<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; International Relations</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/topics/international-relations/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Azerbaijan: Baada ya Hukumu ya Wanablogu wa Video</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/azerbaijan-baada-ya-hukumu-ya-wanablogu-wa-video/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/azerbaijan-baada-ya-hukumu-ya-wanablogu-wa-video/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 10:21:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Azerbaijan]]></category>
		<category><![CDATA[Blogger News]]></category>
		<category><![CDATA[Central Asia & Caucasus]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=694</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naOnnik Krikorian  &#183; Imetafsiriwa na Christian Bwaya &#183;  Angalia ujumbe mama 

Siku chache baada ya hukumu ya vijana wanaharakati wawili wa blogu za video huko Azerbaijan, wanablogu wengine wanaanza kuongea kwa  sauti juu ya kifungo cha Adnan Hajizade na Emin Milli. Wanaharakati hawa wa mtandaoni watatumikia vifungo vya miaka miwili [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/onnik-krikorian/">Onnik Krikorian</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/more-reaction-to-blogger-trial-verdict/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/hands_off12.jpg" class="alignleft" width="177" height="187" /><br />
Siku chache baada ya <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/11/11/azerbaijan-bloggers-sentenced/">hukumu ya vijana wanaharakati wawili wa blogu za video</a> huko Azerbaijan, wanablogu wengine wanaanza kuongea kwa  sauti juu ya kifungo cha <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/blogger/adnan-hajizada">Adnan Hajizade </a>na <a href="http://threatened.globalvoicesonline.org/blogger/emin-milli">Emin Milli</a>. Wanaharakati hawa wa mtandaoni watatumikia vifungo vya miaka miwili na mwingine miaka miwili na nusu gerezani baada ya mashitaka ambayo wengi wanayaona kama yenye nguvu za kisiasa na ni katika kujaribu kuwanyamazisha wasemaji kwenye nchi hiyo.</p>
<p>Wanaungana na wengine kama <a href="http://www.se2009.eu/en/meetings_news/2009/11/12/presidency_statement_on_azerbaijan">Urais wa Jumuiya ya Ulaya</a>, <a href="https://wcd.coe.int//ViewDoc.jsp?Ref=PR839%282009%29&#038;Language=lanEnglish&#038;Ver=original&#038;BackColorInternet=F5CA75&#038;BackColorIntranet=F5CA75&#038;BackColorLogged=A9BACE">Baraza la Bunge la Ulaya</a>, <a href="http://www.osce.org/item/41288.html">Shirika la Usalama na Ushirika la Ulaya</a>, Shirika la kupingania Haki za Binadamu la <a href="http://www.hrw.org/en/news/2009/11/12/azerbaijan-young-bloggers-jailed">Human Rights Watch</a>, <a href="http://www.amnesty.org/en/library/asset/EUR55/009/2009/en/655ee814-8957-4c08-b4f3-16772a16d9c2/eur550092009en.html">Amnesty International </a>na <a href="http://www.rsf.org/spip.php?page=article&#038;id_article=34972">Waandishi wasio na mipaka </a>na wengine wengi wanaoishutumu hukumu hiyo.</p>
<p>Shirika la Amnesty International vilevile <a href="http://www.amnesty.org/en/library/asset/EUR55/009/2009/en/655ee814-8957-4c08-b4f3-16772a16d9c2/eur550092009en.html">limewatangaza vijana hao wawili kama wafungwa wa dhamira</a>. <em>Interesing times</em>, “mradi wa mtandaoni unaofuatilia jitihada  za kudhibiti na kuzuia upatikanaji huru wa mtandao duniani kote,” <a href="http://www.i-times.org/interesting_times/2009/11/azerbaijans-government-intensifies-its-war-on-free-expression.html">waliyaweka mashtaka katika muktadha</a>. </p>
<blockquote><p>matumizi ya mabavu ya hivi karibuni yaliyoonyeshwa na nguvu za dola nchini Azerbaijan hayaachi shaka yoyote kwamba wote, waandishi na wanablogu wanatumia haki yao ya kujieleza kwa uhuru ilhali wanajua hatari inayowakabili. </p>
<p> […]</p>
<p>Shukrani kwa shinikizo la kimataifa kama vile barua ya WPFC na nyingine nyingi,  serikali ya Azeri imelazimishwa kuwatoa waandishi hao gerezani.</p>
<p>Lakini kitendo hiki cha hivi karibuni cha uonevu dhidi ya wanablogu wawili hakiachi tena wasiwasi kwamba, kama wakiachwa wenyewe, maafisa wa serikali wa Azerbaijan wataendelea na njia zao za kinyanyasaji.</p></blockquote>
<p><em>Notes from Abroad</em> naye pia <a href="http://gedirem.blogspot.com/2009/11/long-prison-sentences-for-two-azeri.html">hashangazwi na hukumu  hiyo</a>:</p>
<blockquote><p>Jumanne, wanablogu wawili vijana walihukumiwa kifungo jela –mmoja kwa miaka miwili na nusu, na mwingine kwa maika miwili– kwa mashitaka ya kipuuzi ya uhuni. Suala zima ni aibu –likiendeshwa na malengo ya kisiasa, lakini haishangazi.</p>
<p>[…]</p>
<p>Kwa kuwa Azerbaijan ni utawala wenye utajiri mkubwa wa mafuta, nchi za Magharibi zimekuwa makini mno katika majibu yake kwa kitendo hiki kisichokuwa cha kidemokrasia kilichofanywa na serikali ya Azeri.</p>
<p>Serikali ya Azeri ni lazima ikemewe kwa nguvu zote na nchi zote za demokrasia duniani kwamba tabia ya aina hii hikubaliki.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu <em>The Blogar</em>, hata hivyo, <a href="http://theblogar.blogspot.com/2009/11/emin-and-adnan-in-prison.html">anakaribia kukosa maneno</a>:</p>
<blockquote><p>Kwa hiyo hukumu imetolewa.<br />
Emin na Adnan sasa ni rasmi kwamba ni ‘wahuni’.<br />
Ninakosa cha kusema hapa.<br />
Kama inavosemekana kuwa vyombo vya habari vya jamii vilihusika katika kuwatia ndani, vilihusika na kueneza habari mitaani kuhusu uvunjifu wa haki lakini havikuweza kubadili akili za mfumo wa sheria uliooza wa Azerbaijan.<br />
Usicheze na Ilham.</p>
<p> […] Mawazo yangu yako na fanilia zao pamoja na wao wenyewe.</p></blockquote>
<p>Hata hivyo, kukiwa na rufaa inayokaribia kukatwa na uwezekano wa hatua zitakazochukuliwa na Mahamakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya, <em>L4L</em>, blogu mpya ya lugha ya Kiingereza ya Azeri, <a href="http://sympathy4thedevil.wordpress.com/2009/11/13/beginning/">inasema kwamba huu ni mwanzo tu</a>:</p>
<blockquote><p>Nini cha kufanya baada ya hapa? Awali ya yote tusikome. Tuendelee kufanya kazi kuelekea uhuru wa marafiki zetu na kuelekea kwenye uhuru wa raia wote wa Azerbaijan [&#8230;] Adnan na Emin hawakuonyesha woga na sisi hatupaswi kuwa chochote chini ya majasiri na wenye kutia moyo.</p>
<p>[…]</p>
<p>Huu hauwezi kuwa mwisho. Vyote vinaanza sasa.</p></blockquote>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/parvana.jpg" class="aligncenter" width="440" height="294" /><br />
<em>Parvana Persiani na David Sasaki wa Jukwaa la Dunia la kublogu la Global Voices on lin, Bucharest, Romania © Onnik Krikorian / Oneworld Multimedia 2009</em></p>
<p>Wakati huo huo, kwenye pembe za Kongamano la Dunia la Kublogu mjini Bucharest, Romania, <em>Global Voices Online</em> ilifanya mahojiano yaliyoshindikana na Parvana Persiani, Mjumbe wa Heshima wa Bodi ya OL! Vuguvugu la vijana wa Azerbaijani ambalo rafiki yake wa kiume, Adnan Hajizade aliyefungwa sasa, ni mshiriki mwanzilishi.</p>
<p><object width="720" height="450"><param name="movie" value="http://dotsub.com/static/players/portalplayer.swf?plugins=dotsub&#038;uuid=4fe42f66-8f9b-42f3-85de-69e92c748374&#038;type=video&#038;lang=none"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowscriptaccess" value="always"></param><embed src="http://dotsub.com/static/players/portalplayer.swf?plugins=dotsub&#038;uuid=4fe42f66-8f9b-42f3-85de-69e92c748374&#038;type=video&#038;lang=none" type="application/x-shockwave-flash" allowscriptaccess="always" allowfullscreen="true" width="420" height="347"></embed></object></p>
<p>Habari mpya zitakuwa zilitundikwa kila zikipatikana. Wakati huo huo, habari kamili ya kukamatwa,  mashitaka na kufungwa kwa Adnan Hajizade na Emin Milli zinapatikana kwenye <a href="http://globalvoicesonline.org/-/world/central-asia-caucasus/azerbaijan/">sehemu ya Azerbaijan </a>ya <em>Global Voices Online </em>na kwenye blogu ya OL! (Kwa <a href="http://ol-en.blogspot.com/">Kiingereza</a> na <a href="http://ol-az.blogspot.com/">Kiazeri</a>). Alama ya <a href="http://twitter.com/#search?q=%23EminAdnan">#EminAdnan </a>pia inatumika kwenye Twitter.<br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/emin_adnan_poster.jpg" class="aligncenter" width="440" height="570" /><br />
<img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/poster.jpg" title="poster" class="aligncenter" width="440" height="525" /></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/azerbaijan-baada-ya-hukumu-ya-wanablogu-wa-video/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>China: Obama ni Mshabiki Mkubwa wa Kutokuchuja Habari</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 17 Nov 2009 10:06:54 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[China]]></category>
		<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[U.S.A.]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=690</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naOiwan Lam  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa &#8220;Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari&#8220;.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/oiwan/">Oiwan Lam</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/17/china-obama-as-a-big-supporter-of-non-censorship/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Adam Minter amesikitishwa na maoni ya Obama kwenye Mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Jiji la Shanghai, hasa, maelezo yake kuwa &#8220;<a href="http://shanghaiscrap.com/?p=3920">Mimi ni muunga mkono mkubwa wa kutokuchuja habari</a>&#8220;.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/china-obama-ni-mshabiki-mkubwa-wa-kutokuchuja-habari/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Finland: Suala la Lugha</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:09:09 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Finland]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sweden]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=677</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Nordic Voices anaandika kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. 
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/16/finland-the-language-issue/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Nordic Voices <a href="http://nordicvoices.blogspot.com/2009/11/land-of-one-language.html">anaandika</a> kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Misri na Aljeria: Pambano la Twita</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-na-aljeria-pambano-la-twita/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-na-aljeria-pambano-la-twita/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:04:35 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Algeria]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Sport]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=673</guid>
		<description><![CDATA[Katika sehemu nyingi duniani, hakuna linalounganisha zaidi – au wakati mwingine kutenganisha – zaidi ya pambano la mpira wa miguu. Washabiki wa Misri na Aljeria, katika ulimwengu wote wa Waarabu na zaidi, walilidhihirisha hilo Jumamosi hii wakati timu zao zilipokwenda sambamba wakati wa kuwania kuingia fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/jillian-york/">Jillian C. York</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/egypt-vs-algeria-the-twitter-match/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Katika sehemu nyingi duniani, hakuna linalounganisha zaidi – au wakati mwingine kutenganisha – zaidi ya pambano la mpira wa miguu. Washabiki wa Misri na Aljeria, katika ulimwengu wote wa Waarabu na zaidi, walilidhihirisha hilo Jumamosi hii wakati timu zao zilipokwenda sambamba wakati wa kuwania kuingia fainali za Kombe la Dunia huko Afrika Kusini. Wakati vihoro vilipanda juu huko mjini Cairo, pia vilikuwa hai na katika hali nzuri kwenye uwanja yakini mtandaoni, pamoja na kwenye <a href="http://twitter.com/">Twita</a>, ambako watumiaji walitaarifu kuwa skrini zao zilijaa hisia za mpira. Mtumiaji wa Twita <em><a href="http://twitter.com/mbaa">mbaa</a></em> alituma picha ya skrini yake, ambayo ilifurika mazungumzo ya pambano hilo:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/mbaa2.jpg" title="mbaa" class="aligncenter" width="535" height="410" /></p>
<p>Ujumbe wa twita kutoka kwa Mmisri <em><a href="http://twitter.com/embee">embee</a></em> <a href="http://twitter.com/embee/status/5718935256">ulionyesha</a> ushabiki uliokithiri wa baadhi ya washabiki:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/embee-status-5718935256-300x113.PNG" title="embee-status-5718935256" class="aligncenter" width="300" height="113" /></p>
<p>Baadhi ya taarifa zinadai kuwa tiketi zote zimekwishauzwa hivi sasa! Wakati huo huo, Mmisri <em><a href="http://twitter.com/norayounis">NoraYounis</a></em> <a href="http://twitter.com/norayounis/status/5718108814">alielezea kutoamini</a> kwake katika nguvu ya kuunganisha ya mpira wa miguu kwa Wamisri:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/NoraYounis-status-5718108814-300x152.PNG" title="NoraYounis-status-5718108814" class="aligncenter" width="300" height="152" /></p>
<p><a href="http://twitter.com/nohaatef/status/5718339271">Ujumbe wa twita</a> wa Mmisri <em><a href="http://twitter.com/nohaatef">NohaAtef</a></em>, kwa upande mwingine, ulionyesha vitu vinavyoweza kuinua mioyo katika mpira wa miguu:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/NohaAtef-status-5718339271-300x151.PNG" title="NohaAtef-status-5718339271" class="aligncenter" width="300" height="151" /></p>
<p>Katika mifano mingi, mpira wa miguu ulichimbua ushindani wa kitaifa. Waaljeria na Wamisri walikwenda kichwa kwa kichwa kwenye twita wakati pambano likiendelea. Mmisri <em><a href="http://twitter.com/sandmonkey">Sandmonkey</a></em> <a href="http://twitter.com/sandmonkey/status/5714575409">aling’aka</a>: </p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/Sandmonkey-status-5714575409-300x86.PNG" title="Sandmonkey-status-5714575409" class="aligncenter" width="300" height="86" /></p>
<p>Mualjeria-Mmarekani <em><a href="http://twitter.com/themoornextdoor">themoornextdoor</a></em> alijibu mapigo <a href="http://twitter.com/themoornextdoor/status/5715301341">akitania</a>:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/themoornextdoor-status-5715301341-300x124.PNG" title="themoornextdoor-status-5715301341" class="aligncenter" width="300" height="124" /></p>
<p>Mwishowe, Mualjeria <em><a href="http://twitter.com/reemba">reemba</a></em> <a href="http://twitter.com/reemba/status/5717755317">alitukumbusha</a> kuwa mambo bado hayajaisha mpaka yaishe:</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/reemba-status-5717755317-300x147.PNG" title="reemba-status-5717755317" class="aligncenter" width="300" height="147" /></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-na-aljeria-pambano-la-twita/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Misri: Haki ya Kijerumani kwa Marwa El Sherbini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 11:06:45 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arabic]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Germany]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Racism]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=669</guid>
		<description><![CDATA[Muuaji wa Marwa El-Sherbini, mwanamke wa Kimisri ambaye alichomwa visu mpaka kufa na muhamiaji mwenye asili ya Urusi na Ujerumani, Alex Wiens,  ndani ya mahakama huko Ujerumani, amehukumiwa kifungo cha maisha, bila uwezekano wa kuachiwa mapema. Haki hatimaye imetolewa na muuaji anaadhibiwa, wanasema wanablogu wa Misri.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/tarek-amr/">Tarek Amr</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/15/egypt-german-justice-for-marwa-el-sherbini/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Hatimaye, haki imetolewa katika <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/07/06/egyptian-woman-killed-in-german-court-for-being-veiled/">shauri la Marwa El-Sherbini</a>, mwanamke wa Kimisri aliyeuwawa kwa kuchomwa visu na muhamiaji mwenye asili ya Urusi-na-Ujerumani ndani ya mahakama huko Ujerumani. Baada ya karibu miezi mine na nusu, Alex Wiens amehukumiwa kifungo cha maisha, bila ya matarajio ya kuachiwa mapema kabla ya kifungo kumalizika.</p>
<p><em>Bikya Misr</em> <a href="http://bikyamasr.com/?p=5678">ameandika kuhusu kesi hiyo</a>:</p>
<blockquote><p>Baada ya karibu miezi mine na nusu, mkasa wa Marwa el-Sherbini umefikia hitimisho la namna Fulani baada ya mahakama ya Ujerumani kumhukumu kifungo cha maisha bila uwezekano wa kuachiwa mapema mtu aliyemchoma visu “shahidi aliyevaa shela” mara 17 ndani ya mahakama mnamo mwezi Julai. Wamisri, Waarabu na kadhalika Wajerumani wameikaribisha hukumu hiyo na wanatumaini kuwa Ulaya na Mashariki ya Kati zitaanza kupona majeraha ya mauaji hayo na kusonga mbele “kuelekea mustakabali bora zaidi.”</p></blockquote>
<p><em>Hicham Maged </em><a href="http://blog.hichamaged.net/justice-and-stereotype/">ameandika jinsi alivyoridhika na hukumu, na kuwa ana imani na mfumo wa sheria wa Ujerumani</a>:</p>
<blockquote><p>Hakimu alikuwa anazitambua mbinu kadhaa za timu ya utetezi ya muuaji na hapa ninanukuu maneno kwa mujibu wa makala hii: “Aliua… si kutokana na hofu bali kutokana na kisasi. Kwa makusudi alitumia nia njema na udhaifu wake (marehemu). “Ninakubaliana na hili na usisahau kuwa alijaribu pia kumuua mume wake.<br />
Ninafarijika kuwa chumba cha mahakama ambamo usaliti huo ulitokea kimeoshwa kwa mikono na kimaadili kwa kutumia haki. Baada ya hayo, imani yangu kwa mfumo wa sheria wa Ujerumani haupaswi kuelezwa kwani kosa hili lilikuwa ni la kustusha kwetu sote na si kwa Wajerumani pekee. Kwa hivyo basi, ni leo hii Marwa na mwanawe ambaye alikuwa hajazaliwa wanaweza kupumzika kwa amani baada ya malipo kwa muuaji. </p></blockquote>
<p><em>Zeinobia</em> aliifurahia hukumu, naye pia <a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/11/this-is-fair-rule-not-political-rule.html">aliandika kuwajibu wale ambao waliamini kuwa hukumu ile ilikuwa ni ya kisiasa, na kuwa mahakama ya Ujerumani ilitoa hukumu inayomnufaisha Marwa ili kuwaridhisha Wamisri na Waarabu</a>:</p>
<blockquote><p>Sasa nataka kusema jambo, baadhi ya wabaguzi “na si wachache duniani hivi sasa”, watasema kwamba uamuzi huu ni wa kisiasa; ambao mahakama ilibidi iuchukue ili kushinda mioyo na fikra za Waislamu duniani na kuokoa maslahi ya Ujerumani katika ulimwengu wa Kiislamu.<br />
Naam, kwa heshima yangu yote nilikwishasema hapo awali na nitasema tena; usimfikirie Marwa kama mwanamke wa Kiislamu; mfikirie kama mwanamke mjamzito na mama ambaye kwa yakini alichomwa visu mara 18 mbele ya mwanawe mdogo wa kiume. Aliua roho mbili, roho zisizo na hatia kwa sababu ya chuki isiyoona pamoja na ubaguzi. Anastahili kuwa jela kwa maisha yake yote yaliyobaki kwa kutoa maisha ya roho zisizo na hatia na kuota uhai wa mama kutoka kwa mwanawe.</p></blockquote>
<p><em>Aam Mina</em> kwa upande mwingine aliandika makala, ya <a href="http://voice-of-egypt.blogspot.com/2009/11/blog-post_12.html">kuwakebehi wale wanaoamini katika nadharia za njama na waliokuwa wakitarajia Wajerumani kufanya uamuzi utakaompendelea muuaji</a>:</p>
<blockquote><p>
مش عارف ليه من ساعة الجكم مش سامعين صوت الناس اللي فلقتنا وقت الحادث عن عنصرية الألمان و كرههم للعرب و المسلمين و عن إن القضية هتتظبط و الراجل هياخدله سنة أو سنتين و خلاص و انه الحل الوحيد هو الجهاد و محاربة الغرب الصهيوني الفاسد العلماني الكافر </p></blockquote>
<div class="translation">Sijui kwa nini, tangu kutangazwa kwa uamuzi, sijamsikia yeyote kati ya wale waliokuwa wakiongelea juu Wajerumani na jinsi walivyo wabaguzi, na kuwa wanawachukia Waarabu na Waislamu. Pia walidai kuwa mahakama ingetoa uamuzi uanompendelea muuaji na kuwa atafungwa kwa mwaka mmoja au miwili tu, na kuwa tumaini letu pekee ni kutangaza vita takatifu dhidi ya utawala usio na dini, uliooza, Wakizayonisti, na Wamagharibi makafiri.</div>
<p>Kisha aliandika kuhusu mafundisho mengi ambayo tunapaswa kujifunza kutokana na tukio hili:</p>
<blockquote><p>
دي بعض الدروس المستفادة من الغرب الكافر<br />
١- سرعة العدالة.. جريمة القتل تمت في يوليو ٢٠٠٩ يعني من حوالي ٤ شهور.. ماحتاجناش ٢٠ سنة دراسة للقضية زي ما بيحصل عندنا<br />
٢- عدالة الحكم.. تم تطبيق أقصي عقوبة علي المتهم و هي المؤبد (عقوبة الإعدام غير معمول بيها في القانون الألماني) من دون التمييز ما بين مسلم و مسيحي أو عربي و ألماني.. الكل سواسية أمام القانون </p></blockquote>
<div class="translation">Haya ni baadhi ya mafundisho tunayotakiwa kujifunza kutoka kwa makafiri wa Magharibi:<br />
1.	Toeni haki haraka: Mauaji yalitokea mwezi Julai 2009, yaani, takriban miezi 4 iliyopita, na haikuwachukua miaka 20 kulichambua shauri, kama ambavyo hufanyika hapa.<br />
2.	Haki yenyewe: Muuaji amepokea adhabu ya juu – adhabu ya kifo haimo kwenye sheria ya ujerumani – bila ya kubagua kati ya Muislamu, Mkiristu, Mwarabu au Mjerumani. Wote wako sawa mbele ya sheria. </div>
<p>Na mwisho, <em><a href="http://blog.hichamaged.net/justice-and-stereotype/">Hicham Maged</a></em> aliandika:</p>
<blockquote><p>Kilichotokea kwa Marwa kiwe ni mbiu ya ‘kuamsha’ ambayo itawafanya watu wafanye kazi ili kufanikisha, kwa kukosoa vitendo vilivyozidi mipaka ambavyo vinafanywa dhidi ya watu kutokana na imani zao au rangi na kuelewa tofauti zetu na hii inamaanisha kuzizima imani potofu kutoka kwa yeyote dhidi ya yeyote.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-haki-ya-kijerumani-kwa-marwa-el-sherbini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Ulaya: Siku ya Kimataifa ya Bahari Nyeusi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ulaya-siku-ya-kimataifa-ya-bahari-nyeusi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ulaya-siku-ya-kimataifa-ya-bahari-nyeusi/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 03 Nov 2009 11:47:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bulgaria]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Environment]]></category>
		<category><![CDATA[Georgia]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Romania]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Russia]]></category>
		<category><![CDATA[Science]]></category>
		<category><![CDATA[Turkey]]></category>
		<category><![CDATA[Ukraine]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=504</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Katika Th!nk About It, Adela anaandika kuhusu Siku ya Kimataifa ya Bahari Nyeusi.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/03/zimbabwe-is-tsvangirai-righting-sadcs-wrongs/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Katika <em>Th!nk About It</em>, Adela <a href="http://climatechange.thinkaboutit.eu/think2/post/international_black_sea_action_day/#When:20:43:06Z">anaandika</a> kuhusu Siku ya Kimataifa ya Bahari Nyeusi.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ulaya-siku-ya-kimataifa-ya-bahari-nyeusi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Haiti, Jamhuri ya Dominica: Hali Mbaya Yaongezeka</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/haiti-jamhuri-ya-dominica-hali-mbaya-yaongezeka/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/haiti-jamhuri-ya-dominica-hali-mbaya-yaongezeka/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 28 Oct 2009 11:24:02 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Dominican Republic]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Environment]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Haiti]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=486</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naJanine Mendes-Franco  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Repeating Islands anaripoti kuhusu mauaji ya Wahaiti wanne katika Jamhuri ya Dominica
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/janine-mendes-franco/">Janine Mendes-Franco</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/27/haiti-d-r-escalating-tensions/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><em><a href="http://repeatingislands.com/2009/10/26/dominican-choppers-retrieve-remains-of-4-haitians-arrest-warrants-issued/">Repeating Islands</a> </em>anaripoti kuhusu mauaji ya Wahaiti wanne katika Jamhuri ya Dominica</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/haiti-jamhuri-ya-dominica-hali-mbaya-yaongezeka/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Wanablogu Wa Asia Kusini Na Tuzo Ya Nobeli Ya Amani Aliyopewa Obama</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/wanablogu-wa-asia-kusini-na-tuzo-ya-nobeli-ya-amani-aliyopewa-obama/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/wanablogu-wa-asia-kusini-na-tuzo-ya-nobeli-ya-amani-aliyopewa-obama/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 12 Oct 2009 12:31:53 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bangladesh]]></category>
		<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[India]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Pakistan]]></category>
		<category><![CDATA[South Asia]]></category>
		<category><![CDATA[Sri Lanka]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=368</guid>
		<description><![CDATA[Rais wa Marekani Barack Obama amepokea tuzo mashuhuri ya Amani ya Nobeli leo. Wanablogu na wanaoblogu habari fupi fupi huko Asia kusini wanaelezea maoni yao kuhusu habari hiyo.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/rezwan/">Rezwan</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/09/south-asian-bloggers-on-obama%E2%80%99s-nobel-peace-prize/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><div class="wp-caption aligncenter" style="width: 430px"><img alt="Picha kwa hisani ya http://www.flickr.com/photos/marcn/2174935053/ na imetumika chini ya hati miliki huria " src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/barack-Obama-640x480.jpg" title="Barack Obama" width="420" height="282" /><p class="wp-caption-text">Picha kwa hisani ya http://www.flickr.com/photos/marcn/2174935053/ na imetumika chini ya hati miliki huria </p></div><br />
Rais wa Marekani Barack Obama amepokea tuzo mashuhuri ya Nobeli ya Amani leo. <a href="http://news.bbc.co.uk/2/hi/europe/8298580.stm">Kwa mujibu wa kamati ya Nobeli</a> (Obama) amestahili kupokea tuzo hiyo kutokana na “juhudi zake za kuimarisha diplomasia ya kimataifa na ushirikiano baina ya watu”.</p>
<p>Hili limekuwa ni jambo la kushangaza kwa watu wengi duniani. Kwa nadharia tuzo hii inapaswa kutolewa kwa mtu au shirika lililojihusisha katika kupata ufumbuzi wa mgogoro mrefu wa kijeshi. Lakini kumeshawahi kuwepo na utofauti huko nyuma na Obama ni mmoja wa hali hizo tofauti kwani alianza kazi ya urais baada ya kupendekezwa mwezi Februari.</p>
<p>Gazeti la The New york Times <a href="http://thelede.blogs.nytimes.com/2009/10/09/world-reaction-to-a-nobel-surprise/">limetoa muhtasari</a> wa baadhi ya marejeo ya maoni kutoka duniani kote. Sasa hebu na tuangalie jinsi wanablogu na wale wanaoblogu makala fupi fupi kutokea Asia Kusini wanavyoelezea maoni yao kuhusu habari hii.</p>
<p>Kutokea Bangladeshi, <em><a href="http://bdoza.wordpress.com/2009/10/09/obama-own-nobel-peace-prize-2009-is-it-premature/">An Ordinary Citizen</a></em> haamini na anasema kuwa tuzo hiyo imetolewa kabla ya wakati wake.</p>
<blockquote><p>
Tunazienzi juhudi zake za kuleta amani ambazo huwa anazianzisha tu na bado tunasubiri matokeo.<br />
Je si kweli kwamba muda bado haujafika kwake kuipokea tuzo hiyo? Hatuna hakika ni kwa jinsi gani (tuzo hii) itaathiri mtazamo wake.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa India <a href="http://churumuri.wordpress.com/2009/10/09/churumuri-poll-does-obama-deserve-nobel/">Churumuri</a> anayo maswali kadhaa rahisi:</p>
<blockquote><p>Je Obama anastahili tuzo hii? Je amefanya jambo lolote linaloihalalisha? Je kwa kumpa kijana mbichi kama huyu, wakati wa uchanga wa urais wake, kunawashusha hadhi wale wote waliofanya kazi ngumu na kwa muda mrefu ili kuipokea? Au haidhuru chochote, kwani tuzo ya Nobeli ni tuzo ya kisiasa aliyopewa Yasser Arafat na Menanchem Begin? (kama vile ambavyo yeyote aliyewahi kusoma The Prize kilichoandikwa na <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Irving_Wallace">Irvin Wallace</a> anaweza kufahamu)</p></blockquote>
<p>Na bado kutokea India, <a href="http://zoooni.blogspot.com/2009/10/obama-n-his-nobel-win.html">Zooni </a>ni mshabiki wa Obama, lakini ameshangazwa pia:</p>
<blockquote><p>Ok kabla haujafikiria vibaya mimi si kati ya wale wanaomchukia Obama… ninampenda vilivyo, nimeandika makala ya kumpongeza kwa ushindi wake wa urais, je ameshinda nini na kwa sababu ipi, alikuwa kazini kwa wiki 2 tu wakati alipopendekezwa (mapendekezo yalikoma tarehe 1 Februari). Nadhani Obama alishinda tuzo kutokana na kampeni yake kabambe!</p></blockquote>
<p>Kutokea Pakistan, <em>Temporal</em> wa blogu ya <em>Baithak</em> <a href="http://baithak.blogspot.com/2009/10/nobel-peace-prize-2009-obama-gets-what.html">amekuwa mkali kidogo katika maoni yake</a>:</p>
<blockquote><p>Mwaka huu unaweza ukawa ndio mwaka ambao utaashiria kuanza kushuka kwa tuzo ya Nobeli. Wanakamati walikuwa wanakula au kuvuta kitu gani?</p>
<p>Rais Obama anaweza kustahili tuzo hii katika miaka ijayo. Lakini sio katika wakati huu. Ndio kwanza  ameanza jitihada na  ado hajaacha alama yake kwenye amani ya dunia.</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa Ki-Sri Lanka <em>Indi.ca</em> <a href="http://globalvoicesonline.org/2009/10/09/south-asian-bloggers-on-obama%E2%80%99s-nobel-peace-prize/Indi.ca%20http://indi.ca/2009/10/obamas-nobel-peace-prize/">anafikiri kuwa</a> tuzo hii itamuumiza Obama nyumbani (Marekani):</p>
<blockquote><p>Nafikiri kuwa Obama ni mtu muungwana zaidi anayetembea katika uso wa dunia hii leo. Hata hivyo, sidhani kama ameshafanya kile ambacho anataka kukifanya. Nobeli inaweza kumsaidia kinadharia, lakini inaweza kumuumiza nyumbani (Marekani). </p></blockquote>
<p>Wanaondika blogu fupi fupi duniani kote walikuwa wametingwa leo kwa kuelezea mshangao na kutoamini baada ya kuzisikia habari. Yafuatayo ni baadhi ya maoni kutoka kwa watumiaji wa Twita wa Asia Kusini:</p>
<blockquote><p><a href="http://twitter.com/vijaysankaran">@vijaysankaran</a>: Tuzo ya nobeli sasa imekuwa kama <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Bharat_ratna">Bharat Ratna</a>… inahusu wewe ni nani, na siyo ulichokifanya-)</p>
<p><a href="http://twitter.com/tantanoo">@tantanoo</a>: kwa hiyo Bush alitangaza vita, Obama anaomba amani na kushinda tuzo ya Nobeli. Mahesabu mazuri.</p>
<p><a href="http://twitter.com/santhemant">santhemant</a>: “rais wa Marekani Obama apokea tuzo ya Amani kwa kuendesha VITA sehemu nyingi.. kwa kuiunga mkono Pakistani na kupuuza nchi za kidemokrasia kama vile India.</p>
<p><a href="http://twitter.com/saniakhan">saniakhan</a>: sijui kama naweza kuunga mkono ushindi wa Rais Obama wa Tuzo ya Nobeli huku kukiwa na ndege za kivita za drones huko Pakistan bado zikiendelea kupiga.</p>
<p><a href="http://twitter.com/YusufKhan">YusufKhan:</a> Guantanamo bado iko wazi, ndege za drone bado zinaangusha mabomu huko Pakistani, vita bado vinaendelea huko Iraq/Afghanistan, na bado Obama anashinda tuzo ya Amani ya Nobeli. Yay.</p>
<p><a href="http://twitter.com/TinyToots">@TinyToots</a>: mimi pia ninahitaji Tuzo ya Amani ya Nobeli. Kila siku ninajiepusha na kuwafanyia fujo watu wengi. Kwa nini hakuna mtu anayenipendekeza?</p>
<p><a href="http://twitter.com/OldmonkMGM">@OldmonkMGM</a>: mchague mtu asiyefanana na wengine: Dalai Lama, Mother Teresa, Martin Luther King, Barack Obama.</p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/wanablogu-wa-asia-kusini-na-tuzo-ya-nobeli-ya-amani-aliyopewa-obama/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Korea: Ziara ya Clinton Korea Kaskazini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/korea-ziara-ya-clinton-korea-kaskazini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/korea-ziara-ya-clinton-korea-kaskazini/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 12 Aug 2009 05:20:34 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Breaking News]]></category>
		<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Korean]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[South Korea]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=292</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naHyejin Kim  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Habari ya kushangaza. Kwa ghafla, Clinton alizuru Korea ya Kaskazini na kama vile 007 aliwarudisha nyumbani wanahabari wawili wa kike ambao walikuwa wameshikiliwa nchini Korea Kaskazini. Kuhusiana na habari hii ya ghafla, hakuna habari zilizowekwa kwenye vyombo vya habari [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hyejin-kim/">Hyejin Kim</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/08/06/korea-clinton\\\\\\\'s-visit-to-north-korea/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Habari ya kushangaza. Kwa ghafla, Clinton alizuru Korea ya Kaskazini na kama vile 007 aliwarudisha nyumbani wanahabari wawili wa kike ambao walikuwa wameshikiliwa nchini Korea Kaskazini. Kuhusiana na habari hii ya ghafla, hakuna habari zilizowekwa kwenye vyombo vya habari vya umma vya Korea na hata kwenye maoni ya wanablogu. Zifuatazo ni makala chache.</p>
<p><a href="http://bbs1.agora.media.daum.net/gaia/do/debate/read?bbsId=D003&#038;articleId=2939565&#038;RIGHT_DEBATE=R5">1:</a></p>
<blockquote><p>Rais wa Zamani wa Marekani Clinton alizuru Korea Kaskazini kwa ghafla na kuishangaza dunia nzima. Pengine Marekani ilikuwa na hii karata tayari katika mikono yake, lakini ilitumia karata nyingine. Kwa ghafla, Korea ambayo ilikuwa ikisisitiza ‘hatua dhabiti za kukabiliana’ iligeuka. Kwa hiyo, Korea Kaskazini itasisitizia zaidi ‘mazungumzo na Marekani pamoja na kuizuia Korea ya Kusini’ na hivyo mazungumzo baina ya Korea Kaskazini na Marekani yataweza kuanza.<br />
Japokuwa ilikuwa ni ziara binafsi, Clinton ni rais wa zamani wa Marekani, na mkewe ni katibu wa sasa wa mambo ya nje. Kwa hiyo ni sawa tu na mazungumzo ya kiserikali. Ni wazi, kuwa kulikuwa na uharaka wa kuwaokoa ‘mateka’ wale wawili na kuwarudusha Marekani. Wakati Hilary alipotaka ‘warejeshwe’, mchakato ungeliweza kuanza.  Alitaka ‘warejeshwe’ tofauti na kutaka ‘waachiwe mara moja’ kama sharti la kulitazama upya suala Korea.</p>
<p>Pengine muda wa kuuliza ni kwa jinsi gani Clinton aliweza kuzuru Korea Kaskazini umepita. Nadhani (ziara hiyo) ilikuwa imepangwa kwa kitambo. Ni mbinu ya kidiplomasia ambayo chama cha Demokrati imetumia katika utamaduni wake. Carter alizuru Korea Kaskazini baada ya mgogoro wa Silaha za Nyuklia wa mwaka 1994 na Madeleine Albrigyt pia alizuru Korea Kaskazini mwaka 2000. Dhahiri, mahusiano baina ya Korea Kaskazini na Marekani yaliboreshwa. Lakini baada ya Bush hali imebadilika sana. Japokuwa chama cha Demokrati kilitawala, hali imekuwa mbaya kutokana na hali ya kisiasa ya Korea Kusini. […]</p>
<p>Kabla ya mlolongo wa matukio haya, tulikuwa na fursa kadhaa za kutatua matatizo haya sisi wenyewe. Lkakini kutokana na sera kidiplomasia sizizojali za serikali mpya mafanikio yote ambayo tuliyapata yamegeuka sifuri na tumejikuta katika hali ya mgogoro. Sijui ni nini tulichopata, lakini jambo moja lipo wazi. Kuanzia sasa na kuendelea, nina hakika kuwa hatuna uwezo wa kufanya majadiliano ya amani ya kupunguza silaha. Tutakuwa tunaburuzwa na Korea kaskazini pamoja na Marekani. […]</p></blockquote>
<p><a href="http://bbs1.agora.media.daum.net/gaia/do/debate/read?bbsId=D115&#038;articleId=741595">2:</a></p>
<blockquote><p>Ili kuwaokoa watu wao, rais wa zamani hakusita kwenda kwenye makao ya adui. Lakini ni nini serikali yetu ilichofanya? Kwa kupitia njia za ain azote za kidiplomasia, walifanya juhudi za kuwaokoa salama. Lakini je serikali yetu inafahamu kuwa Bw. Yoo na mabaharia wa meli ya Yeonan wapo hai au ni dhiki kiasi gani inayowakabili sasa? Ikilenga jumuiya ya kimataifa, Korea Kaskazini mar azote hutumia mbinu za kutisha, lakini serikali (yetu) huangalia tu huku imekunja mikono. Na kwa kuongeza, tunapaswa kuikemea vikali Korea kaskazini kwa kukiuka haki za binaadamu bila ya sababu zozote. Serkali isimuangalie tu rais wa zamani Clinton na ibadilkishe mtazamo wetu kwa vitendo. Pia inatupasa tufikirie kufunga kanda ya viwanda ya Kaesong kama uhusiano wetu hautaboreshwa.</p></blockquote>
<p><a href="http://100ja.tistory.com/265">3:</a></p>
<blockquote><p>[…] Nilipotazama habari asubuhi hii, nilisisimka. Clinton alikwenda Pyongyang peke yake. Nilitumaini hie hivyo wakati wa utawala wake. Nilitumaini hili lingefanyika wakati wa utawala wa Bush. Nilifikiri baada ya Obama uhusiano kati ya Korea Kaskazini na Marekani ungekuwa tofauti, lakini hilo halijatokea bado. Mgogoro wa vita katika bahari ya Magharibi unapelekea kuwa mgumu zaidi na waltu wanaofanya kazi katika taasisi za muungano wako jela. Katika hali hii ya kukata tama, mara Clinton alizuru Korea Kaskazini. </p>
<p>Ningependa kumshukuru Clinton kwanza. Sikufurahia kuhusu mke wake ambaye kila mara huiongelea vibaya korea kaskazini. Baada ya simulizi kadhaa, hatimaye aliwasili mjini Pyongyang na ninamshukuru kwa hilo. Natumaini atawachukua wanahabari wale wa kike na pia atavichukua vita baridi pamoja naye. Natumaini atachukua pia migawanyiko. Inaonekana kuwa serikali ya Korea ilifahamu juu ya ziara ya Clinton. Na katika siku hiyo hiyo, wanateketeza Kiwanda cha magari cha Ssangyong. Inanuka. […] Nasikia kuwa atarejea keshi. Anga mjini Seoul lina mawingu na kuna joto. Natumaini kuwa anga la Pyongyang ni angavu. Natazamia mvua, mvua ya amani na mvua ya muungano…  </p></blockquote>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/08/korea-ziara-ya-clinton-korea-kaskazini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kameruni: Wanablogu Waijadili Hotuba ya Obama Ghana</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/kameruni-wanablogu-waijadili-hotuba-ya-obama-ghana/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/kameruni-wanablogu-waijadili-hotuba-ya-obama-ghana/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Jul 2009 14:22:53 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Cameroon]]></category>
		<category><![CDATA[Development]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Ghana]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=243</guid>
		<description><![CDATA[Rais wa Marekani Barack Obama alitoa hotuba yake Ghana ambayo inaweza kuchukuliwa kuwa kama hotuba ya sera yake ya Afrika. Wakameruni wa nyumbani na wale wa ughaibuni wamekuwa wakijadili maneno yaliyotamkwa na Kiongozi wa Marekani mwenye asili ya Afrika kwa kupitia ulimwengu wa blogu.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/george-esunge-fominyen/">George Esunge Fominyen</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/07/13/cameroon-bloggers-react-to-obamas-ghana-speech/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Rais wa Marekani Barack Obama alitoa hotuba yake Ghana ambayo inaweza kuchukuliwa kuwa kama hotuba ya sera yake ya Afrika. Wakameruni wa nyumbani na wale wa ughaibuni wamekuwa wakijadili maneno yaliyotamkwa na Kiongozi wa Marekani mwenye asili ya Afrika kwa kupitia ulimwengu wa blogu.</p>
<p>Hotuba yote ilichapishwa kwenye blogu ya <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html"> Up Station Mount Club</a> ambayo ni maarufu sana kwa wanablogu wa Kikameruni wanoblogu kwa Kiingereza. Maoni yanatoa picha ya kuwa watu wameikubali hotuba hiyo angavu lakini wana wasiwasi na kauli tamu.</p>
<p><em>Augustine S</em>, Mkameruni anayeishi Kanada <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef011571006f4e970c#comment-6a00d8341c824e53ef011571006f4e970c">anaonekana kuridhishwa na hotuba hiyo iliyokemea ufisadi</a> moja kwa moja pamoja na utawala mbovu lakini anataka zaidi:</p>
<blockquote><p>Hotuba ilitolewa vizuri. Ilizidi matarajio. Alizungumzia ufisadi na Utawala mzuri, ndicho ambacho nilipenda kukisikia. Viongozi wa Afrika wanakuwa kikwazo cha maendeleo ya nchi zao. Ninatamani Uongozi wake uende mbele zaidi kuwaumbua viongozi mafisadi wa Kiafika, uwaadhibu kwa kushikilia mali zao na kuwazuia wao na familia zao kusafiri. Obama ni aina ya kiongozi tunayemuhitaji katika dunia ya leo.</p></blockquote>
<p>Bado akiwa kwenye  suala la kupambana na rushwa na ufujaji wa viongozi wa Afrika, <em>Oyez</em> ana <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef011571f64455970b#comment-6a00d8341c824e53ef011571f64455970b">ushauri kwa viongozi wa Magharibi kama Obama</a>:</p>
<blockquote><p>Ni mambo mawili tu yanahitajika, na tutafika mbali:<br />
1) Wanyimeni Viongozi wa Kiafrika, na familia zao na maswahiba wao haki ya kuwa na akaunti za benki na mali ya aina yoyote nje ya nchi.<br />
2) Wazuieni watawala wa Afrika kupata matibabu aina yoyote nje ya Afrika. </p>
<p>Hayo ni masuala mawili pekee tunayoomba Wamagharibi wayafanye, na sisi tutayashughulikia yaliyobaki. </p></blockquote>
<p>Maoni yaliyoachwa hapo na <em>Nnokko Johnson</em> <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef01157103790d970c#comment-6a00d8341c824e53ef01157103790d970c">yanaisogeza hotuba ya Obama mlangoni mwa Kamerun</a>i kwa kumkumbusha Rais wa nchi hiyo, Paul Biya, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1982 na mwaka 2008 alibadili katiba ili kuondoa ukomo wa vipindi vya Rais kukaa madarakani:</p>
<blockquote><p>Afrika haiwahitaji viongozi wababe, inahitaji taasisi shupavu.<br />
Bw. Biya tafadhali iangalie sana sentensi hii na ujifunze, hatusemi uondoke, lakini tunahitaji taasisi zenye nguvu, tafadhali, tafadhali…  </p></blockquote>
<p>Hatahivyo, kwa kusoma maoni mengi yaliyowekwa pale, mtu anaweza kuondoka na wazo kuwa Wakameruni wanaiona hotuba ya Obama kama “mazungumzo mazuri” ambayo hayawezi kuwatatulia matatizo yao. <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef01157100a2e6970c#comment-6a00d8341c824e53ef01157100a2e6970c">Emmanuel anasema</a>: </p>
<blockquote><p>Mbio za nyumbani <em>(goli la kisigino)</em>. Sema, sema, sema, mambo ya kizamani, yasiyosaidia. Ni lazima muwe wawili ili kucheza tango, na Waafrika ni wazembe kusikiliza mihadhara inayohusu ufisadi kutoka kwa  kiongozi wa Ufisadi wa kiuchumi, kimaadili, na kisiasa; ilihitaji watu wawili kuendesha biashara ya utumwa, ukoloni, na sasa kwenye kipindi hiki kipya cha “Ushirikiano.” Angalia, haya mazungumzo ya “ushirikiano” ni uwongo. Ni walio sawa kiukweli, na sio waliosawa kinadharia ndio wanaoweza kuingia katika ubia. </p></blockquote>
<p><a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef011571014b69970c#comment-6a00d8341c824e53ef011571014b69970c">Reex anaongeza</a>:</p>
<blockquote><p>Hayo hayo…Ninajiuliza ni lini watu wataapocha kuamini na kuanza kutenda… Hatuhitaji hotuba za matumaini na ahadi –zinazopumbaza watu, kwamba matatizo yao yatatatuliwa –wategemee utatuzi. Mgogoro wa kifedha ulipoikumba Marekani, rais alisema hayo hayo kuhusu wajibu wa Wamarekani kuchukua majukumu… Lakini jamani, Wamarekani wengi hawana mamlaka na utawala wa maisha yao ya kifedha, hawawajibiki kabisa na na anguko la kiuchumi, lililotengenezwa na genge la waroho wa benki…<br />
Naam, Hotuba za Obama huandikwa vizuri na wafanyakazi wanaojua vyema kufanya kazi ya kuleta matumaini. Nini kingine tukitazamie kutoka kwake? Hotuba zinazotoka moyoni kuhusu mambo ya halisi yanayoikabili dunia yetu ya sasa? </p></blockquote>
<p>Mtiririko wa mawazo unaonekana kuwa huo, ni suala la Waafrika kutatua matatizo yao wenyewe. <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef011571014b69970c#comment-6a00d8341c824e53ef011571014b69970c">Kama Reex anavyosema</a>,</p>
<blockquote><p>…hebu Waafrika na tutafute masuluhisho yetu. Tunaweza baadae kumwalika Obama kula nasi mahindi ya kuchoma na karanga karibu na moto na kujadili siasa zenyewe –siyo mambo kitaaluma ya Ivy League wala mazungumzo ya kinafiki yanayoonyeshwa na Wamagharibi, zile hotuba zingeweza kuhifadhiwa kwa ajili ya nyakati nyingine, ambapo kila tumbo lenye njaa Afrika litakuwa limeshibishwa!</p></blockquote>
<p>Maoni ya mtembeleaji anayeitwa <em>Isat</em> <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/text-of-obamas-speech-in-ghana.html?cid=6a00d8341c824e53ef011571f6ec12970b#comment-6a00d8341c824e53ef011571f6ec12970b">hayana diplomasia</a>: </p>
<blockquote><p>
Tunachotakiwa kukitunza kama kikumbushi ni maneno haya: “Mustakabali wa Afrika uko kwa Waafrika wenyewe.<br />
Halafu angalia: Obama si Mwafrika. Babu yake aliyewapikia Waingereza na baba yake walikuwa Waafrika. Yeye ni Mmarekani na anatetea maslahi ya nchi yake –haijalishi nyimbo ngapi tunaimba kumsifia.<br />
Man wey yi get ear make yi hear.[msemo wa Kikameruni maana yake: neno kwa mwenye hekima linatosha]</p></blockquote>
<p>Blogu ya pamoja ya Up Station Mountain Club, pia ina makala nyingine  - Barack Obama akiwa Afrika: <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/president-obama-in-africa-beyond-yes-we-can-yes-we-must.html#more">“Zaidi Ya Ndio Tunaweza”, ndio tunalazimika</a>, kutoka kwa mwanablogu wa Kikameruni <a href="http://agendiaaloysius.blogspot.com/">Aloysius Agendia</a> anayewasihi Waafrika wafanye mabadiliko:</p>
<blockquote><p>
Ndio, Afrika inaweza kufanya mapinduzi dhidi ya uongozi potofu wa sasa na mipango yao isiyoeleweka ambayo imelisababishia bara zima umasikini. Zaidi ya ndio, tunaweza, ndio, ni lazima tufanyie kazi mabadiliko yanayosemwa ili kwenda mbele.</p></blockquote>
<p>Blogu hii ina vionjo vya mirindimo vya ziara hii kama <a href="http://www.postnewsline.com/2009/07/tata-kinge-a-shout-out-to-barack-from-mount-fako.html">video</a> inayomwonyesha mwanamuziki wa Kikameruni akimshabikia Barack Obama kwenye uchaguzi imewekwa pale. Wimbo ulitolewa na <a href="http://www.myspace.com/tatakingue">Tata Kingue</a> kabla tu ya kuapishwa kwa Obama mwezi Januari 2009 na <a href="http://www.gefominyen.com/2009/01/singing-barack-obama-in-cameroon.html">Gef’s Outlook</a> imetoa tafsiri kidogo pale.</p>
<p><a href="http://www.youtube.com/watch?v=od8gXO-beB8">Wimbo wa Kameruni kwa Barack Obama</a></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/07/kameruni-wanablogu-waijadili-hotuba-ya-obama-ghana/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
