Habari kuhusu Lugha kutoka Februari, 2015
Wanafunzi Nchini Tanzania Kufundishwa kwa Lugha ya Kiswahili, si Kiingereza
Rais Jakaya Kikwete amezindua sera mpya ya elimu nchini Tanzania juma lililopita, ambayo pamoja na mabadiliko mengine, inaingiza rasmi Kiswahili kama lugha ya kufundishia na kujifunzia katika mfumo wa elimu.
Twiti kwa #Kilugha Kusherehekea Wingi wa Lugha Mtandaoni
Dunia inazungumza maelfu ya lugha, lakini hutalijua hilo kwa kutazama kwenye mtandao wa twita. Unaweza kusaidia kubadilisha hali hiyo kwa ku-twiti katika lugha yako ya asili mnamo Februari 21.