Habari kuhusu Uhuru wa Kujieleza kutoka Novemba, 2014
Video: Mwanasheria wa Swaziland Aliyefungwa Jela Azungumza Kupitia Wanaharakati wa Haki za Binadamu
#swazijustice ni kampeni inayotoa wito wa kuachiliwa huru kwa Bheki Makhubu, mhariri wa gazeti la Taifa na Thulani Maseko, mwanasheria wa haki za binadamu, ambao walifungwa jela nchini Swaziland kwa miaka miwili kwa sababu ya kuandika makala kukosoa mfumo wa mahakama nchini humo. Wawili hao walikamatwa tarehe 17 Machi 2014...
Waandamanaji Wavamia Ukumbi wa Sinema na Kusema ‘Hunger Games’ Inaendelea Nchini Thailand
Wanafunzi wa ki-Thai jijini London waliandamana nje ya ukumbi uliokuwa unaonesha filamu maarufu ya "The Hunger Games," wakitaka masuala yanayotishia demokrasi nchini mwao yamwulikwe.