<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Global Voices in Swahili &#187; Governance</title>
	<atom:link href="http://sw.globalvoicesonline.org/category/topics/governance/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://sw.globalvoicesonline.org</link>
	<description>Dunia inaongea, je unasikiliza?</description>
	<lastBuildDate>Wed, 02 Dec 2009 12:35:07 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.8.4</generator>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
			<item>
		<title>Brazil: Mtazamo wa Wakazi wa Vitongoji Maskini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 23 Nov 2009 11:21:58 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Americas]]></category>
		<category><![CDATA[Brazil]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Media]]></category>
		<category><![CDATA[Photos]]></category>
		<category><![CDATA[Portuguese]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=716</guid>
		<description><![CDATA[Katika makala hii, tunasikia mitazamo ya wanahabari raia kutoka mradi wa Viva Favela kuhusiana ya vurugu inayotokana na mihadarati huko Rio de Janeiro na jinsi inavyofagia makazi ya walalahoi, kama wanavyoiona mbele ya milango ya nyumba zao.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/diego-casaes/">Diego Casaes</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/01/brazil-a-view-from-slum-dwellers-on-rios-drugs-war/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Wiki iliyopita, picha za vita kati ya wasafirishaji na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya mjini Rio de Janeiro zilitapakaa duniani. Tarehe 17 Oktoba, mapambano kati ya magenge yanayotokea vilima vya Morro Sao Joao na Morro dos Macacos yaliwatisha watu. Mamia ya askari wa jimbo walipelekwa katika juhudi za kudhibiti magenge hayo yanayoshindana lakini haikusaidia: ugomvi kati ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya na polisi yalipelekea kutunguliwa kwa helikopta ya polisi na vifo vya polisi watatu, na kuchukua maisha ya zaidi ya watu 30 wengine, miongoni mwao wakiwemo watu wanaotuhumiwa kuwa wanachama wa magenge na wapiti njia. </p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 610px"><img alt="Wakati helikopta inalipuka. Picha na Taiane Oliveira kwenye Twitpic." src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/36736952.jpg" title="The moment the helicopter exploded. Photo by Taiane Oliveira On Twitpic." width="600" height="450" /><p class="wp-caption-text">Wakati helikopta inalipuka. Picha na Taiane Oliveira kwenye Twitpic.</p></div>
<p>Blogu ya <em><a href="http://inblogs.com.br/censurado/">Censurado</a></em> inaukosoa mtizamo wa gavana katika mgogoro huu, baada ya kusikia habari zinazoashiria kuwa <a href="http://inblogs.com.br/censurado/politicanacional/carnaval-fora-de-epoca-no-rio-de-janeiro-chove-bala-rio-2016-socorro-ja">polisi hawakujua chochote juu a uvamizi</a>:</p>
<blockquote><p>Vocês viram as cenas na televisão este fim de semana? Helicóptero caindo, policial morrendo queimado, inocente metralhado nas ruas e traficante invadindo a favela do outro em plena luz do dia, uma verdadeira cena de filme de guerra. Dizem no Rio que até o serviço secreto israelense sabia que um morro atacaria o outro, mas mesmo assim o governador Sérgio Cabral diz que a policia carioca não sabia de nada? Acho que ele anda passando muito tempo com o Lula. Só isso explica essa ‘ignorância&#39; sobre o tema.</p></blockquote>
<div class="translation">Je uliiona habari katika televisheni mwishoni mwa juma hili? Helikopta akianguka, polisi wanaungua moto, watu wasio na hatia wanapigwa kwa risasi mitaani na wauza madawa ya kulevya wakivamia vitongoji vya wauzaji wengine mchana kweupe; kama picha kutoka kwenye sinema ya vita. Mjini Rio, watu wanasema kuwa hata shirika la kijasusi la Israel lilikuwa linafahamu kuwa wauza madawa ya kulevya wangeeenda kuwashambulia wauzaji wengine, lakini bado gavana Sergio Cabral alisema kuwa polisi wa carioca walikuwa hawafahamu lolote? Nadhani anatumia muda mwingi na [rais wa Brazil] Lula. Hiyo ndiyo sababu pekee ya “kutokufahamu kwake” juu ya suala hili.</div>
<p>Mwanablogu <em><a href="http://anamvc.blogspot.com/">Ana Maria</a> </em>[pt] anasema kuwa kuitungua helikopta siyo kazi rahisi na kuonyesha kuwa huu unaweza ukawa ni mwanzo tu. <a href="http://anamvc.blogspot.com/2009/10/desespero-do-trafico.html">Anasema</a>[pt]:</p>
<blockquote><p>Mas os senhores do tráfico, donos dos morros cariocas possuem não apenas as armas capazes disso, possuem indivíduos capazes de manuseá-las e causar um desastre como o do sábado.<br />
Isso vai ficar marcado para sempre na memória da PM e do cidadão de bem, morador do estado do Rio de Janeiro.<br />
Se eles podem fazer isso com um helicóptero da polícia tripulado por homens treinados, que dão a vida pela segurança pública, o que podem fazer com o cidadão comum?<br />
Não vou “tapar o sol com peneira”.<br />
As coisas podem piorar.</p></blockquote>
<div class="translation">Sio tu vigogo wa madawa ya kulevya, bali pia wamiliki wa makazi ya masikini katika carioca, wanazo bunduki zenye uwezo wa kufanya jambo kama hilo mikononi mwao, na pia wanao watu waliofundishwa kuzitumia na kusababisha janga kama la Jumamosi iliyopita.<br />
Tukio hili litaacha lama katika kumbukumbu za Polisi na raia wa kawaida, wakazi wa jimbo la Rio de Janeiro.<br />
Kama wanaweza kufaifanyia hivi helikopta inayoendeshwa na watu waliofuzu, ambao wametoa maisha yao ili kutoa usalama kwa umma, je wanaweza kufanya nini kwa raia wa kawaida?<br />
Siwezi “kulificha jua kwa chujio”.<br />
Mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi.</div>
<p><strong><br />
Maelezo ya wakazi juu ya vita vya madawa ya kulevya</strong></p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 410px"><img alt="Mwanamke aliyembeba mtoto anatembea bila kujali mbele ya maofisa wa polisi wanaofanya doria katika Morro dos Macacos" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-010.jpg" title="Macacos-010" width="400" height="300" /><p class="wp-caption-text">Mwanamke aliyembeba mtoto anatembea bila kujali mbele ya maofisa wa polisi wanaofanya doria katika Morro dos Macacos</p></div>
<p>Mradi wa habari wa jamii <em><a href="http://www.vivafavela.com.br/">Viva Favela</a></em> [pt] unatoa <a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46399&#038;sid=87">maelezo ya wakazi walioshuhudia kwa macho ugomvi huu</a>. Waandishi wao wa kiraia – ambao wote wanaishi katika mstari wa mbele wa mapambano – wamekusanya maoni kutoka kwa wakazi wa kwenye maeneo hayo na picha za siku ambayo vita vya madawa ya kulevya vilianza jijini Rio de Janeiro.</p>
<p>Mtu wa kwanza kusikilizwa na <em>Viva Favela</em> alikuwa Hugo Mattos, ambaye anaishi kwenye mtaa ambao ndio njia ya kuelekea kwenye eneo ambalo matukio yalijiri (Morro dos Macacos). Alisema kuwa wauza madawa ya kulevya walitumia bunduki zenye nguvu ya juu na akaongeza kuwa kuna aina fulani ya hofu ya jumla kwamba ikiwa polisi watalichukua tena eneo linalokaliwa na wauza madawa ya kulevya, patazuka machafuko mabaya kama jibu kutoka kundi linalotawala Morro dos Macasos: </p>
<blockquote><p>O tiroteio começou por volta das duas da manhã e só terminou às oito horas, quando a policia chegou. Muita gente teve que dormir fora de casa nesse dia.</p>
<p>As pessoas dizem que ninguém deve sair de casa depois das 10 horas, porque algo pode acontecer.</p></blockquote>
<div class="translation">Kutupiana risasi kulianza kwenye majira ya saa 8 za usiku na kumalizika saa 2 asubuhi wakati polisi walipowasili. Iliwabidi watu wengi walale nje ya nyumba zao usiku ule. Watu wanasema kuwa hakuna anayepaswa kutoka nyumbani kwake baada ya saa 4 za usiku, kwa kuwa lolote linaweza kutokea.</div>
<p>Kwa mujibu wa <em>Viva Favela</em>, taarifa kama hizi huletwa wakati wote kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo, ambao hawana uwezo wa kufanya lolote. Jioni ya Jumanne tarehe 20 Oktoba, wakazi wa Morro Sao Joao waliandamana kutokana na hofu ya kuvamiwa kama majibu (ya wauza madawa walioshambuliwa awali), hofu ambayo ilitajwa kuwa haikuwa na msingi wowote na Mkuu wa jeshi la Polisi, Kanali Mario Sergio Duarte. Hata hivyo, watu walikwishaingiliwa na hofu. Mkazi mwingine wa Morro dos Macacos, Karen Carolina Nascimento anasema kuwa kutupiana risasi kati ya wauza madawa ya kulevya na polisi kumekuwa kukiendelea kwa miezi miwili. Anahofu mgogoro mpya:</p>
<blockquote><p>Já era praticamente uma rotina, mas no último sábado foi diferente. O confronto aconteceu por causa de uma tentativa de invasão e não foi a primeira vez que os traficantes do Morro São João tentam. O comentário que se escuta no morro é que a facção rival deu uma ordem para tomar o Morro dos Macacos até dezembro e que esses bandidos tiveram ajuda de policiais para tentar invadir.</p>
<p>O policiamento não está reforçado e os moradores estão muito apreensivos com medo de uma outra invasão. Eu trabalho no pé do Morro São João e vou para a minha casa andando. Ontem só havia um único carro com dois policiais dentro parado em uma esquina. Em cima do morro não existe policiamento nenhum. Uma vez ou outra um carro blindado sobe e faz uma ronda. Estamos com muito medo porque com certeza a facção rival vai tentar tomar novamente.</p></blockquote>
<div class="translation">[Vita vya Magenge] vimekuwa ni kama kama kawaida, lakini jumamosi hii ilikuwa tofauti. Mgogoro ulianza kwa sababu ya jaribio la kuivamia Morro dos Macacos lililofanywa na wauza madawa ya kulevya kutoka Morro Sao Joao, na hili halikuwa jaribio la kwanza. Neno lililokuwa kwenye kwenye makazi ni kuwa kundi shindani limetoa amri ya kuiteka Morro dos Macacos ifikapo mwezi Desemba na kwamba maofisa wa polisi walikuwa wanawaunga mkono wauzaji hao.<br />
Doria ya polisi haitekelezwi na wakazi wana wasiwasi mkubwa, wanahofia uvamizi mpya. Ninafanya kazi chini ya bonde la Morro Sao Joao na hutembea ninaporudi nyumbani. Jana, kulikuwa na gari moja tu lililokuwa na maofisa wawili wa polisi ndani yake lililoegeshwa kwenye kona. Hakuna doria ya polisi juu kwenye makazi. Mara moja moja kwa nadra gari iliyokingwa (mithili ya gari ya jeshi) huja huku juu na kufanya doria. Tumo kwenye hofu kubwa kwani tuna hakika kuwa kundi shindani litajaribu kulikomboa eneo.</div>
<p><em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46400&#038;sid=87">Viva Favela</a></em> [pt] pia inatoa maoni ya <em>Wagner da Silva de Barros</em>, mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mkazi wa Vila Penheiro kutoka Complexo da Mare, anayesema kuwa athari za mgogoro katika Morro dos Macacos umefika mbali kiasi hiki kwa sababu ya helikopta iliyotunguliwa na anaongeza kuwa vita hii itaenea pia kwenye  jamii nyingine nyingi:</p>
<blockquote><p>A queda do helicóptero e a morte dos três policiais chocou parte da população, mas na Maré, durante cinco meses, nós vivemos um confronto entre facções que matou muita gente, inclusive moradores que nada tinham a ver com o tráfico, e não teve nem metade da divulgação que esse tiroteio dos Macacos está tendo.</p>
<p>Esses tiroteios reforçam de que na favela só existe bandido e violência, mas o que muitas pessoas ignoram é que trabalhadores morrem durante os conflitos e são logo identificados como traficantes pela polícia.</p></blockquote>
<div class="translation">Kuanguka kwa helikopta na vifo vya maofisa watatu wa polisi kulishtua sehemu ya wakazi wa kwenye vitongoji, lakini Mare [vitongoji hivyo vya hali ya chini], kwa miezi mitano, tumeishi katika ugomvi baina ya makundi ambao umeua watu wengi zaidi, pamoja na wakazi ambao hawakuwa na uhusiano wowote na biashara ya madawa ya madawa ya kulevya, na hawa hawakupata hata nusu ya habari zilizotangazwa na vyombo vya habari juu ya mapambano ya risasi katika Morro dos Macacos.<br />
Mapambano haya ya risasi yanasisitiza ukweli kuwa katika maeneo ya maskini (favelas) kuna majambazi na machafuko, ila jambo ambalo watu wengi hawafahamu ni kuwa wafanyakazi hufariki wakati wa machafuko na haraka polisi huwatangaza kama wauza madawa ya kulevya.</div>
<p>Kwa mujibu wa <em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46400&#038;sid=87">Viva Favela</a></em> [pt], katika kesi ya Morro dos Macacos, vijana watatu wa kiume wasio na hatia ambao waliuwawa kwa risasi walijumuishwa kwenye orodha ya majambazi waliouwawa. Katibu wa Usalama Jose Mariano Beltrame alijirudi na kuomba msamaha kwa familia za Marcelo Costa Gomes, 26, Leonardo Fernandes Paulino, 27, na Francisco Haílton Vieira Silva, 24. Walikuwa wanarudi nyumbani kutokea kwenye hafla wakati uvamizi ulipotokea. Kijana wa nne, mhudumu wa hoteli Francisco Alaílton Vieira da Silva, 22, aliokolewa na wakazi na hivi sasa yuko hospitali katika kitengo cha huduma maalum. Mpenzi wake wa kike ni mjamzito wa miezi 3.</p>
<p>Walter Mesquista wa <em>Viva Favela</em> pia <a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=46399&#038;sid=87">anatoa picha za mgogoro huo</a> zilizopigwa na mpiga picha <em>Guillermo Planel</em> siku ambayo watu wanaiita “Vita vya Mihadarati”.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-001.jpg" title="Macacos-001" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-002.jpg" title="Macacos-002" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-003.jpg" title="Macacos-003" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-004.jpg" title="Macacos-004" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-005.jpg" title="Macacos-005" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-006.jpg" title="Macacos-006" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-007.jpg" title="Macacos-007" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-008.jpg" title="Macacos-008" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/Macacos-009.jpg" title="Macacos-009" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos011_trat.jpg" title="macacos011_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos012_trat.jpg" title="macacos012_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/macacos013_trat.jpg" title="macacos013_trat" class="aligncenter" width="400" height="300" /></p>
<p>Kuna mauaji takriban 6,000 kwa mwaka katika jimbo zima la Rio, ambalo lina wakazi milioni 14. Operesheni “Eneza Amani” yenye doria ya kudumu imekuwa ikitekelezwa kwa mwaka mzima katika vitongoji vitano. Ongezeko la uwepo wa polisi vitongojini kunayalazimisha magenge kupigania maeneo mengine.</p>
<p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/viva_favela_logoweb-300x136.jpg" title="viva_favela_logoweb" class="alignnone" width="300" height="136" /></p>
<p><em><a href="http://www.vivafavela.com.br/publique/cgi/cgilua.exe/sys/start.htm?infoid=40489&#038;sid=74">Viva Favela</a> ni mradi wa uanahabari wa kijamii ambao unafanya kazi na wanablogu malum pamoja na wapiga picha ambao wanaishi katika maeneo maskini ya Rio de Janeiro. Mradi huo uko chini ya uongozi wa Mhariri <a href="http://twitter.com/rodrigonogueira">Rodrigo Nogueira</a>. Unaweza kupata taarifa zaidi katika <a href="http://twitter.com/vivafavela">akaunti yao rasmi ya Twita</a></em> [pt] <em>na katika <a href="http://www.orkut.com.br/Main#Community?cmm=33684890">jamii </a>ya Orkut </em>[pt].</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/brazil-mtazamo-wa-wakazi-wa-vitongoji-maskini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Finland: Suala la Lugha</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 16 Nov 2009 12:09:09 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Arts & Culture]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Ethnicity]]></category>
		<category><![CDATA[Finland]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[History]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Language]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Literature]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sweden]]></category>
		<category><![CDATA[Western Europe]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=677</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Nordic Voices anaandika kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. 
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/16/finland-the-language-issue/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Nordic Voices <a href="http://nordicvoices.blogspot.com/2009/11/land-of-one-language.html">anaandika</a> kuhusu &#39;suala la lugha&#8221; huko Finland. </p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/finland-suala-la-lugha/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>India: Usawa</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/india-usawa/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/india-usawa/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 15 Nov 2009 11:04:32 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Economics]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[India]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[South Asia]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=666</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naRezwan  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
&#8220;Takriban asilimia 15 ya watu ambao ni viongozi wa siasa na watumishi wa serikali, kwa kupitia vitendo vya kifisadi, wamejilimbikizia asilimia 85 ya utajiri wote wa India, na kuwaachia asilimia 15 tu ya utajiri huo asilimia 85 ya wananchi,&#8221; anasema [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/rezwan/">Rezwan</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/14/india-equality/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>&#8220;Takriban asilimia 15 ya watu ambao ni viongozi wa siasa na watumishi wa serikali, kwa kupitia vitendo vya kifisadi, wamejilimbikizia asilimia 85 ya utajiri wote wa India, na kuwaachia asilimia 15 tu ya utajiri huo asilimia 85 ya wananchi,&#8221; <a href="http://indiainperil.blogspot.com/2009/11/voiceless-india.html">anasema</a> <em>Ram Bansal </em>katika blogu ya <em>India in Peril</em>.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/india-usawa/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kenya: Mwai Kibaki na Odinga Budi Washirikiane na ICC</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-mwai-kibaki-na-odinga-budi-washirikiane-na-icc/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-mwai-kibaki-na-odinga-budi-washirikiane-na-icc/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 10 Nov 2009 11:00:20 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Kenya]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Sub-Saharan Africa]]></category>
		<category><![CDATA[War & Conflict]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=597</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naNdesanjo Macha  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Ubia wa Kuleta Mabadiliko umetoa tamko linalowataka mwai kibaki na raila odinga kushirikiana na mahakama ya kimataifa ya Jinai na kuhakikisha muswada wa Tume Maalum unapitishwa nchini kenya na kurasimishwa kama sheria ndani ya wiki mbili.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/09/kenya-mwai-kibaki-and-odinga-must-co-operate-with-icc/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Ubia wa Kuleta Mabadiliko <a href="http://blog.marsgroupkenya.org/?p=1480">umetoa tamko</a> linalowataka mwai kibaki na raila odinga kushirikiana na mahakama ya kimataifa ya Jinai na kuhakikisha muswada wa Tume Maalum unapitishwa nchini kenya na kurasimishwa kama sheria ndani ya wiki mbili.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/kenya-mwai-kibaki-na-odinga-budi-washirikiane-na-icc/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Irani: Vuguvugu la Kijani Laupinga Utawala Tena</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/irani-vuguvugu-la-kijani-laupinga-utawala-tena/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/irani-vuguvugu-la-kijani-laupinga-utawala-tena/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 06 Nov 2009 13:29:03 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Farsi]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[Freedom of Speech]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Iran]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Video]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=552</guid>
		<description><![CDATA[Upande wa upinzani wa Vuguvugu la Kijani nchini Irani mnamo tarehe 4 Novemba uliendesha maandamano makubwa ambapo maandamano hayo yalikabiliwa na matumizi makubwa ya nguvu ya kuyazuia yaliyofanywa na vikosi vya usalma. Kama ambavyo sasa inatarajiwa, uandishi wa habari wa kiraia nchini Irani haukukosa kitu kwani ulirekodi 'historia' hiyo kupitia simu zao za mikononi. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hamid-tehrani/">Hamid Tehrani</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/05/iran-green-movement-defies-regime-again/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><img alt="" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/11/13aban.jpg" class="alignleft" width="200" height="269" /><br />
Upande wa upinzani wa Vuguvugu la Kijani nchini Irani mnamo tarehe 4 Novemba mwaka huu (13 ya Abani) <a href="http://www.guardian.co.uk/world/blog/2009/nov/04/iran-student-day-protests">uliendesha</a> maandamano makubwa ya mitaani, baada ya kutumia fursa ya maandamano rasmi yaliyoendeshwa siku hiyo ya kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 30 ya ukaliaji wa Ubalozi wa Marekani jijini Teherani.  Maandamano hayo ya upinzani yalikabiliwa na matumizi ya nguvu kupita kiasi ya kuyavunja yaliyofanywa na vikosi vya usalama.</p>
<p>Kama ambavyo sasa imekuwa jambo la kutarajiwa, vyombo vya habari vya kiraia vya Irani vilirekodi &#8216;historia&#39; hiyo kupitia simu zao za mkononi.</p>
<p>Waandamanaji jijini Teherani walikanyagakanyaga picha ya Kiongozi Mkuu wa Kidini nchini humo, Ayatollah Ali Khamenei, kitendo ambacho wala kisingefikiriwa miezi michache tu iliyopita. </p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/ROBiaGs7OYo&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/ROBiaGs7OYo&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Ujumbe kwa Obama: Ama uko upande wetu au uko upande wao.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/x-yLLZ3JGfM&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/x-yLLZ3JGfM&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Kiongozi wa upinzani, Mehdi Karoubi, akiwa katikati ya watu.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/UuGNPxkIXU4&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/UuGNPxkIXU4&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
<p>Vikosi vya Usalama vikishambulia waandamanaji.</p>
<p><object width="425" height="344"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/AIiAopKXE7w&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/AIiAopKXE7w&#038;color1=0xb1b1b1&#038;color2=0xcfcfcf&#038;hl=en&#038;feature=player_embedded&#038;fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="425" height="344"></embed></object></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/irani-vuguvugu-la-kijani-laupinga-utawala-tena/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Iran: Majeshi Ya Usalama Yawashambulia Waandamanaji</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/iran-majeshi-ya-usalama-yawashambulia-waandamanaji/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/iran-majeshi-ya-usalama-yawashambulia-waandamanaji/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 04 Nov 2009 10:46:08 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Iran]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Protest]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=522</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naHamid Tehrani  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Kwa mujibu wa Kian majeshi ya usalama yaliwashambulia waandamanaji katika viwanja vya hafteh tir mjini Teheran na kuwajeruhi watu kadhaa.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/hamid-tehrani/">Hamid Tehrani</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/04/iran-security-forces-attacked-protesters/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><a href="http://friendfeed.com/damavand/255584c9/7">Kwa mujibu wa</a> <em>Kian</em> majeshi ya usalama yaliwashambulia waandamanaji katika viwanja vya hafteh tir mjini Teheran na kuwajeruhi watu kadhaa.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/iran-majeshi-ya-usalama-yawashambulia-waandamanaji/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Misri: Watu 10 Wenye Ushawishi Zaidi Nchini</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-watu-10-wenye-ushawishi-zaidi-nchini/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-watu-10-wenye-ushawishi-zaidi-nchini/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 04 Nov 2009 10:42:30 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Deogratias Simba</dc:creator>
				<category><![CDATA[Business]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[Egypt]]></category>
		<category><![CDATA[Elections]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Politics]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=517</guid>
		<description><![CDATA[Mtoto wa Rais wa Misri, Hosni Mubarak, anayitwa Gamal Mubarak, -- na ambaye anatarajiwa kumrithi baba yake nafasi hiyo -- aliibuka kama mmoja wa washindi 100 wa TIME. Wanablogu wa Ki-Misri wana ya kueleza kuhusu jambo hili. ]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/marwa-rakha/">Marwa Rakha</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/simbadeo/'>Deogratias Simba</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/29/egypt-the-top-10-most-influential-people/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Mwanablogu <em>Ahmed Shokeir</em> aliendesha <a href="http://shokeir.blogspot.com/2009/10/2009.html">taftishi</a> ya kutafuta watu 10 wenye ushawishi zaidi nchini Misri baada ya <a href="http://shokeir.blogspot.com/2009/10/2009.html">kushangazwa </a>na matokeo ya <em><a href="http://globalvoicesonline.org/2009/08/16/egypt-gamal-mubarak-why-not/">Gamal Mubarak</a></em>, mtoto wa Rais Hosni Mubarak wa Misri - kama mmoja wa <a href="http://www.time.com/time/specials/packages/article/0,28804,1883644_1886141,00.html">washindi 100 wa mwisho wa mwaka 2009 wa TIME</a>.</p>
<p>Shokeir anaandika: </p>
<blockquote><p>
المفاجأة الحقيقة كانت في إسم الشخصية العربية التالية والتي تظهر في القائمة أيضا للمرة الأولى وتحتل المركز الثامن عشر بفارق بسيط عن الشيخ أحمد وتحصل على ثمانمائة وثلاثون ألف صوت بمتوسط 31 نقطة وهو جمال مبارك متقدماً على أسماء مثل بريتني سبيرز التي حلت في المركز الثلاثون وباراك أوباما في المركز السابع والثلاثون
</p></blockquote>
<div class="translation">Jambo la kushangaza sana lilikuwa kwamba Mwarabu wa pili mwenye ushawishi zaidi baada ya Shehe <a href="http://www.time.com/time/specials/packages/article/0,28804,1883644_1883653_1884132,00.html">Ahmed bin Zayed Al Nahyan</a>, ambaye ni mkurugenzi wa Abu Dhabi Investment Authority, aliyeshika nafasi ya 13 baada ya kupata kura 839,000. Kwa mara ya kwanza <a href="http://www.time.com/time/specials/packages/article/0,28804,1883644_1883653_1885482,00.html">jina la Gamal Mubarak</a> limejitokeza katika nafasi ya 18 ya orodha baada ya kupata kiasi cha kura 832,593. Gamal Mubarak alimshinda <a href="http://www.time.com/time/specials/packages/article/0,28804,1883644_1883653_1884106,00.html">Britney Spears</a> (aliyeshika nafasi ya 30) na <a href="http://www.time.com/time/specials/packages/article/0,28804,1883644_1883653_1883950,00.html">Barack Obama</a> (nafasi ya 37). </div>
<p><em>Zeinobia</em> <a href="http://egyptianchronicles.blogspot.com/2009/10/shokeirs-100-egyptian-2009.html">alikuja na orodha ya watu 10 wenye ushawishi zaidi nchini Misri</a> kwa mujibu wa taftishi ya Shokeir: </p>
<blockquote><p>Kwanza kabisa huwa hatuna aina hii ya ushindanishaji nchini Misri mara kwa mara, pili huna budi kutambua kwamba jambo hili liliendeshwa kwenye blogu ya nchini Misri, washiriki wanaweza kusemwa kwamba ilikuwa ni sampuli ndogo sana katika jamii ya Wa-Misri &#8220;Zaidi ya washiriki 120 kwenye blogu yake na <a href="http://www.facebook.com/event.php?eid=139748076249">zaidi ya washiriki 300 kwenye tukio katika face book</a>&#8221; na kwa hiyo baadhi ya watu huenda watasema kwamba sampuli haikuwa wakilishi vya kutosha, hata hivyo, kwa namna ya kushangaza kabisa, baadhi ya majibu yanawakilisha maoni ya Wa-Misri walio wengi. </p></blockquote>
<p>Akitunza kile kizuri ili kukitoa mwishoni kabisa, <em>Zeinobia</em> alianza na washindi bora 9: </p>
<blockquote><p>Katika nafasi ya 10 yenye pointi 168 yupo kocha wa timu ya taifa ya soka ya Misri Hassan Shahata.<br />
Katika nafasi ya 9 yenye pointi 181 ni mfanyabiashara Naguib Sawiris.<br />
Katika nafasi ya 8 yenye pointi 200 ni Rais Hosni Mubarak. &#8220;kura 26&#8243;<br />
Katika nafasi ya 7 yenye pointi 200 ni mwandishi wa habari Ibrahim Eissa. &#8220;Kura 46&#8243;<br />
Katika nafasi ya 6 yenye pointi 202 ni mfanyabiashara Ahmed Ezz.<br />
Katika nafasi ya 5 yenye pointi 215 ni mwanasayansi Ahmed Zowail.<br />
Katika nafasi ya 4 yenye pointi 262 ni mwendesha kipindi cha TV Mona El-Shazely.<br />
Katika nafasi ya 3 yenye pointi 325 ni mcheza soka Mohamed Abu-Tarika.<br />
Katika nafasi ya 2 yenye pointi 364 ni Gamal Mubarak.</p></blockquote>
<p>Sasa kuhusu mtu mwenye ushawishi zaidi nchini Misri, </p>
<blockquote><p>Na kwa mshangao wangu mkubwa:</p>
<p>Katika nafasi ya 1 yenye pointi 496 ni Mhubiri wa dini ya Kiislamu kwenye TV Amr Khalid.<br />
Hakuna shaka kwamba hao wengine tisa ukitoa Ahmed Zoweil wamekuwa na nafasi ya pekee katika maisha yetu katika mwaka 2009,lakini Amr Khalid!!??</p></blockquote>
<p>Zeinobia anatambua kwamba: </p>
<blockquote><p>Taftishi hii ilikuja katika kilele cha matukio ya Khalid hasa kwa umaarufu wake kutokana na vipindi vyake vya TV vya wakati wa Ramadhani, hivyo hicho kilichangia sana matokeo hayo na bila shaka nafasi ya dini katika maisha yetu. </p></blockquote>
<p>Hata hivyo, bado anajiuliza kama kweli alistahili kushika nafsi ya kwanza kwenye orodha hiyo.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/misri-watu-10-wenye-ushawishi-zaidi-nchini/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Pakistani: Katika Vita</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/pakistani-katika-vita/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/pakistani-katika-vita/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 04 Nov 2009 09:27:36 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Human Rights]]></category>
		<category><![CDATA[Law]]></category>
		<category><![CDATA[Pakistan]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[South Asia]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=511</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naRezwan  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Mohammad Malick anatoa maoni juu ya shambulizi la kigaidi la hivi karibuni kwenye soko la watu wa tabaka chini na la kati huko Peshawar: “limeonyesha kuwa hii ni vita ambyo magaidi wanasimama upande mmoja wa mstari wa damu, na sisi [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/rezwan/">Rezwan</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/03/pakistan-at-war/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p><em>Mohammad Malick</em> <a href="http://ahraza.wordpress.com/2009/11/02/we-must-declare-state-of-war/">anatoa maoni</a> juu ya shambulizi la kigaidi la hivi karibuni kwenye soko la watu wa tabaka chini na la kati huko Peshawar: “limeonyesha kuwa hii ni vita ambyo magaidi wanasimama upande mmoja wa mstari wa damu, na sisi wananchi upande mwingine.”</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/pakistani-katika-vita/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Ulaya: Siku ya Kimataifa ya Bahari Nyeusi</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ulaya-siku-ya-kimataifa-ya-bahari-nyeusi/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ulaya-siku-ya-kimataifa-ya-bahari-nyeusi/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 03 Nov 2009 11:47:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>j nambiza tungaraza</dc:creator>
				<category><![CDATA[Bulgaria]]></category>
		<category><![CDATA[Cyber-Activism]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Environment]]></category>
		<category><![CDATA[Georgia]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[International Relations]]></category>
		<category><![CDATA[Middle East & North Africa]]></category>
		<category><![CDATA[Romania]]></category>
		<category><![CDATA[Roundups]]></category>
		<category><![CDATA[Russia]]></category>
		<category><![CDATA[Science]]></category>
		<category><![CDATA[Turkey]]></category>
		<category><![CDATA[Ukraine]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=504</guid>
		<description><![CDATA[Ilichapwa kwanza naVeronica Khokhlova  &#183; Imetafsiriwa na j nambiza tungaraza &#183;  Angalia ujumbe mama 
Katika Th!nk About It, Adela anaandika kuhusu Siku ya Kimataifa ya Bahari Nyeusi.
]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/neeka/">Veronica Khokhlova</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/j-nambiza-tungaraza/'>j nambiza tungaraza</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/11/03/zimbabwe-is-tsvangirai-righting-sadcs-wrongs/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Katika <em>Th!nk About It</em>, Adela <a href="http://climatechange.thinkaboutit.eu/think2/post/international_black_sea_action_day/#When:20:43:06Z">anaandika</a> kuhusu Siku ya Kimataifa ya Bahari Nyeusi.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/11/ulaya-siku-ya-kimataifa-ya-bahari-nyeusi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Malayasia: Serikali ya Jimbo Yaja na Sera ya ‘Msala Mmoja’</title>
		<link>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/malayasia-serikali-ya-jimbo-yaja-na-sera-ya-%e2%80%98msala-mmoja%e2%80%99/</link>
		<comments>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/malayasia-serikali-ya-jimbo-yaja-na-sera-ya-%e2%80%98msala-mmoja%e2%80%99/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 27 Oct 2009 11:47:16 +0000</pubDate>
		<dc:creator>Christian Bwaya</dc:creator>
				<category><![CDATA[Children]]></category>
		<category><![CDATA[East Asia]]></category>
		<category><![CDATA[Education]]></category>
		<category><![CDATA[English]]></category>
		<category><![CDATA[Feature]]></category>
		<category><![CDATA[General]]></category>
		<category><![CDATA[Governance]]></category>
		<category><![CDATA[Malaysia]]></category>
		<category><![CDATA[Weblog]]></category>
		<category><![CDATA[Youth]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://sw.globalvoicesonline.org/?p=457</guid>
		<description><![CDATA[Kwa kuiga chapa ya Malaysia1, serikali ya Jimbo la Terengganu hivi majuzi ilikuja na sera ya ‘msala 1’ kama hatua kwa walimu na wanafunzi (wa jinsia moja) kuchangia misala (vyoo) ili kukuza hisia za umoja. Kumekuwepo na maoni mchanganyiko katika ulimwengu wa blogu kuhusiana na sera hii.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<em>Ilichapwa kwanza na<a href="http://globalvoicesonline.org/author/syafique-shuib/">Syafique Shuib</a>  &middot; Imetafsiriwa na <a href='http://sw.globalvoicesonline.org/author/bwaya/'>Christian Bwaya</a> &middot;  <a href='http://globalvoicesonline.org/2009/10/21/malaysia-state-government-introduces-1toilet-policy/'>Angalia ujumbe mama</a></em> 
<br /><p>Waziri Mkuu wa Malaysia Najib Tun Razak ameanzisha wazo la Malaysia Moja, maarufu kama <a href="http://www.1malaysia.com.my/">Malaysia1</a>, alipoingia madarakani. Ikiwa ni nchi ya watu wa rangi tofauti, lengo kubwa la Malaysia1 ni kuukuza umoja wa kitaifa na kuimarisha ushirikiano baina ya makundi mbali mbali yenye rangi tofauti. </p>
<div class="wp-caption aligncenter" style="width: 258px"><img alt="Sera ya Msala1 imeiga dhana ya Malaysia1" src="http://globalvoicesonline.org/wp-content/uploads/2009/10/1_malaysia-248x300.jpg" title="The 1Malaysia Logo" width="248" height="300" /><p class="wp-caption-text">Sera ya Msala1 imeiga dhana ya Malaysia1</p></div>
<p>Kwa kuiga chapa ya Malaysia1, serikali ya Jimbo la Terengganu <a href="http://thestar.com.my/news/story.asp?file=/2009/10/15/nation/4906693&#038;sec=nation#">hivi majuzi ilikuja na sera ya ‘msala 1’ </a>kama hatua kwa walimu na wanafunzi (wa jinsia moja) kuchangia misala (vyoo) ili kukuza hisia za umoja. </p>
<p>“Pale wanafunzi wanapochangia msala na mwalimu, wataamini (wanafunzi) kwamba wako sawa na wanataaluma na hii moja kwa moja huamsha hisia za kujichukulia kuwa na umuhimu katika taasisi, ambako, kwa mukhtadha huu, ni shule,” anasema mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Elimu ya Juu, Rasilimali watu, Sayansi na Teknolojia wa Jimbo hilo, Ahmad Razif Abd Rahman katika gazeti la mahali hapo la <a href="http://www.thestar.com.my/">The Star</a>. </p>
<p>Sera pia itapanuliwa zaidi ya suala la choo ambapo walimu pia wanashauriwa kula katika mikahawa ya shule pamoja na wanafunzi. Ni njia ya makundi hayo mawili (walimu na wanafunzi) kujichanganya wakati wa mapumziko. </p>
<p>Kumekuwa na maoni tofauti kutoka kwenye ulimwengu wa blogu kuhusiana na mada hii. Wengine waliichukulia kama utani, wakati wengine walifikiri ilikuwa ni ubunifu chanya. </p>
<p><a href="http://asiancorrespondent.com/jeff001/2009/10/littleuse_chameleon.php">Jeff Ooi</a>, ambaye ni mwanablogu mkubwa na sasa ni Mbunge anasema: </p>
<blockquote><p>Wakati huu, matunda ya kupanuka kwa Malaysia1 yako mahali pa kujisaidia. </p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa <em><a href="http://liangseng.blogspot.com/2009/10/liang-seng-and-one1.html">Life And Ti(m)es Of Liang Seng</a></em> hakuweza kuamini kwamba Serikali ya Jimbo hilo inakuja na wazo la ‘Msala mmoja’: </p>
<blockquote><p>Ningeelewa sehemu ya kuchangia mkahawa. Lakini hivi kweli kuchangia msala ni kukuza hisia za ushirikiano na kujenga mafanikio ya kitaaluma? Tuwe wakweli. Tunaweza kufanya vyema zaidi. </p></blockquote>
<p>Mwandishi wa habari, mwanablogu na mwandishi wa Global Voices <a href="http://www.nikicheong.com/blog/1thing-to-many.html">Niki Cheong</a> anaandika kwenye blogu yake binafsi: </p>
<blockquote><p>Kichaa yupi alikuja na wazo hili zuri [&#8230;] Nadhani kuchangia msala na mwalimu hakutamsadia mwanafunzi kufanikiwa katika masomo yake, ufundishaji mzuri unaweza! </p>
<p>Ni  nini kinachoendelea? Je, tunaenda kuanza kula ‘chakula kimoja’ baada ya hapa? Au kuanza kusikiliza ‘1 Buck Short’? Au tutaanza kuwataka watu kuandikisha majina kama ‘Sharina1’ kwenye vyeti vya kuzaliwa? </p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa <em><a href="http://siamooi.blogspot.com/2009/10/1toilet-1malaysia.html">Thots Here And There</a></em> anaamini kwamba viongozi ni lazima watende wayasemayo kabla ya kutekeleza sera zozote: </p>
<blockquote><p>Kwa nini tusianze na makundi ya tabaka la juu kwanza kabla kwenda kwa walio wengi? Shuleni kwangu, Kundi la tabaka juu hupata ufunguo maalumu kwa choo chao maalumu [&#8230;] Najua kwenye makampuni fulani ya sekta binafsi kuna upendeleo wa namna hiyo pia. Nakumbuka rafiki yangu alipofurahi sana kwa sababu alikuwa amefikia kiwango cha upendeleo wa kuwa na ufunguo wake mwenyewe wa sehemu hiyo malum! Sasa, kama tunataka kutekeleza kitu kama hiki cha msala mmoja shuleni –fikiria wanafunzi watakavyopanga foleni kutumia msala –hebu na tuanze na kundi la juu la watumishi kwanza. Viongozi wanazungumza kuhusu Malaysia1 &#8230;tuwe wakweli, fanya usemacho. Tuonyesheni, enyi viongozi wa Malaysia kwamba sisi tu kitu kimoja kwa namna zote zinazoshirikisha matumizi ya msala!!!!</p></blockquote>
<p>Mwanablogu wa <em><a href="http://joesimple.wordpress.com/2009/10/16/from-1malaysia-to-1toilet">Voices Inside My Head</a></em> anaeleza upande chanya wa sera ya msala1: </p>
<blockquote><p>Wakati nilipokuwa shuleni nilijiuliza jambo hili hili, inakuwaje walimu wajisaidie kwenye vyoo tofauti. Hivi wanajisaidia kwa namna tofauti? Hivi wana kitu kinginecho tusichokuwanacho sisi? Nadhani inatakiwa kufanyika pote, hata kwenye maeneo ya kazi ya utawala wa juu watumie vyoo hivyo hivyo! Labda hata mawaziri washirikiane vyoo na wafanyakazi wengine wa serikali na hapo ndipo nitakaposema wanasiasa wetu wanatenda wasemacho!</p></blockquote>
<p>Mwandishi huyu, kupitia kwenye <a href="http://www.syafiqueshuib.com/syafique/?p=1068">blogu yake binafsi</a>, anasema: </p>
<blockquote><p>Walimu pia wanapaswa kuongoza kwa mifano na kupata matokeo mazuri kwa wanafunzi wao. Kama mwanafunzi tayari ana tatizo la kujisikia duni awapo darasani, atawezaje kuibuka na hisia za kujiona wa maana kwa sera ya Msala1? </p></blockquote>
<p>Hivi tunatakiwa kuchangia msala ili kuwa na hisia za umoja baina ya wanafunzi na walimu? Je, ushirikiano huu wapaswa kuanzia darasani kwenyewe?</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://sw.globalvoicesonline.org/2009/10/malayasia-serikali-ya-jimbo-yaja-na-sera-ya-%e2%80%98msala-mmoja%e2%80%99/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
