Habari kuhusu Lugha

Kwa nini Kiswahili hakijawa lugha inayounganisha Afrika?

  14 Oktoba 2022

Ushawishi wa kigeni pia huenda ukatatiza “kukubalika” kwa Kiswahili. Afrika kwa sasa inategemea pakubwa China kwa msaada wa kifedha. Na kwa upande wake, China inatumia nafasi hiyo, kupenyeza lugha ya Mandarin katika nchi nyingi za Afrika, ambazo ni pamoja na Kenya.

Je Sera ya Lugha Tanzania inabagua lugha za asili?

Kuna takribani lugha 150 nchini Tanzania, lakini lugha ya Kisawhili imepewa upendeleo mkubwa, hasa katika muktadha wa elimu ya msingi. Wanazuoni Hannah Gibson (Chuo Kikuu cha Essex) na Gastor Mapunda (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) wanatoa maoni yao kwa ufupi kuhusu hali hii kwa kutumia matokeo ya utafiti unaochunguza...

Lugha za Pili Zinazoongozwa Kuzungumzwa Zaidi Afrika

Don Osborne anajadili habari iliyowekwa kwenye tovuti ya Chuo Kikuu cha Olivet Nazarene ikionesha ramani ya “Lugha za pili kuzungumzwa zaidi duniani.” Anaeleza matatizo makuu kutokana na habari hiyo: Suala la kwanza ni kudhani kwamba “lugha inayozungumzwa zaidi kwenye nchi yoyote huwa wazi; mara nyingi, ni lugha ya taifa husika.”...

Maneno Yasiyotafsirika Yafafanuliwa kwa Michoro

  1 Juni 2014

Tovuti ya Pijamasurf [es] inazungumzia “orodha ya maneno 30 yasiyotafsirika” ambayo msanii mchunguzi Anjana Iyer [en] alijaribu kuyachorea mchoro wenye kuchekesha kidogo. Kwa mfano: Bakku- shan (Kijapani) Msichana mzuri…almuradi tu anaangaliwa kutokea nyuma. Unaweza kuipata orodha hiyo hapa.