· Aprili, 2014

Habari kuhusu Mawazo kutoka Aprili, 2014

Hedhi Sio Siri ya Aibu. Tuzungumzie Siku Zetu kwa Uwazi

  26 Aprili 2014

“Kwa nini wanawake hawapendi kuzungumzia hedhi?” anauliza Sourav Kumar Panda kwenye tovuti ya Youth Ki Awaaz na anaendelea kujadili/a> kuwa kwenye siku hizi na zama za leo, kuendelea kuifanya hedhi kuwa suala la kuficha haina maana -wakati umefika kwetu kuvunja kimya na kuacha woga wa mila za jamii zetu kuhusiana...

Uchaguzi Mkuu wa India 2014: Kampeni Kwenye Mitandao ya Kijamii

  8 Aprili 2014

Mitandao ya kijamii imekuwa ni sehemu ya ugunduzi na ubunifu. Milind Deora [Waziri wa Muungano na Mbunge wa Mumbai Kusini] anatamba kuwa mgombea wa kwanza kupatikana kwa wapiga kura wake kwenye mtandao wa WhatsApp na BBM, na huko anajadili mpango kazi wake ikiwa ni pamoja na shughuli zake na mipango...