Habari kuhusu Haki za Binadamu
TAZAMA: Mazungumzo na Jillian C. York kuhusu kitabu chake kijacho “Silicon Values”
Ulikosa kipindi mubashara cha Global Voices Insights tulipozungumza na mwandishi na mwanaharakati Jillian C. York? Sikiliza marudio hapa.
Jinsi Mauaji ya Mwanamuziki Hachalu Hundessa Yalivyochochea Uvunjifu wa Amani Huko Ethiopia: Sehemu Ya I
Baada ya mauaji ya Hachalu Hundessa, Ethiopia inapambana kutuluza vurugu zilizotokea baina ya makundi ya kikabila na kidini.
Ukeketaji Waongezeka Mashariki ya Kati Katika Kipindi cha Mlipuko wa Mlipuko wa COVID-19
Janga hili limetibua mikakati ya kuzuia ukeketaji huko Mashariki ya Kati ambapo suala hili linaripotiwa kwa uchache sana.
Mnigeria Abubakar Idris Dadiyata Bado Hajapatikana, Ni Mwaka Mmoja Sasa Baada Ya Kutekwa
“Jinsi gani Dadiyata anaweza kupote kwa mwaka mzima ndani ya Nigeria na serikali haina wasiwasi na jambo hili, zaidi inatafuta kujiosha badala ya kuwajibika kumtafuta?”
Machapisho Katika Kurasa za Facebook Zachochea Ongezeko la Watu Kukamatwa Huko Bangladesh, Wavuti Waingiwa na Wasiwasi
Watu wawili walikamatwa Mei 14 na 15, kwa sababu ya maoni waliyobandika Facebook. Kukamatwa kwao kumeamsha hasira na wasiwasi katika mitandao ya kijamii huko Bangladesh.
Makubaliano Ya Amani Ya Kihistoria Nchini Sudani Yafanyika Kukiwa na Mafuriko Ya Kihistoria
Makubaliano ya amani ya Kihistoria ya vikundi vya waasi Sudani yamefanyika kukiwa na mafuriko ya Kihistoria yaliyosababisha majanga. Nini hasa mkakati wa serikali kuyarahisisha maisha?
Rais Wa Umoja Wa Wanafunzi Wa Thailand Akamatwa Kwa Kushiriki Maandamano Ya Kuipinga Serikali
“Rangi inaweza kusafishwa, lakini hauwezi kusafisha uonevu.”
Waandishi wa habari wanawake nchini Uganda wanabeba ‘mzigo maradufu’ kutokana na mashambulizi ya mtandaoni pamoja na udhalilishaji
Waandishi wa habari wanawake nchini Uganda wanaubeba mzigo maradufu wa dhuluma inayotokana na jinsia mtandaoni ikiwa ni pamoja na vitisho vinavyohusiana na kuripoti taarifa za kisiasa. Vitisho hivi vinavyoendelea vimesababisha waandishi wa habari wanawake kujiondoa kwenye nyuga za umma.
Serikali ya Zimbabwe yaendelea kutumia habari za mtandaoni kama silaha ya kukandamiza haki za raia
Serikali mpya, iliyoongozwa na Emmerson Dambudzo Mnangagwa,iling’amua mara nguvu ya mitandao ya kijamii. Kama waziri wa zamani wa usalama wa nchi, Mnangagwa pia alitambua umuhimu na nafasi ya upotoshaji taarifa katika nyanja za kisiasa za Zimbabwe.
Je, Uganda itazima intaneti kadiri upinzani unavyozidi kuwasha moto kuelekea uchaguzi mkuu wa 2021?
Wakati uchaguzi wa 2021 unapokaribia, kuna uwezekano mkubwa kuwa utawala wa Uganda utaendeleza ukandamizaji wa wapinzani, ikiwa ni pamoja na kufunga mitandao ya kijamii.