Habari kuhusu Uhamiaji na Uhamaji
Baada ya Tishio la Ebola Kuondoka, Marekani Yalitaka Kundi La Wahamiaji Kutoka Afrika Magharibi Kurejea Makwao
Waliingia Marekani kwa mujibu wa sheria kama watu waliotoka kwenye nchi zenye migogoro. Sasa, mgogoro umekweisha, lakini imekuwa vigumu kwao kurudi nyumbani.
Jukwaa Hili Limewasaidia Maelfu ya Wahamiaji Kukutana Tena na Familia Zao Nyumbani
Duniani kote, takribani watu miliaoni 65 ambao, kwa sababu moja au nyingine, wamelazimishwa kuyakimbia makazi yao. Jukwaa hili linalenga kukutanisha familia zilizovunjika.
Manusura Wasimulia Kuhusu Hatari za Kuhama Kupitia Jangwa la Sahara
"...most migrants wish to forget and move forward with their lives and therefore tend not to share their experience with peers who are still back home."
Wenyeji wa Melbourne Wawakaribisha Wakimbikizi wa Syria kwa Mikono Miwili—na Panzi
"Panzi wetu wanatukumbusha kuwa hata kitendo kidogo kinaweza kuwa na matokeo makubwa."
‘Watu Wanapanda Boti hizo kwa Kuwa Bado Wanahitaji Kuishi’
Kampeni ya uokozi Sos Méditerranée yachapisha kwenye blogu yao maelezo ya watu walioponea chupuchupu wakielekea Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean
Kijana Mkimbizi Raia wa Liberia, Aliyejipatia Elimu Marekani, na kisha Kuamua Kurudi ‘Nyumbani’
Mercy Krua ni mkimbizi wa Liberia anayeishi Boston. Mtoto wake pia alikuwa mkimbizi kutoka Liberia. Hata hivyo, kijana huyu ameamua kurudi na kuishi nchini Liberia.
Irani Yaanza Kutoa Huduma ya Bima ya Afya kwa Wakimbizi
Wakimbizi wanaotoka Afghanistani nchini Irani inakaribia kuwa milioni 1, wakati inakadiriwa kuwa wakimbizi wasioandikishwa ni kati ya milioni 1.4 na 2 wanaoishi na kufanya kaz nchini humo.
Unataka Kuuona Mji Huru wa Kwanza wa Kiafrika Barani Amerika? Nenda nchini Mexico
Waafrika-Wa-Kimexicowanajivunia kuwa sehemu ya simulizi ya “El Yanga,” aliyejulikana dhahiri kama Mfalme aliyekuwa mateka kutoka katika kabila la Yang-Bara la Gabon, ambaye aliwasaidia watumwa kupata uhuru kutoka kwa Waspaniola kwenye miaka ya 1570.
Baada ya Maandamano Burkina Faso na Burundi, Naija na Togo Zinafuata?
Wanaija 20,000 wameingia mitaani mjini Niamey, Naija mnamo Juni, 6. Kuna ababu nyingi za maandamano hayo: umaskini uliokithiri, utawala mbovu na kubanwa kwa uhuru wa kujieleza yakiwa ni moja wapo ya malalamiko ya asasi za kiraia nchini humo. Maandamano kama haya yalitokea katika nchi za Burkina Faso, Burundi na Togo....
Ngono, Dini na Siasa Vinapokutana Kwenye Onesho la ‘Sidiria ya Kimalaya’
Mmarekani mwenye asili ya Pakistani Aizzah Fatima amelipa umaarufu onesho lake kwenye maeneo mbalimbali katika miaka ya hivi karibuni. Jina la onesho lenyewe linaonekana kama tusi kwa wengine. Onesho linaitwa: Sidiria ya Kimalaya.