· Julai, 2009

Habari kuhusu Siasa kutoka Julai, 2009

Kongo Brazzaville: Uchaguzi wa Rais Wakatisha Tamaa

Siku ya Jumapili, Julai 12, watu wa Jamhuri ya Kongo walipiga kura katika uchaguzi ambao ulisusiwa na viongozi wa Upinzani kwa madai kwamba usingekuwa huru wala wa haki. Denis Sassou N’Guesso, ambaye ameitawala Kongo kwa takribani miaka 25 kama mkuu wa nchi, anatafuta kipindi kingine cha miaka saba madarakani. Pamoja...