.com/?p=3920">Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari</a>&#8220;.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Finland: Suala la Lugha</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:09:09 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Finland]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sweden]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=677</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Nordic Voices anaandika kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. 
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/16/finland-the-language-issue/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Nordic Voices <a href="http://nordicvoices.blogspot.com/2009/11/land-of-one-language.html">anaandika</a> kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Misri: Haki ya Kijerumani kwa Marwa El Sherbini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 11:06:45 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Germany]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Racism]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=669</guid>
		<description><![CDATA[Muuaji wa Marwa El-Sherbini, mwanamke wa Kimisri ambaye alichomwa visu mpaka kufa na muhamiaji mwenye asili ya Urusi na Ujerumani, Alex Wiens,  ndani ya mahakama huko Ujerumani, amehukumiwa kifungo cha maisha, bila uwezekano wa kuachiwa mapema. Haki hatimaye imetolewa na muuaji anaadhibiwa, wanasema wanablogu wa Misri.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/tarek-amr/">Tarek Amr</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/egypt-german-justice-for-marwa-el-sherbini/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hatimaye, haki imetolewa katika <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/07/06/egyptian-woman-killed-in-german-court-for-being-veiled/">shauri la Marwa El-Sherbini</a>, mwanamke wa Kimisri aliyeuwawa kwa kuchomwa visu na muhamiaji mwenye asili ya Urusi-na-Ujerumani ndani ya mahakama huko Ujerumani. Baada ya karibu miezi mine na nusu, Alex Wiens amehukumiwa kifungo cha maisha, bila ya matarajio ya kuachiwa mapema kabla ya kifungo kumalizika.</p>
<p><em>Bikya Misr</em> <a href="http://bikyamasr.com/?p=5678">ameandika kuhusu kesi hiyo</a>:</p>
<blockquote><p>Baada ya karibu miezi mine na nusu, mkasa wa Marwa el-Sherbini umefikia hitimisho la namna Fulani baada ya mahakama ya Ujerumani kumhukumu kifungo cha maisha bila uwezekano wa kuachiwa mapema mtu aliyemchoma visu “shahidi aliyevaa shela” mara 17 ndani ya mahakama mnamo mwezi Julai. Wamisri, Waarabu na kadhalika Wajerumani wameikaribisha hukumu hiyo na wanatumaini kuwa Ulaya na Mashariki ya Kati zitaanza kupona majeraha ya mauaji hayo na kusonga mbele “kuelekea mustakabali bora zaidi.”</p></blockquote>
<p><em>Hicham Maged </em><a href="http://blog.hichamaged.net/justice-and-stereotype/">ameandika jinsi alivyoridhika na hukumu, na kuwa ana imani na mfumo wa sheria wa Ujerumani</a>:</p>
<blockquote><p>Hakimu alikuwa anazitambua mbinu kadhaa za timu ya utetezi ya muuaji na hapa ninanukuu maneno kwa mujibu wa makala hii: “Aliua… si kutokana na hofu bali kutokana na kisasi. Kwa makusudi alitumia nia njema na udhaifu wake (marehemu). “Ninakubaliana na hili na usisahau kuwa alijaribu pia kumuua mume wake.<br />
Ninafarijika kuwa chumba cha mahakama ambamo usaliti huo ulitokea kimeoshwa kwa mikono na kimaadili kwa kutumia haki. Baada ya hayo, imani yangu kwa mfumo wa sheria wa Ujerumani haupaswi kuelezwa kwani kosa hili lilikuwa ni la kustusha kwetu sote na si kwa Wajerumani pekee. Kwa hivyo basi, ni leo hii Marwa na mwanawe ambaye alikuwa hajazaliwa wanaweza kupumzika kwa amani baada ya malipo kwa muuaji. </p></blockquote>
<p><em>Zeinobia</em> aliifurahia hukumu, naye pia <a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/11/this-is-fair-rule-not-political-rule.html">aliandika kuwajibu wale ambao waliamini kuwa hukumu ile ilikuwa ni ya kisiasa, na kuwa mahakama ya Ujerumani ilitoa hukumu inayomnufaisha Marwa ili kuwaridhisha Wamisri na Waarabu</a>:</p>
<blockquote><p>Sasa nataka kusema jambo, baadhi ya wabaguzi “na si wachache duniani hivi sasa”, watasema kwamba uamuzi huu ni wa kisiasa; ambao mahakama ilibidi iuchukue ili kushinda mioyo na fikra za Waislamu duniani na kuokoa maslahi ya Ujerumani katika ulimwengu wa Kiislamu.<br />
Naam, kwa heshima yangu yote nilikwishasema hapo awali na nitasema tena; usimfikirie Marwa kama mwanamke wa Kiislamu; mfikirie kama mwanamke mjamzito na mama ambaye kwa yakini alichomwa visu mara 18 mbele ya mwanawe mdogo wa kiume. Aliua roho mbili, roho zisizo na hatia kwa sababu ya chuki isiyoona pamoja na ubaguzi. Anastahili kuwa jela kwa maisha yake yote yaliyobaki kwa kutoa maisha ya roho zisizo na hatia na kuota uhai wa mama kutoka kwa mwanawe.</p></blockquote>
<p><em>Aam Mina</em> kwa upande mwingine aliandika makala, ya <a href="http://voice-of-egypt.blogspot.com/2009/11/blog-post_12.html">kuwakebehi wale wanaoamini katika nadharia za njama na waliokuwa wakitarajia Wajerumani kufanya uamuzi utakaompendelea muuaji</a>:</p>
<blockquote><p>
مش عارف ليه من ساعة الجكم مش سامعين صوت الناس اللي فلقتنا وقت الحادث عن عنصرية الألمان و كرههم للعرب و المسلمين و عن إن القضية هتتظبط و الراجل هياخدله سنة أو سنتين و خلاص و انه الحل الوحيد هو الجهاد و محاربة الغرب الصهيوني الفاسد العلماني الكافر </p></blockquote>
<div class="translation">Sijui kwa nini, tangu kutangazwa kwa uamuzi, sijamsikia yeyote kati ya wale waliokuwa wakiongelea juu Wajerumani na jinsi walivyo wabaguzi, na kuwa wanawachukia Waarabu na Waislamu. Pia walidai kuwa mahakama ingetoa uamuzi uanompendelea muuaji na kuwa atafungwa kwa mwaka mmoja au miwili tu, na kuwa tumaini letu pekee ni kutangaza vita takatifu dhidi ya utawala usio na dini, uliooza, Wakizayonisti, na Wamagharibi makafiri.</div>
<p>Kisha aliandika kuhusu mafundisho mengi ambayo tunapaswa kujifunza kutokana na tukio hili:</p>
<blockquote><p>
دي بعض الدروس المستفادة من الغرب الكافر<br />
١- سرعة العدالة.. جريمة القتل تمت في يوليو ٢٠٠٩ يعني من حوالي ٤ شهور.. ماحتاجناش ٢٠ سنة دراسة للقضية زي ما بيحصل عندنا<br />
٢- عدالة الحكم.. تم تطبيق أقصي عقوبة علي المتهم و هي المؤبد (عقوبة الإعدام غير معمول بيها في القانون الألماني) من دون التمييز ما بين مسلم و مسيحي أو عربي و ألماني.. الكل سواسية أمام القانون </p></blockquote>
<div class="translation">Haya ni baadhi ya mafundisho tunayotakiwa kujifunza kutoka kwa makafiri wa Magharibi:<br />
1.	Toeni haki haraka: Mauaji yalitokea mwezi Julai 2009, yaani, takriban miezi 4 iliyopita, na haikuwachukua miaka 20 kulichambua shauri, kama ambavyo hufanyika hapa.<br />
2.	Haki yenyewe: Muuaji amepokea adhabu ya juu – adhabu ya kifo haimo kwenye sheria ya ujerumani – bila ya kubagua kati ya Muislamu, Mkiristu, Mwarabu au Mjerumani. Wote wako sawa mbele ya sheria. </div>
<p>Na mwisho, <em><a href="http://blog.hichamaged.net/justice-and-stereotype/">Hicham Maged</a></em> aliandika:</p>
<blockquote><p>Kilichotokea kwa Marwa kiwe ni mbiu ya ‘kuamsha’ ambayo itawafanya watu wafanye kazi ili kufanikisha, kwa kukosoa vitendo vilivyozidi mipaka ambavyo vinafanywa dhidi ya watu kutokana na imani zao au rangi na kuelewa tofauti zetu na hii inamaanisha kuzizima imani potofu kutoka kwa yeyote dhidi ya yeyote.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Uganda: Ugonjwa wa Panzi Waota Mizizi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/uganda-ugonjwa-wa-panzi-waota-mizizi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/uganda-ugonjwa-wa-panzi-waota-mizizi/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 13 Nov 2009 13:23:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Uganda]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=638</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Wanasiasa wa Uganda wanakuwa kama panzi: &#8220;kufuatia hali ya kufikia kikomo kwa tawala nyingi za kiimla, Museveni na washirika wake katika ukaliaji wa mabavu wa Buganda kwa kutumia silaha wanaanza kuwa kama panzi.&#8221;
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/12/uganda-the-grasshopper-syndrome-takes-root/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><a href="http://www.bugandapost.com/main/archives/560">Wanasiasa wa Uganda wanakuwa kama panzi</a>: &#8220;kufuatia hali ya kufikia kikomo kwa tawala nyingi za kiimla, Museveni na washirika wake katika ukaliaji wa mabavu wa Buganda kwa kutumia silaha wanaanza kuwa kama panzi.&#8221;</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/uganda-ugonjwa-wa-panzi-waota-mizizi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Video: Dunia Yaadhimisha Kuanguka kwa Ukuta wa Berlini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/video-dunia-yaadhimisha-kuanguka-kwa-ukuta-wa-berlini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/video-dunia-yaadhimisha-kuanguka-kwa-ukuta-wa-berlini/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 11 Nov 2009 12:50:28 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Cyprus]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Film]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[German]]></category>
		<category><![CDATA[Germany]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Mexico]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=620</guid>
		<description><![CDATA[Leo ni Kumbukumbu ya 20 ya kuanguka kwa Ukuta wa Berlini, kizingiti madhubuti cha kiusalama ambacho kiliwahi kuligawa jiji la Berlini katika pande mbili za Mashariki na Magharibi huko Ujerumani. Leo tunaonyesha baadhi ya picha za video zinazotoka pande mbalimbali za dunia zinazopandishwa ili kusherehekea siku hii na nini ukuta huo ulimaanisha siyo Ujerumani tu bali duniani kote. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juliana-rincon-parra/">Juliana Rincón Parra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/09/video-the-world-commemorates-the-fall-of-the-berlin-wall/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><div class="wp-caption aligncenter" style="width: 310px"><img alt="Ukuta wa Berlini na Natalie Maynor" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/127094076_0624cc7780-300x214.jpg" title="Berlin Wall by Natalie Maynor" width="300" height="214" /><p class="wp-caption-text">Ukuta wa Berlini na Natalie Maynor</p></div><br />
Leo ni <a href="http://www.mauerfall09.de/">Kumbukumbu ya 20 ya kuanguka kwa Ukuta wa Berlini</a>, kizingiti madhubuti cha kiusalama ambacho kiliwahi kuligawa jiji la Berlini katika pande mbili za Mashariki na Magharibi huko Ujerumani. Leo tunaonyesha baadhi ya picha za video zinazotoka pande mbalimbali za dunia zinazopandishwa ili kusherehekea siku hii na nini ukuta huo ulimaanisha siyo Ujerumani tu bali duniani kote. </p>
<p>Huko Ujerumani, mfululizo wa mifano ya vipande vya mchezo wa domino iliundwa kutumia maboya na kisha kunyanyuliwa ili baadaye yaangushwe kama ishara ya kumaliika kwa zama za Vita Baridi. <a href="http://www.youtube.com/watch?v=rsDNfQqnET4">Video hii iliyotayarishwa na NoCommentTV</a> inaonyesha vipande hivyo vya domino, ambavyo <a href="http://www.spiegel.de/international/germany/0,1518,615014,00.html">vilichorwa na watoto huko Ujerumani</a> na p<a href="http://www.heiditrautmann.com/category.aspx?CID=2676368777">ia na wasanii wanaoishi maeneo mengine ambapo kuna migawanyiko na kuta</a>, vikisimamishwa. Kipande cha kukupa vitu vya kuchagua kimezuiwa kufanya kazi, lakini <a href="http://www.youtube.com/watch?v=0y5eGXy_laQ">unaweza kuona jinsi vipande hivyo vya domino vilivyoangushwa kwa kubofya kiungo hiki ili kuiona katika ukurasa wake wa YouTube</a>.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/rsDNfQqnET4&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/rsDNfQqnET4&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kule <a href="http://www.youtube.com/watch?v=hDCHrnZdwcs">Kolombia</a>, wanafunzi waliigiza uangukaji wa ukuta huo, kwa kupokezana kuvunjilia mbali ukuta wa zege:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/hDCHrnZdwcs&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/hDCHrnZdwcs&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kutoka Ujerumani, mshabiki wa kuangusha domino <a href="http://www.youtube.com/watch?v=dKLiooarpkA">Annodomino2007</a> amepandisha mtandaoni domino yake mwenyewe ili kuenzi kuanguka kwa ukuta huo, na pia kama kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 10 tangu alipoanza mapenzi yake makubwa kwa michezo ya domino:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/dKLiooarpkA&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/dKLiooarpkA&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=UF_o1KYQIWU">Kule Marekani</a>, wanachuo waliinua mfano wa Ukuta wa Berlini ambao mtu angeweza kuandika juu yake, yaani kama njia ya kuiamsha jamii:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/UF_o1KYQIWU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/UF_o1KYQIWU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kutoka Mexico, <a href="http://www.youtube.com/watch?v=kffLolfYcfU">VarinVxx alipandisha picha ya video</a> ikionyesha ukuta mwingine ambao bado uko imara, <em>Si Berlini, si Palestina, bali ni kwenye mpaka wa Marekani na Mexico, Ukuta wa Aibu huko Marekani</em>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/kffLolfYcfU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/kffLolfYcfU&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=cGpVyCovo70">Krista Schyler</a> pia analinganisha ukuta ulio kwenye mpaka wa Mexico na Marekani na ule wa Berlini, safari hii siyo tu kukazia kuhusu madhara ya uhamaji wa binadamu, lakini kutoka kwa mtazamo wa utunzaji wanyama pori pia:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/cGpVyCovo70&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/cGpVyCovo70&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mradi huu wa majaribio (Mradi Rubani) kwa ajili ya <a href="http://www.youtube.com/watch?v=7QeaIChuJ4c">makala ya video ya Ziashere</a> inaonyesha kuta nyingine ambazo bado ziko imara, mojawapo ikiwa kule Ireland:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/7QeaIChuJ4c&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/7QeaIChuJ4c&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Video hiyo ya mwisho ina umri wa miaka 2 sasa, lakini bado ujumbe wake una maana: <a href="http://www.youtube.com/watch?v=Pu4OztB_Zyo">mtengeneza filamu Adam</a> aliwahoji vijana kutoka pande zote mbili za ukuta Kaskazini na Kusini mwa Cyprus, ukanda wa kijani unaolindwa na vikosi vya helmeti za kibuluu vya Umoja wa Mataifa ambao unatenganisha WaCyprus wa Kituruki na Wacyprus wa Kigiriki, jambo linaoufanya mji huo uwe na heshima ya kuwa <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Nicosia">mji wa mwisho uliogawanyika</a>.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/Pu4OztB_Zyo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/Pu4OztB_Zyo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/video-dunia-yaadhimisha-kuanguka-kwa-ukuta-wa-berlini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Vijana wa Kiyahudi na Kipalestina Watumia Video Kuuelewa Mgogoro</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 08 Nov 2009 11:55:38 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[Children]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Film]]></category>
		<category><![CDATA[Hebrew]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Israel]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Palestine]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Religion]]></category>
		<category><![CDATA[Software & Tools]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=591</guid>
		<description><![CDATA[Mashirika mawili tofauti nchini Israel na katika Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia vijana wa Kiarabu na Kiyahudi kuuelewa mgogoro na kujenga daraja kati yao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/juliana-rincon-parra/">Juliana Rincón Parra</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/06/israeli-and-palestinian-youth-use-video-to-understand-the-conflict/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mashirika mawili tofauti katika Israel na Majimbo ya Palestina yanatumia zana za video ili kuwasaidia wote, vijana wa Kiyahudi na Wakiarabu kuuelewa mgogoro na kutengeneza daraja kati yao, kwa kutengeneza nafasi ya kukutana na kuwasiliana ambamo wanaweza wakaeleza ndoto zao, yanayowagusa na mawazo yao kuhusu hali tata wanayoishi.</p>
<p>Moja ya miradi hiyo ni <a href="http://en.reutsadaka.org/">Sadaka Reut</a>, na <a href="http://en.reutsadaka.org/?page_id=54">haya ndiyo wanayoyasema kuhusu programu yao</a>:</p>
<blockquote><p>Huku vijana wengi wa Kipalestina na Kiyahudi wakiwa wametengwa kimwili mmoja kutoka mwingine (kwenye jamii na shule tofauti) na hofu, ubaguzi wa rangi na mawazo potofu matokeo yake, tunatarajia kujenga namna mbadala za maingiliano kati ya makundi haya mawili. Programu ya ‘kujenga Utamaduni wa Amani’ inakusudia kutengeneza sehemu ambamo vijana wa Kipalestina na Kiyahudi wanaweza kujisikia wako sawa, wanaheshimika na kutambulika kama watu na pia kama ushirika wa kitaifa.</p></blockquote>
<p>Wanachama wa programu hiyo pia wamekuwa wakishiriki katika mradi wa video ya Dakika Moja, ambao kwao wanajifunza kuhusu uanaharakati wa video wakati wa warsha ya wiki moja. Haya ni baadhi ya matokeo, na unaweza kuangalia yaliyobakia kwa kubonyeza ili kufikia <a href="http://en.reutsadaka.org/?p=846">tovuti yao</a>:</p>
<p><a href="ttp://www.youtube.com/watch?v=XkxUC30UNug">Arab</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/XkxUC30UNug&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=US6QtYDVzB8">AM/FM</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/US6QtYDVzB8&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=gT9KX9fKgT0">Few love Singing</a>:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/gT9KX9fKgT0&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Mradi mwingine ni <a href="http://www.win-peace.org/home.html">Dirisha la Amani</a>, ambao ulianza tangu mwaka 1991 kama jitihada za kutengeneza jarida la lugha na tamaduni mbili kwa ajili ya vijana kama njia ya kuwawezesha kuungana na kujifunza juu ya mgogoro, kutangaza usawa na kuwawezesha vijana. Hata hivyo, haijakuwa rahisi, <a href="http://www.win-peace.org/about.html">kama wanavyoeleza katika tovuti yao</a>:</p>
<blockquote><p>&#8220;Si kazi rahisi kwa vijana wa Kipalestina na Kiyahudi kushinda idadi kubwa ya taarifa zisizo sahihi na imani potofu ambazo zinafundishwa mmoja kuhusu mwingine. Uwepo mdogo wa makutano, matokeo ya kuishi katika jamii zilizotengana na kuchochewa na mgogoro wenye machafuko mabaya ya kisiasa, vinaendeleza hofu za kihistoria, imani potofu, na chuki ambayo inawagawa jamii hizi mbili. Kwa hiyo, Dirisha (la Amani) linatilia makini kurutubisha mabadiliko makubwa katika namna ambayo vijana wa kiyahudi na Kipalestina wanavyojiona wenyewe, “wengine” pamoja na mgogoro. Washiriki wa programu za Dirisha wanapitia uzoefu ambao unatetea mabadiliko katika mgogoro kati ya jamii hizo mbili, kuelekea kwenye ukweli wa amani ambamo kila upande wanaweza kuishi. Tunaamini kuwa amani ya haki nay a kudumu ni lazima view na msingi katika maadili ya kidemokrasia, haki za binadamu, na ufahamu na kukubalika kwa “mwingine.”</p></blockquote>
<p>Pia wanafanya kazi kwa ajili ya mradi mpya unaoitwa <a href="http://www.win-peace.org/youth%20media%20program.html">Kwa njia ya Lensi</a>, ambao vijana wa umri kati ya miaka 15 mpaka 17 “waliofuzu” kutoka kwenye gazeti wanaendeleza ufundi ili kutengeneza filamu fupi fupi, habari na video nyingine nyingine ili kuendeleza “mazungumzo ya kujenga amani na maingiliano chanya yenye ufanisi.”</p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=zsxLrfzyAIo">Hii ni video </a>ambayo washiriki wa mradi wa Dirisha wanaongelea uzoefu wao ndani ya kikundi na jinsi walivyokabiliana na changamoto zinazojitokeza ili kujiweka nje ya uwanja waliouzoea na kuongelea mada ngumu kama vile mgogoro kati ya Israel na Palestina:</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/zsxLrfzyAIo&#038;color1=0x234900&#038;color2=0x4e9e00&#038;hl=es&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kama watotokatika video wanavyosema kwa kutumia maneno mengi: wanaweza kuwa na wakati mgumu kukabiliana na mengi ya  maoni nba mitazamo ambayo watoto wengine wanaitoa, lakini kuwa na sehemu ya kujadili masuala katika njia salama kunawasaidia kuelewa ulimwengu wanamoishi huku wakiwa na uwezekano wa kukutana, kujifunza na kushiriki na watoto wenzao pamoja na vijana na hata kubadili hiyo mitazamo.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/vijana-wa-kiyahudi-na-kipalestina-watumia-video-kuuelewa-mgogoro/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Irani: Vuguvugu la Kijani Laupinga Utawala Tena</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/irani-vuguvugu-la-kijani-laupinga-utawala-tena/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/irani-vuguvugu-la-kijani-laupinga-utawala-tena/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 06 Nov 2009 13:29:03 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Farsi]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Iran]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=552</guid>
		<description><![CDATA[Upande wa upinzani wa Vuguvugu la Kijani nchini Irani mnamo tarehe 4 Novemba uliendesha maandamano makubwa ambapo maandamano hayo yalikabiliwa na matumizi makubwa ya nguvu ya kuyazuia yaliyofanywa na vikosi vya usalma. Kama ambavyo sasa inatarajiwa, uandishi wa habari wa kiraia nchini Irani haukukosa kitu kwani ulirekodi 'historia' hiyo kupitia simu zao za mikononi. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hamid-tehrani/">Hamid Tehrani</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/05/iran-green-movement-defies-regime-again/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/13aban.jpg" class="alignleft" width="200" height="269" /><br />
Upande wa upinzani wa Vuguvugu la Kijani nchini Irani mnamo tarehe 4 Novemba mwaka huu (13 ya Abani) <a href="http://www.guardian.co.uk/world/blog/2009/nov/04/iran-student-day-protests">uliendesha</a> maandamano makubwa ya mitaani, baada ya kutumia fursa ya maandamano rasmi yaliyoendeshwa siku hiyo ya kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 30 ya ukaliaji wa Ubalozi wa Marekani jijini Teherani.  Maandamano hayo ya upinzani yalikabiliwa na matumizi ya nguvu kupita kiasi ya kuyavunja yaliyofanywa na vikosi vya usalama.</p>
<p>Kama ambavyo sasa imekuwa jambo la kutarajiwa, vyombo vya habari vya kiraia vya Irani vilirekodi &#8216;historia&#39; hiyo kupitia simu zao za mkononi.</p>
<p>Waandamanaji jijini Teherani walikanyagakanyaga picha ya Kiongozi Mkuu wa Kidini nchini humo, Ayatollah Ali Khamenei, kitendo ambacho wala kisingefikiriwa miezi michache tu iliyopita. </p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/ROBiaGs7OYo&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/ROBiaGs7OYo&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Ujumbe kwa Obama: Ama uko upande wetu au uko upande wao.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/x-yLLZ3JGfM&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/x-yLLZ3JGfM&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kiongozi wa upinzani, Mehdi Karoubi, akiwa katikati ya watu.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/UuGNPxkIXU4&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/UuGNPxkIXU4&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Vikosi vya Usalama vikishambulia waandamanaji.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/AIiAopKXE7w&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/AIiAopKXE7w&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/irani-vuguvugu-la-kijani-laupinga-utawala-tena/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
